Israel: Wafungwa wanne kati ya 6 waliotoroka wakamatwa tena

Labda jamaa walikuwa wanawasaka kiDNA maana hiyo haiongopi
Lakini sasa mbona umekuwa muda mfupi sana hata wiki haijaisha!!Ki ukweli nimeshangaa sana!!kwani daa kwa ujasiri uliotumika, halafu unakuja kukamatwa tena kizembe hivyo, tena makamanda wazima!!
 
Yaani hao jamaa ni ndezi kweli!!!jitahada iliyotumika kutoroka ni kubwa sana, halafu wanakuja kukamatwa kipuuzi kabisa!!!

Palestina yenye km 6020 unategemea wasiwakamate!!! alafu ukizingatia hawako huru,, so watashindwaje kuwakamata!!!!!
 
Palestina yenye km 6020 unategemea wasiwakamate!!! alafu ukizingatia hawako huru,, so watashindwaje kuwakamata!!!!!
Nikweli mazingira ni magumu kwa kujificha kwa watoro, kutokana Gereza la Gilboa lipo eneo la makazi ya WAYAHUDI kufika ukanda wa Gaza ni mbali na kunauwezekano hata hao wawili kuingia mikononi mwa police wa Israel.
 
unaweza kuthibitisha hili unalosema??
Mkuu ukatili wa WAYAHUDI upo kwenye imani ya dini yao kizayuni (Zionist) mayahudi imani yao inasema: kumdhulu, kumtesa kumsulubu mtu asiye myahudi ni haki tena ni sehemu ya ibada yao.
 
Mkuu ukatili wa WAYAHUDI upo kwenye imani ya dini yao kizayuni (Zionist) mayahudi imani yao inasema: kumdhulu, kumtesa kumsulubu mtu asiye myahudi ni haki tena ni sehemu ya ibada yao.
Thibitisha huu ukolo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…