Israel wafanya cyber-attack kwenye nuclear sites za Iran na kuiba information za muhimu

Israel wafanya cyber-attack kwenye nuclear sites za Iran na kuiba information za muhimu

Waziri wa ulinzi wa Israel alisema kuwa shambulio litakuwa kubwa na la uhakika kiasi kwamba Iran itashindwa kuelewa imekuwaje, na imefanyikaje.


NB: Ilikuwa jambo jema sana kama Iran ingeijiwa na hekima, ikayafanya yafuatayo:
1) ikafuta falsafa yake kuwa eti wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani, wanatakiwa kuangamizwa.

2) ikatangaza kuyavunja makundi yote ya kigaidi iliyoyanzisha kwaajili ya kudhoofisha serikali za mataifa ya kiarabu, na kuishambulia Israel.

3) Ndani ya Iran, itaheshimu haki za watu, na kuachana na uharamia wa kuwafanya watu wote kuwa mateka wa dini moja.

Kisha Dunia ingeungana katika kuitaka Israel kuanzisha mazungumzo na wapalestina yatakayolenga ama kuishi wote kwa amani na upendo ndani ya nchi moja yenye mamlaka huru ya Wapalestina au wapalestina kuwa na nchi yao itakayokuwa jirani mwema wa Israel.
 
Ila wenzako hawamuabudu yule aliyevalishwa kichupi hadi picha yake mnaweka kwenye makanisa na nyumbani kwenu.
Nyie ndo wajanja eeeh mnaliabudu na kulisujudia Jiwe moja jeusi na mmelipa uungu. Eti mkienda kuhiji mkiligusa na kulibusu dhambi zenu zinasamehewa.

Bure na hovyo kabisa.

Nyau de adriz
 
BREAKING NEWS 🚨
Iran's nuclear sites under massive cyber-attack.

Almost all services of the Iranian Government have been disrupted.

Important information has also been stolen as a result. Iran's Supreme Leader Ali Khamenei is still hiding.

It is being said that this is Israel's first step towards a retaliatory attack on Iran.

View: https://youtu.be/Im7sfl_1rFY?si=0TVxP3DhDvjUBB_G

View attachment 3123724
The Man, The Myth, The Legend


Duu, izirael ni watu wabad. Wameingia mpaka chumba cha ndani kabisa cha Iran. Sasa nao Iran waende physically kwenye saver farm za izirael na kufuta kila kitu
 
Duu, izirael ni watu wabad. Wameingia mpaka chumba cha ndani kabisa cha Iran. Sasa nao Iran waende physically kwenye saver farm za izirael na kufuta kila kitu
Kuna tofauti ya anayegundua tech na anayeuziwa tech

Unapojaribu kushindana na anayegundua tech huku wewe ukiwa mnunuaji tu ni uwendawazimu
 
Back
Top Bottom