Israel: Tutawafikia popote mdhanipo ni mbali

Israel: Tutawafikia popote mdhanipo ni mbali

Magaidi kazi wanayo na hivi Israel ipo serious ,mimi nnaumizwa na Raia tu huwa wanakuwa ni wahanga wa mapigano siku zote.
 
Wayahudi walihakikisha Myahudi mwenzao (Most influential person Jesus/Yesu) anauwawa, ndio Washindwe kwa Sinwar waislam wasasa ni hawana akili
 
Waziri wa Ulinzi wa Israel ametamba kwa kusema kwamba, kwao kama Israel hapapo eneo la mbali kwao wakiamua kukufikia ama kukushughulikia.
IMG-20241018-WA0089.jpg
Netanyahu anaendelea kuwala vichwa tu viongozi wa Hezbollah. Bado wawili katika baraza lao la uongozi😃
 
Back
Top Bottom