Israel wafanya cyber-attack kwenye nuclear sites za Iran na kuiba information za muhimu

Israel wafanya cyber-attack kwenye nuclear sites za Iran na kuiba information za muhimu

Bado tutasikia mengi, waziri wa ulinzi wa Israel alisema kjwa tutakachowafanyia Iran hawatategemea, walijua wanavamiwa na ndege za kivita, mlipuko uliosikika j1 kwenye mitambo ya nuclear ilikuwa ni sehemu ya uvamizi wa cyberattack
 
Back
Top Bottom