Israel washambulia Total Energies za Mfaransa

Israel washambulia Total Energies za Mfaransa

Mimi nasema hao Wafaransa ni wanafik, wanafanya mchezo wa kuigiza tu na mazayuni.

Wafaransa, Waingereza, Marekani na NATO yote. Waturuki wakiwemo, ni waanafik na hawawezi kwenda kinyume na mazayuni na wao ndiyo wanawapa nguvu mazayuni.
Wewe ajuza angalia mikatili miyenzio ya kiislamu ya gaza jinsi ilivyofanya siku ya October 7, 2023

View: https://x.com/IsraelWarRoom/status/1843153309953327486
Mikatili kama jangili wao mkuu Mohammad

View: https://x.com/asli_nabi/status/1842859876646592800
 
Israel kuonyesha kuchanganyikiwa washambulia Total Energies za mfaransa.

Katika kuonyesha kuchanganyikiwa Israel wameshambilia ofisi, maghala, na Sheli za kampuni ya Total Energies za mfaransa huko Beirut Lebanon.

Hii inajiri baada ya Macron kutangaza hawatowapa Israel silaha tena na kuzitaka nchi nyingine kufuata huo utaratibu.

Wakati huo huo Uingereza nayo inapanga kuvunja uhusiano na Israel na kuacha kabisa kupeleka silaha kwa Israel.

Hatua hii inaonekana kuwa mwiba kwa Israel ambayo tunaaminishwa kuwa ni nchi iliyoendelea, wavumbuzi na walogundua silaha zote duniani na tukaaminishwa silaha zote anatengeneza yeye na teknolojia zote mgunduzi ni yeye lakini kila kitu anategemea msaada,kumbe ni propaganda tu wameambiwa watanyimwa silaha wanatoa mlio hivyo.

Soma Pia: Israel yashambulia Lebanon kwa ndege za kivita na makombora. Maghala ya silaha na vituo vya kurushia roketi zaidi ya 100 zalipuliwa

Nilishasema hili Taifa likinyimwa msaada wiki mbili tu litakua limepotea duniani na walowezi wote washarudi Ulaya huko hakuna taifa pale ni mchongo tu na bado kuna "mikaa" ya huku Africa wanakuambia ni taifa teule

Wameanza kushambulia Total energies za mfaransa, mkiambiwa hawa watu hawabebeki muwe mnaelewa pili hawana shukurani wala hisani!!
Wewe ni mzee wa "Proud of" bila kupepesa macho🤔. Maana sio kwa ulivyoishambulia Israel kwenye hii thread yako.
 
Hao wakikosa tu misaada ya west Hamas wanachukua ardhi yao kama wanamsukuma mlevi vile.

Israel is a dead state without western support
 
We muda si mrefu utaanza kupewa dawa ya kutuliza changamoto ya afya ya akili, Huyo Mungu wa Israel alieandikwa Kwenye hivyo vitabu hivyo vitabu waliandika kina nani, si hao hao Waisrael ulitaka wakuandikie mungu yupi kama sio wa kwao? Au kuna mahali popote kwenye hicho kitabu kuna saini ya huyo Mungu kwamba hayo maneno aliyatamka yeye!?
ayseee!

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Back
Top Bottom