Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
Haha huyo ni Mbritish yuko Gaza eti Mjewish we kweli akili zako zimepindaTunawaambieni kila msiokoteze news vichororoni.. tizama huyo mdada ni Jews hater na haishi Gaza ila anaelezea as if ameshuhudia mchezo mzima wa uokozi... and hana ushahidi yaani katunga news same as Mudy kutokewa na Gibril waislam wote wakaamini..
Wapi nimeandika ni Mjewish? i wrote Jews hater yaani mchukia wayahudi same as you.. uwe unasoma vizuri kabla hujapinga pinga kama kafir wa Kiislam. Jews hater ni wenye chuki dhidi ya wayahudi narudia tena... watu kama huyo mdada wapo Aljazeera na vyombo vyote vya kiarabu...Haha huyo ni Mbritish yuko Gaza eti Mjewish we kweli akili zako zimepinda
Sawa nimekubali kuna kosa upande wangu sikusoma vizuri ulikusudia huyo anachukua majewish lakini wewe akilini kwako mtu akisema ukweli ndio Jew's haters?Wapi nimeandika ni Mjewish? i wrote Jews hater yaani mchukia wayahudi same as you.. uwe unasoma vizuri kabla hujapinga pinga kama kafir wa Kiislam. Jews hater ni wenye chuki dhidi ya wayahudi narudia tena... watu kama huyo mdada wapo Aljazeera na vyombo vyote vya kiarabu...
Tizama anasema kuwa watoa msaada ndio wamesaidia uokozi kitu ambacho ni uongo wa wazi mean UN imehusika uokozi wa Mateka...
Worning: Unachoongea kuwa makini nacho due naweza tumia against you in court of Law so you better stay calm and quiet, and silence shut up your dirt mouth Man.
I will support you ukileta news zenye ukweli ila za uongo I will be getting you busted for your lies. kindly be a good person like others uongo sio mzuri
We we unakinyesi kichwa hiyo 37000 hao ni wanajeshi au ni raia wa kawaida hvi ukipewa hata rungu tu utashindwa kuua watoto na wezee ?Inapofika suala la dini akili yako huwa unaiweka matakoni.Jeshi dhaifu liue watu 37,000.Hilo jeshi imara mbona limeshindwa kulinda raia wake?
Jeshi dhaifu lililo m eliminate mfadhili wa magaidi Rahisi?
Jeshi dhaifu ambalo limeondoa waandamizi wote wa hamas?
Suala la mateka ni la muda tuu.
Jamaa wana buy time kusudi mzidi kuyakoroga waendelee kuwa neutralize
Wew unAhida sana hata mwalimu wako alipata shida sanaImagine mateka wamefichwa Kwenye familia moja hapo Dar!mtaa Fulani, haijulikani ni kigamboni, manzese, Kerege, au mbezi, majasusi wanatafuta taharifa mpaka wanajua, walipofichwa! Makomandoo wanaendesha program ya kuokoa mchana kweupeee! Na, wanafsnikiwa! Hilo ni jeshi dhaifu!! Ur fucking kidding me, vipi kuhusu LA bongo kwa miaka zaidi ya, minne wameshindwa kuwapata waliompigq lisu risasi! Hili LA, kwetu ni mimavi mitupu