Ee Bwana nakubaliana na wewe kabisa na hapo sasa ingekuaje na kule muisrael kashayatibua ikabidi iwe hivyo ila sasa doh myahudi myahudi tu nakumbuka Escape from Sobibo yule Bwana alitaka kuwafuta wote kwenye uso wa Dunia kisa nini eti anadai wale mabwana ndio waliomsulibisha Yesu kwa hio wana hatia hio lazima wakione cha moto aliwatia kashikashi hatari angalia hio Escape from Sobibo, Bwana Adolphe ukiangalia kale ka mustache mdomo wa juu ni km wa Bwana Mkubwa......Ili tu aweze kupata mafuta kwa maana bila ya hivyo angeendeshaje nchi bila mafuta na kipindi hicho kulikuwa na Oil Crisis ya mwaka 1973.
Dini gani mzee sisi kwetu Qur'an hatuitambui wala Muhammad kwetu sio mtume sasa unataka kutalazimisha kuelewa hizo hadith za kiarabu ili iweje jombaaBani Israel nimeku fahamisha wako 12 watafutie basi nchi 12 kama unaweza 😄 mkiambiwa nyie ni makondoo mnabisha. Hio Israel mnayo ita ni taifa teule haina hata history kwenye vitabu vya dini ni Jerusalem ndio ipo tena inaitwa Al Quds. Sababu Israel ni jina la mtu sio nchi.
Nchi ni UK ndio kaitengeneza afu bibilia zenu zikanza kuita taifa teule tena hizo fake edition bibilia ni kama Music kuna new edition sijui hata hizo ni edition hahahaha
Mkuu wewe ni kati ya watu wachache walioamua kujua undani wa ugomvi huu-kudos. Ni kwamba shetani kwa sasa ndiye mtawala wa Dunia hii (Biblia) ila Mungu ameweka ukomo. Akiwa mtawala anatumia sana media kutapagaza propaganda zake ndiyo maana unaona hata vyombo kama BBC, CNN na Skynews. Al Jazeera wao inajulikana ni ngome ya Shetani. Pia shetani awatumia viongozi wa kisiasa hasa wale wenye mrengo wa Kisoshalisti na kiliberali the likes of Labour, democrats china Russia etc. Shetani amefanikiwa sana kupotosha ukweli kuhusu haki ya wayahudi kuwa na Taifa lao pale Israel; wao wayahudi wamejitahidi ktk taifa lao hata wamewakubali waarabu waislamu wapatao 2,000,000 kuwa raia wa Israel- Dunia haitambui hilo wala kulitangaza. Quran inazungumza moja kwa moja kuwa Waislamu wawauwe wayahudi na wakristo, lakini hausikii chombo cha habari kikitangaza hilo. Charter ya 1988 iliyounda Hamas imeweka hiyo shabaha ya kuwaangamiza wayahudi, lakini hamna kiongozi wa kisiasa wala chombo cha habari kinakemea hilo. Vita ya Lebanon ya 2006 iliisha baada ya UN kupitisha Azimio 1701 kuwa Hezbollah wasivuke mto Litani kuja kusini mpakani mwa Israel. Lakini UN ikawaachia Hezbollah wakaja mpaka mpakani. Agenda yao ni ile ile ya Quran kuangamiza wayahudi wote na baada ya hapo kusimamisha islamic calphate.Hakuna linaloshindikana mbele ya Allah, haijalishi una udogo kiasi gani kukiwa na mkono wa Allah utawashinda wakubwa wanaoungana kukuchangia, Israel ni ka nchi kadogo lakini imeweza kuushangaza ulimwengu mara kadhaa ikiwemo kuzitandika nchi tano kubwa za kiarabu ndani ya siku sita tu, kinachoendelea kwa sasa Israel imewamaliza Rais wa Ira, Kiongozi wa Hamas, Kiongozi wa Hezbollah, Kulipua maadui kwa pager, n.k.
Bani Israel (Makabila 12 yaliyoishi ardhi ya Israel) imetajwa mara nyingi sana kwenye Quran, zaidi ya Mara 40, hakuna sehemu yoyote imetaja Palestina.
Allah anakiri kuitambua ardhi waliyoishi Bani Israel na kuwapa baraka zake, hakuna ardhi waliyoiba ama kukaa kimabavu, Hakuna sehemu yoyote imetaja Palestina ama makoloni yaliyowahi kuikalia ardhi hio kama Ottoman, British Mandate, n.k.
Waisrael walifurushwa kwenda utumwani ulaya na hapo badae wakaanza kurudi kwao kama ilivyokuwa baada ya kutumikishwa muda mrefu Misri, Quran inawaita wayahidi Bani Israel ikiwaambua ni muunganiko wa makabila 12 ya Israel, haijaishia hapo Quran inatambua kwamba Allah aliwapa wayahudi hati ya ardhi ya kuishi.
Wanavyorudi waliikuta ardhi ni koloni la Uingereza linaloitwa Palestine, Kulikuwa na wayahudi wachache waliobaki, wengi walikuwa waarabu waliohamia vipindi ambavyo ardhi ilikuwa chini ya himaya nyingi za kiarabu.
Wayahudi walikubaliana na hio hali kukuta wageni kwenye ardhi yao lakini waarabu walikuwa wanapinga wayahudi kurudi kwenye ardhi yao iliyotambulika na Allah, kulikuwa na mvutano sana + wayahudi kushambuliwa ikafikia kipindi umoja wa Mataifa ukaleta muswada wa kuunda mataifa mawili ya Palestina kwajili ya waarabu na Israel kwajili ya wayahudi.
Waarabu wa Palestina waliukataa huo muswada, walitaka ardhi yote iwe yao, Ndipo vita ya Israel na Palestina ilipoanzia lakini kwa baraka za Allah, Israel imekuwa ikipokea baraka za ushindi kadri muda unavyozidi kwenda.
Mi naomba kuuliza ,quran inaposema hakika mtawafuata walio kabla yenu..je hiyo kabla hawa watu walikuwa wanamuabudu nani..maana inaonekana kama Allah hakuwepo au mimi ndio sijaelewa.Hadithi unayorejelea inazungumzia hali ya Waislamu kufuata nyayo za Mayahudi na Wakristo mpaka katika mambo madogo, na inatolewa kama tahadhari dhidi ya kuiga mila na desturi za watu wa dini nyingine zisizokuwa za Kiislamu. Hadithi hii imepokelewa kutoka kwa Mtume Muhammad (S.A.W.) na imeelezwa katika vitabu vya hadithi kama vile Sahih Bukhari na Sahih Muslim.
Mtume Muhammad (S.A.W.) alisema:"Hakika mtawafuata walio kabla yenu (Mayahudi na Wakristo) hatua kwa hatua, kiasi kwamba hata kama wangeingia katika shimo la kenge, mngewaingia."
Kama Hadi kuilewa kitabu chenu unakioinga uko sawa kweli mentallyHakuna sehemu Qur'an inaongelea taifa linaitwa Israel wacha uwongo, Qur'an inaongelea Bani Israel watoto wa Israel kwa hio mtu akisema watoto wa flani ndio nchi 😄 Kondoo mlio potea noma sana ardhi mlio ahadiwa ni wapi kama sio Saud Arabia. Mussa alienda wapi si alipita Red Sea kuna Red Sea kati ya Israel na Egypt 😄
Kwa hiyo mnapingana Hadi Quarani yenu ?Stori za mwizi ukizisikiliza hupati mali Yako. Waondoke bana wakatafute mahali walipoolipoteza hiyo nchi Yao.
Kabla yao ni wakristo Karne ya kwanzaMi naomba kuuliza ,quran inaposema hakika mtawafuata walio kabla yenu..je hiyo kabla hawa watu walikuwa wanamuabudu nani..maana inaonekana kama Allah hakuwepo au mimi ndio sijaelewa.
Waislamu wengi huku Africa hasa Tanzania hawaijui Quran, huaga ni mihemko tu. Utakuta huku wanadhani jamaa wanapigana kwasababu ya dini, hawajui chochote kuhusu dini yao.Bani Israel ni muunganiko wa makabila 12 ya wayahudi yaliyoishi eneo la Israel,
Mfano mdogo Surah Al-Ma'idah inaonyeshwa wazi Allah kuwapa waisrael hio ardhi
Kwa hiyo inawatambua walikuwa wanakaa wapi? Heawani au...Hakuna sehemu Qur'an inaongelea taifa linaitwa Israel wacha uwongo, Qur'an inaongelea Bani Israel watoto wa Israel kwa hio mtu akisema watoto wa flani ndio nchi 😄 Kondoo mlio potea noma sana ardhi mlio ahadiwa ni wapi kama sio Saud Arabia. Mussa alienda wapi si alipita Red Sea kuna Red Sea kati ya Israel na Egypt 😄
Hao Ban Israeli watoto wa Israeli wakati huo walikuwa wanaishi wapi?Hakuna sehemu Qur'an inaongelea taifa linaitwa Israel wacha uwongo, Qur'an inaongelea Bani Israel watoto wa Israel kwa hio mtu akisema watoto wa flani ndio nchi 😄 Kondoo mlio potea noma sana ardhi mlio ahadiwa ni wapi kama sio Saud Arabia. Mussa alienda wapi si alipita Red Sea kuna Red Sea kati ya Israel na Egypt 😄
Najua kama ni Wakristo na Wayahudi je Allah anawatambua hao walikuwa wanamuabudu nani? Maana siamini kama walikuwa wanamuabudu Allah kwa sababu inaonekana enzi zao hakuwepo kaja enzi za muhamadKabla yao ni wakristo Karne ya kwanza
Hapo Muhamed kajitoa kijanja hata wakija kuulizwa awaambie niliwaandikia
Mgogoro wa palestina na Israel hauna uhusiano na kuran . Hamna sehemu kwenye kuran imesema wayahudi wachukue kwa nguvu ardhi ya wapalestina japo Mimi siyo muslim ila Nina uhakika hamnaKwa hiyo mnapingana Hadi Quarani yenu ?
Usiache kunywa dawa...uchizi hauponyeki....Ni suala la historia yenye ushahidi mpaka kwenye kitabu takatifu cha Quran
Wayahudi waachiwe ardhi yao,
Usipotoshe humu, mayahudi wapo kila nchi duniani kama walivyo wabongo, wamasai, na wachina lakini haimaanishi kwamba kila walipo ardhi ni yao, hiyo hati unayosema wamepewa ya ardhi emu lete hapa.Hakuna linaloshindikana mbele ya Allah, haijalishi una udogo kiasi gani kukiwa na mkono wa Allah utawashinda wakubwa wanaoungana kukuchangia, Israel ni ka nchi kadogo lakini imeweza kuushangaza ulimwengu mara kadhaa ikiwemo kuzitandika nchi tano kubwa za kiarabu ndani ya siku sita tu, kinachoendelea kwa sasa Israel imewamaliza Rais wa Ira, Kiongozi wa Hamas, Kiongozi wa Hezbollah, Kulipua maadui kwa pager, n.k.
Bani Israel (Makabila 12 yaliyoishi ardhi ya Israel) imetajwa mara nyingi sana kwenye Quran, zaidi ya Mara 40, hakuna sehemu yoyote imetaja Palestina.
Allah anakiri kuitambua ardhi waliyoishi Bani Israel na kuwapa baraka zake, hakuna ardhi waliyoiba ama kukaa kimabavu, Hakuna sehemu yoyote imetaja Palestina ama makoloni yaliyowahi kuikalia ardhi hio kama Ottoman, British Mandate, n.k.
Waisrael walifurushwa kwenda utumwani ulaya na hapo badae wakaanza kurudi kwao kama ilivyokuwa baada ya kutumikishwa muda mrefu Misri, Quran inawaita wayahidi Bani Israel ikiwaambua ni muunganiko wa makabila 12 ya Israel, haijaishia hapo Quran inatambua kwamba Allah aliwapa wayahudi hati ya ardhi ya kuishi.
Wanavyorudi waliikuta ardhi ni koloni la Uingereza linaloitwa Palestine, Kulikuwa na wayahudi wachache waliobaki, wengi walikuwa waarabu waliohamia vipindi ambavyo ardhi ilikuwa chini ya himaya nyingi za kiarabu.
Wayahudi walikubaliana na hio hali kukuta wageni kwenye ardhi yao lakini waarabu walikuwa wanapinga wayahudi kurudi kwenye ardhi yao iliyotambulika na Allah, kulikuwa na mvutano sana + wayahudi kushambuliwa ikafikia kipindi umoja wa Mataifa ukaleta muswada wa kuunda mataifa mawili ya Palestina kwajili ya waarabu na Israel kwajili ya wayahudi.
Waarabu wa Palestina waliukataa huo muswada, walitaka ardhi yote iwe yao, Ndipo vita ya Israel na Palestina ilipoanzia lakini kwa baraka za Allah, Israel imekuwa ikipokea baraka za ushindi kadri muda unavyozidi kwenda.
Walikuwa wakiabudu masanamu na vitu vingine....ni kama wahindu wanavyoabudu ng'ombe....ndo maana mitume na manabii mbalimbali walikuwa wanaletwa Ili kuwahubiria na kuwaonesha Mungu wa kwli ni yupi na anatakiwa aabudiwe vipi.....Mi naomba kuuliza ,quran inaposema hakika mtawafuata walio kabla yenu..je hiyo kabla hawa watu walikuwa wanamuabudu nani..maana inaonekana kama Allah hakuwepo au mimi ndio sijaelewa.
Kwa hiyo hakukuwa na waislamu?Walikuwa wakiabudu masanamu na vitu vingine....ni kama wahindu wanavyoabudu ng'ombe....ndo maana mitume na manabii mbalimbali walikuwa wanaletwa Ili kuwahubiria na kuwaonesha Mungu wa kwli ni yupi na anatakiwa aabudiwe vipi.....
Je kuna sehemu imeandikwa Taifa la Saudi Arabia?Hakuna sehemu Qur'an inaongelea taifa linaitwa Israel wacha uwongo,
Kulikuwa na ujaahiliaKwa hiyo hakukuwa na waislamu?