Israel ya Wayahudi inatambulika kwenye Quran zaidi ya mara 40, Wayahudi wana haki ya kulinda eneo lao

Israel ya Wayahudi inatambulika kwenye Quran zaidi ya mara 40, Wayahudi wana haki ya kulinda eneo lao

......Ili tu aweze kupata mafuta kwa maana bila ya hivyo angeendeshaje nchi bila mafuta na kipindi hicho kulikuwa na Oil Crisis ya mwaka 1973.
Ee Bwana nakubaliana na wewe kabisa na hapo sasa ingekuaje na kule muisrael kashayatibua ikabidi iwe hivyo ila sasa doh myahudi myahudi tu nakumbuka Escape from Sobibo yule Bwana alitaka kuwafuta wote kwenye uso wa Dunia kisa nini eti anadai wale mabwana ndio waliomsulibisha Yesu kwa hio wana hatia hio lazima wakione cha moto aliwatia kashikashi hatari angalia hio Escape from Sobibo, Bwana Adolphe ukiangalia kale ka mustache mdomo wa juu ni km wa Bwana Mkubwa
 
Bani Israel nimeku fahamisha wako 12 watafutie basi nchi 12 kama unaweza 😄 mkiambiwa nyie ni makondoo mnabisha. Hio Israel mnayo ita ni taifa teule haina hata history kwenye vitabu vya dini ni Jerusalem ndio ipo tena inaitwa Al Quds. Sababu Israel ni jina la mtu sio nchi.

Nchi ni UK ndio kaitengeneza afu bibilia zenu zikanza kuita taifa teule tena hizo fake edition bibilia ni kama Music kuna new edition sijui hata hizo ni edition hahahaha
Dini gani mzee sisi kwetu Qur'an hatuitambui wala Muhammad kwetu sio mtume sasa unataka kutalazimisha kuelewa hizo hadith za kiarabu ili iweje jombaa
 
Hakuna linaloshindikana mbele ya Allah, haijalishi una udogo kiasi gani kukiwa na mkono wa Allah utawashinda wakubwa wanaoungana kukuchangia, Israel ni ka nchi kadogo lakini imeweza kuushangaza ulimwengu mara kadhaa ikiwemo kuzitandika nchi tano kubwa za kiarabu ndani ya siku sita tu, kinachoendelea kwa sasa Israel imewamaliza Rais wa Ira, Kiongozi wa Hamas, Kiongozi wa Hezbollah, Kulipua maadui kwa pager, n.k.

Bani Israel (Makabila 12 yaliyoishi ardhi ya Israel) imetajwa mara nyingi sana kwenye Quran, zaidi ya Mara 40, hakuna sehemu yoyote imetaja Palestina.

Allah anakiri kuitambua ardhi waliyoishi Bani Israel na kuwapa baraka zake, hakuna ardhi waliyoiba ama kukaa kimabavu, Hakuna sehemu yoyote imetaja Palestina ama makoloni yaliyowahi kuikalia ardhi hio kama Ottoman, British Mandate, n.k.

Waisrael walifurushwa kwenda utumwani ulaya na hapo badae wakaanza kurudi kwao kama ilivyokuwa baada ya kutumikishwa muda mrefu Misri, Quran inawaita wayahidi Bani Israel ikiwaambua ni muunganiko wa makabila 12 ya Israel, haijaishia hapo Quran inatambua kwamba Allah aliwapa wayahudi hati ya ardhi ya kuishi.

Wanavyorudi waliikuta ardhi ni koloni la Uingereza linaloitwa Palestine, Kulikuwa na wayahudi wachache waliobaki, wengi walikuwa waarabu waliohamia vipindi ambavyo ardhi ilikuwa chini ya himaya nyingi za kiarabu.

Wayahudi walikubaliana na hio hali kukuta wageni kwenye ardhi yao lakini waarabu walikuwa wanapinga wayahudi kurudi kwenye ardhi yao iliyotambulika na Allah, kulikuwa na mvutano sana + wayahudi kushambuliwa ikafikia kipindi umoja wa Mataifa ukaleta muswada wa kuunda mataifa mawili ya Palestina kwajili ya waarabu na Israel kwajili ya wayahudi.

Waarabu wa Palestina waliukataa huo muswada, walitaka ardhi yote iwe yao, Ndipo vita ya Israel na Palestina ilipoanzia lakini kwa baraka za Allah, Israel imekuwa ikipokea baraka za ushindi kadri muda unavyozidi kwenda.
Mkuu wewe ni kati ya watu wachache walioamua kujua undani wa ugomvi huu-kudos. Ni kwamba shetani kwa sasa ndiye mtawala wa Dunia hii (Biblia) ila Mungu ameweka ukomo. Akiwa mtawala anatumia sana media kutapagaza propaganda zake ndiyo maana unaona hata vyombo kama BBC, CNN na Skynews. Al Jazeera wao inajulikana ni ngome ya Shetani. Pia shetani awatumia viongozi wa kisiasa hasa wale wenye mrengo wa Kisoshalisti na kiliberali the likes of Labour, democrats china Russia etc. Shetani amefanikiwa sana kupotosha ukweli kuhusu haki ya wayahudi kuwa na Taifa lao pale Israel; wao wayahudi wamejitahidi ktk taifa lao hata wamewakubali waarabu waislamu wapatao 2,000,000 kuwa raia wa Israel- Dunia haitambui hilo wala kulitangaza. Quran inazungumza moja kwa moja kuwa Waislamu wawauwe wayahudi na wakristo, lakini hausikii chombo cha habari kikitangaza hilo. Charter ya 1988 iliyounda Hamas imeweka hiyo shabaha ya kuwaangamiza wayahudi, lakini hamna kiongozi wa kisiasa wala chombo cha habari kinakemea hilo. Vita ya Lebanon ya 2006 iliisha baada ya UN kupitisha Azimio 1701 kuwa Hezbollah wasivuke mto Litani kuja kusini mpakani mwa Israel. Lakini UN ikawaachia Hezbollah wakaja mpaka mpakani. Agenda yao ni ile ile ya Quran kuangamiza wayahudi wote na baada ya hapo kusimamisha islamic calphate.
Hii Islamic CALPHATE ndiyo kwa sasa inawagombanisha waislamu duniani.
Muslim brotherhood ndiyo walianza na hiyo Agenda. Saudia walikuwa wa kwanza kuingia kwenye huo mtego. Lakini baadae Saudia na UAE wakagundua kuwa dhana hiyo inahatarisha pia tawala zao za KIFALME. Wakawafukuza muslim brotherhood wakakimbilia USA, ambako kwa sasa wanawaletea vurugu huko vyuo vikuu.
Kwa kuwa CALPHATE ni agenda ya Quran ile ile, Iran ( Mshia) wameibeba kama wao serikali ya Iran. Wanasambazaje? Ndiyo wakaunda Hezbollah ili kwa kuanzia wawaangamize Israel. Hamas nao ingawa ni Sunni, bado wanabeba Agenda za muslim brotherhood. Sasa kwa tamaa zao za mapesa ya Iran na Qatar wakaingia kwenye mtego wa kutumiwa na Iran. By the way Qatar naye anabeba agenda za muslim brotherhood. Sasa na yeye sijui utajiri umemlevya? Amajichanganya na Iran.
My point is Huwezi sikia Saudia wala UAE wala Bahrain wanahangaika na huu mgogoro. Hii ni kwa sababu wanajua fika kuwa AGENDA YAO YA ISLAMIC CALPHATE ni hatari pia kwa TAWALA ZAO za KIFALME.
SASA KULINGANA NA ULICHO ANDIKA AMBACHO UKWELI KABISA, HIKI NDIYO KINACHOENDA KUTOKEA
1. ISREAL ATAMFUTILIA MBALI HAMAS
2. AGAINST ALL ODDS, HEZBOLLAH ANAENDA KUFUTILIWA MBALI
3. UTAWALA WA KIAYATOLLAH WA IRAN, UTAJICHANGANYA TU KUJITUTUMUA NA WENYEWE UNAENDA KUFUTILIWA MBALI
4. MWEZI HUU WA OCTOBER TUTEGEMEE MAMBO MAKUBWA KUTOKEA
5. WAISLAMU WALE WANAYEMTAFUTA MUNGU WA KWELI TAZAMENI ALAMA HIZI ZA NYAKATI NA MUONDOKE HUKO GIZANI
 
Stori za mwizi ukizisikiliza hupati mali Yako. Waondoke bana wakatafute mahali walipoolipoteza hiyo nchi Yao.
 
Hadithi unayorejelea inazungumzia hali ya Waislamu kufuata nyayo za Mayahudi na Wakristo mpaka katika mambo madogo, na inatolewa kama tahadhari dhidi ya kuiga mila na desturi za watu wa dini nyingine zisizokuwa za Kiislamu. Hadithi hii imepokelewa kutoka kwa Mtume Muhammad (S.A.W.) na imeelezwa katika vitabu vya hadithi kama vile Sahih Bukhari na Sahih Muslim.

Mtume Muhammad (S.A.W.) alisema:"Hakika mtawafuata walio kabla yenu (Mayahudi na Wakristo) hatua kwa hatua, kiasi kwamba hata kama wangeingia katika shimo la kenge, mngewaingia."
Mi naomba kuuliza ,quran inaposema hakika mtawafuata walio kabla yenu..je hiyo kabla hawa watu walikuwa wanamuabudu nani..maana inaonekana kama Allah hakuwepo au mimi ndio sijaelewa.
 
Hakuna sehemu Qur'an inaongelea taifa linaitwa Israel wacha uwongo, Qur'an inaongelea Bani Israel watoto wa Israel kwa hio mtu akisema watoto wa flani ndio nchi 😄 Kondoo mlio potea noma sana ardhi mlio ahadiwa ni wapi kama sio Saud Arabia. Mussa alienda wapi si alipita Red Sea kuna Red Sea kati ya Israel na Egypt 😄
Kama Hadi kuilewa kitabu chenu unakioinga uko sawa kweli mentally
 
Mi naomba kuuliza ,quran inaposema hakika mtawafuata walio kabla yenu..je hiyo kabla hawa watu walikuwa wanamuabudu nani..maana inaonekana kama Allah hakuwepo au mimi ndio sijaelewa.
Kabla yao ni wakristo Karne ya kwanza
Hapo Muhamed kajitoa kijanja hata wakija kuulizwa awaambie niliwaandikia
 
Bani Israel ni muunganiko wa makabila 12 ya wayahudi yaliyoishi eneo la Israel,

Mfano mdogo Surah Al-Ma'idah inaonyeshwa wazi Allah kuwapa waisrael hio ardhi
Waislamu wengi huku Africa hasa Tanzania hawaijui Quran, huaga ni mihemko tu. Utakuta huku wanadhani jamaa wanapigana kwasababu ya dini, hawajui chochote kuhusu dini yao.
 
Yako maeneo mengi Sana Quarani inawaelekeza wafuate wakristo lakini wanakaza Ila Muhamed yeye atalaumiwa ameshawaelekeza kwenye Quaran
 
Hakuna sehemu Qur'an inaongelea taifa linaitwa Israel wacha uwongo, Qur'an inaongelea Bani Israel watoto wa Israel kwa hio mtu akisema watoto wa flani ndio nchi 😄 Kondoo mlio potea noma sana ardhi mlio ahadiwa ni wapi kama sio Saud Arabia. Mussa alienda wapi si alipita Red Sea kuna Red Sea kati ya Israel na Egypt 😄
Kwa hiyo inawatambua walikuwa wanakaa wapi? Heawani au...
 
Hakuna sehemu Qur'an inaongelea taifa linaitwa Israel wacha uwongo, Qur'an inaongelea Bani Israel watoto wa Israel kwa hio mtu akisema watoto wa flani ndio nchi 😄 Kondoo mlio potea noma sana ardhi mlio ahadiwa ni wapi kama sio Saud Arabia. Mussa alienda wapi si alipita Red Sea kuna Red Sea kati ya Israel na Egypt 😄
Hao Ban Israeli watoto wa Israeli wakati huo walikuwa wanaishi wapi?
 
Kabla yao ni wakristo Karne ya kwanza
Hapo Muhamed kajitoa kijanja hata wakija kuulizwa awaambie niliwaandikia
Najua kama ni Wakristo na Wayahudi je Allah anawatambua hao walikuwa wanamuabudu nani? Maana siamini kama walikuwa wanamuabudu Allah kwa sababu inaonekana enzi zao hakuwepo kaja enzi za muhamad
 
Hakuna linaloshindikana mbele ya Allah, haijalishi una udogo kiasi gani kukiwa na mkono wa Allah utawashinda wakubwa wanaoungana kukuchangia, Israel ni ka nchi kadogo lakini imeweza kuushangaza ulimwengu mara kadhaa ikiwemo kuzitandika nchi tano kubwa za kiarabu ndani ya siku sita tu, kinachoendelea kwa sasa Israel imewamaliza Rais wa Ira, Kiongozi wa Hamas, Kiongozi wa Hezbollah, Kulipua maadui kwa pager, n.k.

Bani Israel (Makabila 12 yaliyoishi ardhi ya Israel) imetajwa mara nyingi sana kwenye Quran, zaidi ya Mara 40, hakuna sehemu yoyote imetaja Palestina.

Allah anakiri kuitambua ardhi waliyoishi Bani Israel na kuwapa baraka zake, hakuna ardhi waliyoiba ama kukaa kimabavu, Hakuna sehemu yoyote imetaja Palestina ama makoloni yaliyowahi kuikalia ardhi hio kama Ottoman, British Mandate, n.k.

Waisrael walifurushwa kwenda utumwani ulaya na hapo badae wakaanza kurudi kwao kama ilivyokuwa baada ya kutumikishwa muda mrefu Misri, Quran inawaita wayahidi Bani Israel ikiwaambua ni muunganiko wa makabila 12 ya Israel, haijaishia hapo Quran inatambua kwamba Allah aliwapa wayahudi hati ya ardhi ya kuishi.

Wanavyorudi waliikuta ardhi ni koloni la Uingereza linaloitwa Palestine, Kulikuwa na wayahudi wachache waliobaki, wengi walikuwa waarabu waliohamia vipindi ambavyo ardhi ilikuwa chini ya himaya nyingi za kiarabu.

Wayahudi walikubaliana na hio hali kukuta wageni kwenye ardhi yao lakini waarabu walikuwa wanapinga wayahudi kurudi kwenye ardhi yao iliyotambulika na Allah, kulikuwa na mvutano sana + wayahudi kushambuliwa ikafikia kipindi umoja wa Mataifa ukaleta muswada wa kuunda mataifa mawili ya Palestina kwajili ya waarabu na Israel kwajili ya wayahudi.

Waarabu wa Palestina waliukataa huo muswada, walitaka ardhi yote iwe yao, Ndipo vita ya Israel na Palestina ilipoanzia lakini kwa baraka za Allah, Israel imekuwa ikipokea baraka za ushindi kadri muda unavyozidi kwenda.
Usipotoshe humu, mayahudi wapo kila nchi duniani kama walivyo wabongo, wamasai, na wachina lakini haimaanishi kwamba kila walipo ardhi ni yao, hiyo hati unayosema wamepewa ya ardhi emu lete hapa.

Wale mayahudi walianza kuingia katika ardhi ya palestine kama diaspora, wakamilikishwa ardhi ni wazungu wa Briten baada ya World War II na kila uchao wakawa wanavuta maeneo ya wapalestine na Israel kutanganzwa kama taifa ilikuwa 1948 ata baba yako ni mkubwa kiumri kuliko taifa la israel, ile ni nchi bandia ndio maana hao waliowasimika pale wana mikataba ya kuwalinda, lengo kuu ni kudhibiti mashariki ya kati. hizo ni chokochoko zipo miaka nenda miaka rudi mpaka kufikia kumuondoa sadam hussen madarakani na kumuua.

Lakini hiyo Quran unayoitaja ndio inayotufahamisha hao mayahudi mwisho wao watasambaratika mpaka jiwe litazungumzua kujulisha wapi walipojificha, muda ni huu
 
Mi naomba kuuliza ,quran inaposema hakika mtawafuata walio kabla yenu..je hiyo kabla hawa watu walikuwa wanamuabudu nani..maana inaonekana kama Allah hakuwepo au mimi ndio sijaelewa.
Walikuwa wakiabudu masanamu na vitu vingine....ni kama wahindu wanavyoabudu ng'ombe....ndo maana mitume na manabii mbalimbali walikuwa wanaletwa Ili kuwahubiria na kuwaonesha Mungu wa kwli ni yupi na anatakiwa aabudiwe vipi.....
 
Walikuwa wakiabudu masanamu na vitu vingine....ni kama wahindu wanavyoabudu ng'ombe....ndo maana mitume na manabii mbalimbali walikuwa wanaletwa Ili kuwahubiria na kuwaonesha Mungu wa kwli ni yupi na anatakiwa aabudiwe vipi.....
Kwa hiyo hakukuwa na waislamu?
 
Back
Top Bottom