eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Mbona huwa mnasema Wayahudi hawa sio wale wa kwenye biblia?Sasa tuamini lipi!
Wote ni wale wale. Ndiyo maana wengine wanaendelea Kuwaitia wateule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huwa mnasema Wayahudi hawa sio wale wa kwenye biblia?Sasa tuamini lipi!
Wakristo ni punda wa wayahudi.
Yaani the ancient roman empire ikiona hivi vizazi vya sasa jinsi vinavyosujudia wayahudi basi ingelia sana.
Kina kaisari, herode na pilato hawakuwahi kutumikishwa na wayahudi kama hawa wanaojiita wakristo wa leo
Ona hii mburukenge ilivyo na akili fupi!!Kwamba ukiandika huo uharo wako ndio Wagaratia watakuwa upande wenu wavaa Kobazi?
WACHA WASHAMBULIE MAGAIDI HAWANA PA KUJIFICHA KWA SASA HATA WAKIENDA KANISANI WAPIGWE TU. HAKUNA KUWAONEA HURUMA.HILO NI JENGO TU LITAJENGWA TENA.Wanamgambo wa Israel wanaendelea kuonesha chuki zao kwa kuvamia makanisa ya kuyabomoa huko Lebanon
🚨🇮🇱🇱🇧 BREAKING: ISRAEL just BOMBED another Christian Church in Lebanon.
How could any Christian support these satanic terrorists?
Makanisa na Misikiti yakibomolewa unapungukiwa na nini kama Mtanzania acha utumwa wa kipumbavu angalia maisha yako.Wanamgambo wa Israel wanaendelea kuonesha chuki zao kwa kuvamia makanisa ya kuyabomoa huko Lebanon
🚨🇮🇱🇱🇧 BREAKING: ISRAEL just BOMBED another Christian Church in Lebanon.
How could any Christian support these satanic terrorists?
Niliwaambia humu mayahudi yesu wanamtemea mate na kumtukana, wakiristo wa ufipa wakaja juu na kusema Israel ni wenzao sasa kwa taarifa tu ni kwamba walianza kuwauwa wakiristo wa galilaya na palestine,Wanamgambo wa Israel wanaendelea kuonesha chuki zao kwa kuvamia makanisa ya kuyabomoa huko Lebanon
🚨🇮🇱🇱🇧 BREAKING: ISRAEL just BOMBED another Christian Church in Lebanon.
How could any Christian support these satanic terrorists?
Chuki tu.Na pale Vaticani ndio makao makuu ya Ulawiti
Wewe ni kondoo gani usieweza kwenda Lebanon kuwasaidia kondoo wenzako wasivunjiwe makanisa yaoSisi hata wakilipua Vatican kuua magaidi bado tutakuwa pamoja nao tu.Dawa ya gaidi ni kuwa gaidi zaidi yake.
Mlisema mayahudi ni ndugu zenu wa damu sasa mnafyekwa kwa aibuMagaidi ndiko yanakojificha.
Afu nyie watu kuna kitu hamuelewi na ndio kinatufanya watanzania wanashindwa kuelewa Israeli hapigani na Christianity au hiyo dini nyingine yeye anapigana na adui yake kwa mfano mnataka mniambie saiv putin anapigana na dini gani au anapigana na PalestineWanamgambo wa Israel wanaendelea kuonesha chuki zao kwa kuvamia makanisa ya kuyabomoa huko Lebanon
🚨🇮🇱🇱🇧 BREAKING: ISRAEL just BOMBED another Christian Church in Lebanon.
How could any Christian support these satanic terrorists?
Sasa mbona wanatuchanganya sisi waislamu tunaotaka kuandamana kukemea kupiga makombora misikiti.Wanamgambo wa Israel wanaendelea kuonesha chuki zao kwa kuvamia makanisa ya kuyabomoa huko Lebanon
🚨🇮🇱🇱🇧 BREAKING: ISRAEL just BOMBED another Christian Church in Lebanon.
How could any Christian support these satanic terrorists?
Siwezi kuangalia maisha yangu wakati Kondoo wanapotea lazima niwarudishe zizini.Makanisa na Misikiti yakibomolewa unapungukiwa na nini kama Mtanzania acha utumwa wa kipumbavu angalia maisha yako.
Israel inatumia wanamgambo kupigana vita hiyo?Wanamgambo wa Israel wanaendelea kuonesha chuki zao kwa kuvamia makanisa ya kuyabomoa huko Lebanon
🚨🇮🇱🇱🇧 BREAKING: ISRAEL just BOMBED another Christian Church in Lebanon.
How could any Christian support these satanic terrorists?
Wewe kama Mtanzania makanisa au misikiti ya Lebanon ikivunjwa unapata hasara gani na inakusaidia nini.Siwezi kuangalia maisha yangu wakati Kondoo wanapotea lazima niwarudishe zizini.
Kwenye vita lolote litatokea mnafiki wewe.Siwezi kuangalia maisha yangu wakati Kondoo wanapotea lazima niwarudishe zizini.
Huko ndio wanakojificha magaidi (according to kondoo wa bwana )Wanamgambo wa Israel wanaendelea kuonesha chuki zao kwa kuvamia makanisa ya kuyabomoa huko Lebanon
🚨🇮🇱🇱🇧 BREAKING: ISRAEL just BOMBED another Christian Church in Lebanon.
How could any Christian support these satanic terrorists?
We ni Mtu mzima ovyooKanisa ni tofauti kabisa na jengo hilo
Kanisa ni wewe mwenyewe, mwili wako ndilo hekalu la Roho mtakatifu,
Hilo ni jengo tu Maalimu!
Litajengwa tena hilo,
Wamevunja jengo Kanisa ni watu litajengwa tu usiumie mnafiki mkubwa we.Siwezi kuangalia maisha yangu wakati Kondoo wanapotea lazima niwarudishe zizini.