Israel wana jeshi dhaifu sana miezi 9 wameokoa mateka wanne tu

Israel wana jeshi dhaifu sana miezi 9 wameokoa mateka wanne tu

Sababu ni rahisi tu, magaidi wanaua wapalestina na wamewateka waisrael na wamewatawanya sehemu mbali mbali kwa mafungu, hili tu linafanya zoezi kua gumu kijeshi na wanajeshi waliopo humu wataelewa nini nasema, ila wanajesh waisrael kwa kusaidiwa na Mungu wanazuia wapalestina wasiendelee kuuawawa na magaidi(savi wamefika ellfu 37), na pia kurudisha mateka either wakiwa wamekufa ama.hai, ndio.mana hatushangai gaidi mmoja anakufa na watu 274..au gaidi mmoja anakufa kuokoa mateka 4. Kazi iendelee!
 
tena nahisi hawa mateka walikuwa wanasogezwa karibu ili ule mpango wa ceasefire ukikamilika wa wawaachie,kumbe ule mpango wa Biden ni wakitapeli kabisa...wasahau kuhusu mateka wengine kwa hii janja janja
Wewe ni mwarabu wa gairo au muislamu wa kuchovya?
 
About 100,000 fighters from Iraq and Syria ready to join Hezbollah if Israel-Lebanon war breaks out....
Swala sio Idadi ni teknolojia ya kivita

Israel wako wachache tu kakini wanachakaza Gaza na kufanya kifusi
 
Wapalestina 37,000 wameuawa ili waokolewe mateka wanne waisrael hiyo hesabu mleta mada unaionaje ya kuchekelea?
 
Linajifanya taifa lenye nguvu kumbe hamna kitu, Miezi 9 ya vita sasa wameshindwa kung'amua mateka wako wapi...Miezi 9 wameokoa mateka wanne kwa maana hyo itawachukua miaka 22 kuwaokoa mateka wengine waliobaki.

Tokea siku zote hizo ni jana wameokoa mateka wanne tu tena kwa msaada wa Delta force ya Marekani, yaani vikosi vya makomandoo wamefanikiwa kuokoa watu 4 tu na kuua watu 220 papo hapo sasa nadharia ya ukomandoo iko wapi?

Huku kuna watu hao hao pro-LgbtqIsrael walikua wana-criticize russia kuchukua mda mrefu kwenye operation ya kuichukua Ukraine...Wanasahau Ukraine ni linchi likubwa kwa maeneo, pia wanasahau russia anapigana kwa kurelax bila kutumia nguvu kubwa maana anaenda kwa malengo yake....Leo ni miezi 9 Israel wameshindwa kuikamata Gaza ambayo ni ndogo kuliko hata Kigamboni na misaada yote wanayopewa lakini holaa!!

Hivi Israel bila marekani wataweza kweli? Maana hapo wamechanganyika nchi kibao kumsaidia lakini hajafikia malengo Gaza

Huyu ndo ataweza kupigana na Hezbollah kweli?Hana ubavu huo?Maana kipigo anachotembezewa na Hezbollah sio cha nchi hii

Kama wanajiamini why hawasubutu kutangaza operation ya kuiangamiza Hezbollah wakati Hezbollah ndo tishio kuliko Hamas?Watie mguu kusini mwa Lebanon wauone moto!!

Mpango wa Iran unaenda vizuri sana, hapo Israel alipo yupo kwenye mtego na mpango wa Iran na anazidi kujaa vizur kwenye mtego wa Iran.

Iran ana mpango mbaya dhidi ya Israel mpango wa kuimaliza kabisa Israel au kuidhoofisha kabisa kwa miaka miwili...Mambo yanaenda kutimia.

Jeshi ambalo asilimia 83% ya wanajeshi wake wamejitambulisha kama mashoga wanaweza vipi kukabiliana na mabarobaro kama Hezbollah au Hamas uso kwa uso?

Israel kinachombeba ni jeshi la anga tu but ardhini hamna jeshi pale, wamefyekwa sana huko Gaza na kaskazini mwa Israeli miji kama Kyrat Shmona na Upper Gallilee pamechomwa na Hezbollah hadi hapatamaniki...Jamaa wanalipua hadi mifumo ya Iron Dome.
Imagine mateka wamefichwa Kwenye familia moja hapo Dar!mtaa Fulani, haijulikani ni kigamboni, manzese, Kerege, au mbezi, majasusi wanatafuta taharifa mpaka wanajua, walipofichwa! Makomandoo wanaendesha program ya kuokoa mchana kweupeee! Na, wanafsnikiwa! Hilo ni jeshi dhaifu!! Ur fucking kidding me, vipi kuhusu LA bongo kwa miaka zaidi ya, minne wameshindwa kuwapata waliompigq lisu risasi! Hili LA, kwetu ni mimavi mitupu
 
Aisee nilikua napenda sana hili battle huku kuangalia mnavyobishana, siku nikakaa siku nzima naangalia Al Jazeera, aisee acheni ushabiki wa vita, hii sio Simba na Yanga, watu wanateseka sana, naomba Amani ipatikane
Mkuu achana na Aljazeera ni wana propaganda wale kazi yao kuu ni kuifanya Israel ichukiwe na Dunia nzima... waandishi wao tu ni ma member wa Hamas na Islamic jihad, Madakatari wote wameajiiliwa na Hamas, yaani Gaza ipo chini ya Hamas unategemea nini waisifie Israel maadui wao wa Uislam hadi Quran inawaamrisha.

Majuzi inasemekana Noa mateka alihifadhiwa na nyumbani kwa Member wa Aljazeera... Gazan wote hakuna victims ni criminal wote wanatakuwa kuhama Israel warudishwe kwao Misri.

Gazan wanakula bata kuliko maelezo even makomandoo walizuga kama wapangaji wapya nyumba zinapangishwa vitani? Beach zipo wazi miaaada tu imezidi kuliko kabla ya Vita ila news za Aljazeera utaigopa ukitizama wanaigiza watu wamekonda watoto, wanakunywa maji ya matope.. uongo uongo tu ma iblis
 
Linajifanya taifa lenye nguvu kumbe hamna kitu, Miezi 9 ya vita sasa wameshindwa kung'amua mateka wako wapi...Miezi 9 wameokoa mateka wanne kwa maana hyo itawachukua miaka 22 kuwaokoa mateka wengine waliobaki.

Tokea siku zote hizo ni jana wameokoa mateka wanne tu tena kwa msaada wa Delta force ya Marekani, yaani vikosi vya makomandoo wamefanikiwa kuokoa watu 4 tu na kuua watu 220 papo hapo sasa nadharia ya ukomandoo iko wapi?

Huku kuna watu hao hao pro-LgbtqIsrael walikua wana-criticize russia kuchukua mda mrefu kwenye operation ya kuichukua Ukraine...Wanasahau Ukraine ni linchi likubwa kwa maeneo, pia wanasahau russia anapigana kwa kurelax bila kutumia nguvu kubwa maana anaenda kwa malengo yake....Leo ni miezi 9 Israel wameshindwa kuikamata Gaza ambayo ni ndogo kuliko hata Kigamboni na misaada yote wanayopewa lakini holaa!!

Hivi Israel bila marekani wataweza kweli? Maana hapo wamechanganyika nchi kibao kumsaidia lakini hajafikia malengo Gaza

Huyu ndo ataweza kupigana na Hezbollah kweli?Hana ubavu huo?Maana kipigo anachotembezewa na Hezbollah sio cha nchi hii

Kama wanajiamini why hawasubutu kutangaza operation ya kuiangamiza Hezbollah wakati Hezbollah ndo tishio kuliko Hamas?Watie mguu kusini mwa Lebanon wauone moto!!

Mpango wa Iran unaenda vizuri sana, hapo Israel alipo yupo kwenye mtego na mpango wa Iran na anazidi kujaa vizur kwenye mtego wa Iran.

Iran ana mpango mbaya dhidi ya Israel mpango wa kuimaliza kabisa Israel au kuidhoofisha kabisa kwa miaka miwili...Mambo yanaenda kutimia.

Jeshi ambalo asilimia 83% ya wanajeshi wake wamejitambulisha kama mashoga wanaweza vipi kukabiliana na mabarobaro kama Hezbollah au Hamas uso kwa uso?

Israel kinachombeba ni jeshi la anga tu but ardhini hamna jeshi pale, wamefyekwa sana huko Gaza na kaskazini mwa Israeli miji kama Kyrat Shmona na Upper Gallilee pamechomwa na Hezbollah hadi hapatamaniki...Jamaa wanalipua hadi mifumo ya Iron Dome.
Huna akili, na katika kuokoa wanne, wameua wangapi na kueruhi wangapi?
 
Mambo mengi ni uongo. Ndio maana siku hzi nimemamua chombo changu cha habari za kuaminika kibaki kuwa Biblia tu.
 
Ndani ya mwezi ujao utaskia mateka wengine wamepatikana, Hamas upepo umekata 😂,
 
Linajifanya taifa lenye nguvu kumbe hamna kitu, Miezi 9 ya vita sasa wameshindwa kung'amua mateka wako wapi...Miezi 9 wameokoa mateka wanne kwa maana hyo itawachukua miaka 22 kuwaokoa mateka wengine waliobaki.

Tokea siku zote hizo ni jana wameokoa mateka wanne tu tena kwa msaada wa Delta force ya Marekani, yaani vikosi vya makomandoo wamefanikiwa kuokoa watu 4 tu na kuua watu 220 papo hapo sasa nadharia ya ukomandoo iko wapi?

Huku kuna watu hao hao pro-LgbtqIsrael walikua wana-criticize russia kuchukua mda mrefu kwenye operation ya kuichukua Ukraine...Wanasahau Ukraine ni linchi likubwa kwa maeneo, pia wanasahau russia anapigana kwa kurelax bila kutumia nguvu kubwa maana anaenda kwa malengo yake....Leo ni miezi 9 Israel wameshindwa kuikamata Gaza ambayo ni ndogo kuliko hata Kigamboni na misaada yote wanayopewa lakini holaa!!

Hivi Israel bila marekani wataweza kweli? Maana hapo wamechanganyika nchi kibao kumsaidia lakini hajafikia malengo Gaza

Huyu ndo ataweza kupigana na Hezbollah kweli?Hana ubavu huo?Maana kipigo anachotembezewa na Hezbollah sio cha nchi hii

Kama wanajiamini why hawasubutu kutangaza operation ya kuiangamiza Hezbollah wakati Hezbollah ndo tishio kuliko Hamas?Watie mguu kusini mwa Lebanon wauone moto!!

Mpango wa Iran unaenda vizuri sana, hapo Israel alipo yupo kwenye mtego na mpango wa Iran na anazidi kujaa vizur kwenye mtego wa Iran.

Iran ana mpango mbaya dhidi ya Israel mpango wa kuimaliza kabisa Israel au kuidhoofisha kabisa kwa miaka miwili...Mambo yanaenda kutimia.

Jeshi ambalo asilimia 83% ya wanajeshi wake wamejitambulisha kama mashoga wanaweza vipi kukabiliana na mabarobaro kama Hezbollah au Hamas uso kwa uso?

Israel kinachombeba ni jeshi la anga tu but ardhini hamna jeshi pale, wamefyekwa sana huko Gaza na kaskazini mwa Israeli miji kama Kyrat Shmona na Upper Gallilee pamechomwa na Hezbollah hadi hapatamaniki...Jamaa wanalipua hadi mifumo ya Iron Dome.
Magaidi wenzio wanajuta huko nchi inateketea kwa upumbavu wao wapo dubai wanakula bata wanahamasisha wapumbavu gaza wauane….kenge wahed
 
vp, kama lengo siyo kuokoa mateka bali ni kufanya wanachokifanya kwa kisingizio kuwa wanawatafuta mateka. Make wakiokoa mateka wote hawatapata cha kusingizia.
Hii point pia.
 
Linajifanya taifa lenye nguvu kumbe hamna kitu, Miezi 9 ya vita sasa wameshindwa kung'amua mateka wako wapi...Miezi 9 wameokoa mateka wanne kwa maana hyo itawachukua miaka 22 kuwaokoa mateka wengine waliobaki.

Tokea siku zote hizo ni jana wameokoa mateka wanne tu tena kwa msaada wa Delta force ya Marekani, yaani vikosi vya makomandoo wamefanikiwa kuokoa watu 4 tu na kuua watu 220 papo hapo sasa nadharia ya ukomandoo iko wapi?

Huku kuna watu hao hao pro-LgbtqIsrael walikua wana-criticize russia kuchukua mda mrefu kwenye operation ya kuichukua Ukraine...Wanasahau Ukraine ni linchi likubwa kwa maeneo, pia wanasahau russia anapigana kwa kurelax bila kutumia nguvu kubwa maana anaenda kwa malengo yake....Leo ni miezi 9 Israel wameshindwa kuikamata Gaza ambayo ni ndogo kuliko hata Kigamboni na misaada yote wanayopewa lakini holaa!!

Hivi Israel bila marekani wataweza kweli? Maana hapo wamechanganyika nchi kibao kumsaidia lakini hajafikia malengo Gaza

Huyu ndo ataweza kupigana na Hezbollah kweli?Hana ubavu huo?Maana kipigo anachotembezewa na Hezbollah sio cha nchi hii

Kama wanajiamini why hawasubutu kutangaza operation ya kuiangamiza Hezbollah wakati Hezbollah ndo tishio kuliko Hamas?Watie mguu kusini mwa Lebanon wauone moto!!

Mpango wa Iran unaenda vizuri sana, hapo Israel alipo yupo kwenye mtego na mpango wa Iran na anazidi kujaa vizur kwenye mtego wa Iran.

Iran ana mpango mbaya dhidi ya Israel mpango wa kuimaliza kabisa Israel au kuidhoofisha kabisa kwa miaka miwili...Mambo yanaenda kutimia.

Jeshi ambalo asilimia 83% ya wanajeshi wake wamejitambulisha kama mashoga wanaweza vipi kukabiliana na mabarobaro kama Hezbollah au Hamas uso kwa uso?

Israel kinachombeba ni jeshi la anga tu but ardhini hamna jeshi pale, wamefyekwa sana huko Gaza na kaskazini mwa Israeli miji kama Kyrat Shmona na Upper Gallilee pamechomwa na Hezbollah hadi hapatamaniki...Jamaa wanalipua hadi mifumo ya Iron Dome.
Vita ya Israel na Hamasi-Sio Vita kama Vita zingine- ni Vita Inayopiganwa Not in battle field and dont follow Geneva Convetion ! Inapiganwa ndani ya hervy dense and high populated Peoples areas (Gaza) umakini wa ziada unatumika kuepusha Vifo vya wasiousika.Israel wanajitaidi sana kuepusha Majanga kwa Raia wasiousika-Wengi awaelewi hili
 
Pia kwenye ilo zoezi lililofanikisha kuokoa mateka wanne wameua mateka watatu na raia wa kipalestina zaidi ya 150
Apo kwenye kupoteza watatu ili kuokoa wanne sawa na hakuna mafanikio kwenye ilo zoezi ni vile wanaona aibu kurudisha jeshi nyumbani ila wamefeli vibaya sana
 
Back
Top Bottom