Israel: Waziri wa Ulinzi Benny Gantz aiambia Israel ijiandae kwa vita dhidi ya Iran

Israel: Waziri wa Ulinzi Benny Gantz aiambia Israel ijiandae kwa vita dhidi ya Iran

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Gantz.jpg

Benny Gantz
Waziri wa ulinzi wa Israel ametoa maelekezo ya kuishambulia Iran hivi leo mara baada ya kupewa ruksa ya kuichapa Iran.

Waziri huyo wa ulinzi ameshalielekeza jeshi la anga jinsi ya kuipiga Iran bila kukosea target.

Pia majuzi Iran imesambaza wanajeshi wake mashariki ya kati kwa ajili ya kuishambulia Israel na Nchi zingine kwenye ukanda huo. #Gantz asema.

Waziri wa ulinzi wa Israel yuko nchini Marekani kujadiri na kuiomba marekani iipe ruksa ya kuishambulia Iran. Waziri huyo wa Ulinzi alisema kwamba Iran imesambaza wanajeshi wake maeneo yote ya mashariki ya kati kwa ajili ya kuishambulia Israel na nchi jirani.

Waziri huo wa ulinzi ameiomba marekani iipe ruksa ya kuishambulia Iran hasa kwenye vituo vyake vya nyuklia.

Gantz amesema kuwa Israel haitosita kujilinda na kuwalinda raia wake pamoja na mali zake.

Haaretz.com
 
#Gantz aiambia Israel ijiandae kwa vita dhidi ya Iran.

Waziri wa ulinzi wa Israel ametoa maelekezo ya kuishambulia Iran hivi leo mara baada ya kupewa ruksa ya kuichapa Iran.

Waziri huyo wa ulinzi ameshalielekeza jeshi la anga jinsi ya kuipiga Iran bila kukosea target.

Pia majuzi

Iean imesambaza wanajeshi wake mashariki ya kati kwa ajili ya kuishambulia Israel na Nchi zingine kwenye ukanda huo. #Gantz asema.

Waziri wa ulinzi wa Israel yuko nchini Marekani kujadiri na kuiomba marekani iipe ruksa ya kuishambulia Iran. Waziri huyo wa Ulinzi alisema kwamba Iran imesambaza wanajeshi wake maeneo yote ya mashariki ya kati kwa ajili ya kuishambulia Israel na nchi jirani.

Waziri huo wa ulinzi ameiomba marekani iipe ruksa ya kuishambulia Iran hasa kwenye vituo vyake vya nyuklia.

Gantz amesema kuwa Israel haitosita kujilinda na kuwalinda raia wake pamoja na mali zake. Haaretz.com
Yuko marekan kuomba msaada asaidiwe kuipiga iran na sio kuomba ruhusa ya kuishambulia
 
Ikitokea Israel ameishambulia iran basi ujue Kuna nchi yenye nguvu kubwa Sana inaisaidia hiyo Israel, ama sivyo haiwezi thubutu
 
Mbwembwe tu Israeli akitaka kupiga sehemu uwa hasema anachapa tu.
 
#Gantz aiambia Israel ijiandae kwa vita dhidi ya Iran.

Waziri wa ulinzi wa Israel ametoa maelekezo ya kuishambulia Iran hivi leo mara baada ya kupewa ruksa ya kuichapa Iran.

Waziri huyo wa ulinzi ameshalielekeza jeshi la anga jinsi ya kuipiga Iran bila kukosea target.

Pia majuzi

Iran imesambaza wanajeshi wake mashariki ya kati kwa ajili ya kuishambulia Israel na Nchi zingine kwenye ukanda huo. #Gantz asema.

Waziri wa ulinzi wa Israel yuko nchini Marekani kujadiri na kuiomba marekani iipe ruksa ya kuishambulia Iran. Waziri huyo wa Ulinzi alisema kwamba Iran imesambaza wanajeshi wake maeneo yote ya mashariki ya kati kwa ajili ya kuishambulia Israel na nchi jirani.

Waziri huo wa ulinzi ameiomba marekani iipe ruksa ya kuishambulia Iran hasa kwenye vituo vyake vya nyuklia.

Gantz amesema kuwa Israel haitosita kujilinda na kuwalinda raia wake pamoja na mali zake. Haaretz.com
Kimsboy ni mwongo mwongo wala msitilie maanani
 
Kimsboy ni mwongo mwongo wala msitilie maanani
hahahahaha umenichekesha Sana mkuu,
Kimsboy ni muiran Mweusi,
Huyo ostadh mchaga nichochezi balaa anavyotoa habari Sasa utajua Hiyo vita inaanza Leo na kesho hakuna nchi itakuwepo baada ya kusambaratishwa na Nuclear reactors!
😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom