Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Wale wayahudi ni noma sana.Yeah. Pesa inauwezo wa kuhamisha milima. Mtu anajitafakari anachopigania ni nini na maisha yenyewe ndo haya haya. Hao mabikra 72 na mito ya pombe ni baadaye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wayahudi ni noma sana.Yeah. Pesa inauwezo wa kuhamisha milima. Mtu anajitafakari anachopigania ni nini na maisha yenyewe ndo haya haya. Hao mabikra 72 na mito ya pombe ni baadaye.
.... Mwamba hataki kumnyang'anya nyani bungo (mateka) bali anataka nyani ateme bungo kwa hiari yake mwenyewe kama alivyowachukua tar.7 Okt.2023. Huyo Hezbollah anafinywa sana kwa sababu ya ujinga wa kujitakia mwenyewe eti namuunga mkono mwenzangu katika Imaan.Mateka wakiokolewa vita inakuwa haina umuhimu.Kama.Israel anaweza akajua viongozi wa Hamas na Hizbullah walipo,unadhani hajui mateka wako wapi?
Akishawaokoa mateka vita inakosa relevancy
Ila wanatoa somo zuri sana na takatifu kwa wale wengineo wote wanaodhani Ugaidi unalipa.Wale wayahudi ni noma sana.
Mwaka 1982 kwa muda wa masaa 5 tu, Sharon Israel alichinja Wapalestina 3,500 wengi wao walikuwa ni wanawake na watoto maana wanaume walikuwa wameenda Tunisia chini ya usalama under peace agreement ya Marekani.Walichokifanya october 7 inasikitisha sana,walichinja watu na kuwachoma kama mishikaki , wanastahili kipigo haswa kwa walichofanya.
Kuna binti walimbaka mpk kajinyea wakiwa wamevaa ma Adidas yao na miushungi ya Palestina huku wakiimba ,takbiru alahu akubaru.Walichokifanya october 7 inasikitisha sana,walichinja watu na kuwachoma kama mishikaki , wanastahili kipigo haswa kwa walichofanya.
Huyo unayemwita mwamba anayekalia sehemu za watu kwa mabavu na chanzo cha balaa zote hizi anatumia mbinu za kisingizio cha mateka na hataki suluhisho hivyo anaendelea kuua “Genocide” ovyo maana hajashiba damu. Hawa Mayahudi wallisha fukuzwa nchi 1035 kwa ajili ya ufisadi wao. Hawamtambui Yesu wanamuona kama mwana haramu; na hawautambui ukiristo wanauwa wakiristo na kupiga mabomu makanisa lakini wamo humu waliolala usiwaamshe wanafurahia mauaji..... Mwamba hataki kumnyang'anya nyani bungo (mateka) bali anataka nyani ateme bungo kwa hiari yake mwenyewe kama alivyowachukua tar.7 Okt.2023. Huyo Hezbollah anafinywa sana kwa sababu ya ujinga wa kujitakia mwenyewe eti namuunga mkono mwenzangu katika Imaan.
Nilichomsoma Myaudi kama anapigana na huyu halafu akatokea mwingine akamshambulia huwa hajibu hapo hapo anahakikisha hadi amemalizana na yule wa mwanzo halafu anahamia upande wa pili.Ayatollah ndio aliwashauri na hii ilikuwa Israel apigwe mtungo ila Netanyau aliwashtukia mapema kwakuwa Hizbullah hakuwa na sababu ya kushambulia kama walivyofanya Hamas ndio maana alikuwa anawachokoza Israel ili ashambulie wapate sababu ya kuvamia kama wenzao lakin BIBi akaona awaache amalizane na Hamas kwanza Kisha atarudi kwao kama watakuwa bado wanaendelea kurusha rockets zao ndani ya Israel na ndio hiki tunachokishuhudia kikifanyika huko Lebanon.
Huna unalojua.Hiyo ni historia ya msikitini.
Hamas imeundwa mwaka gani!?Ukiizungumzia Palestine unazungumzia Hamas na katka chata Yao wameweka wazi kabisa kwamba hakuna taifa linaloitwa Israel na linatakiwa lifutwe ktk uso wa Dunia.
Wewe mmatumbi wa kizimkazi ni nani upingane nao?
Inashangaza sana kwamba hadi leo hii 2024 wapo watu wanashikilia historia ya mambo yaliyokwisha pita hawaangalii mbele. Historia ni kweli inatufunza Tulipotoka,Tulipo sasa na Tuaelekea wapi. Halafu tunakoelekea ni kuzuri? Kama ni kuzuri tunafikaje huko. Kama sio kuzuri Tunabadili Uelekeo. Hoja yako hapo juu unasema 1982 wapalestina 3,500 bila kusahau kale kamwimbo kenu "wanawake na watoto" Leo 2024 Wapalestina 41,802 na kamwimbo kale-kale kanaendelea" "Wanawake na Watoto" na Mchinjaji ni yule yule Israel!!!! Bado tuu Hamjifunzi kitu hapo??? Mnachoweza ni kuhesabu miaka eti 75yrs.Mwaka 1982 kwa muda wa masaa 5 tu, Sharon Israel alichinja Wapalestina 3,500 wengi wao walikuwa ni wanawake na watoto maana wanaume walikuwa wameenda Tunisia chini ya usalama under peace agreement ya Marekani.
Hiyo ilikuwa mara 3 ya hao wa October.
Hizi chuki haziluanza jana. Miaka 75 iliyopita.


Kumbe Uingereza ina roho nzuri kabisa. Sasa inakuwaje huwa mnawatukana Waingereza ni Makafiri? Mnawatukana halafu mnapenda kwenda kuishi huko Ukafirini? Acha mtwangwe na Israel kenge wa pink nyie.Naijua kuliko uijuavyo wewe.
Usiniletee historia za biblia za pauka pakawa.
Historia zenyewe za uhalisia Israel imeundwa 1947-1948.
Na kama isingekua msukumo wa USA basi isingeundwa hiyo Israel.
Tena UK ndio ilikataa kabisa Israel kuundwa toka 1920 baada ya lile eneo kuporwa kutoka Ottoman empire 1918.
Usichokifahamu mkuu waisrael wanaumia kama wanavyoumia waarabu.Inashangaza sana kwamba hadi leo hii 2024 wapo watu wanashikilia historia ya mambo yaliyokwisha pita hawaangalii mbele. Historia ni kweli inatufunza Tulipotoka,Tulipo sasa na Tuaelekea wapi. Halafu tunakoelekea ni kuzuri? Kama ni kuzuri tunafikaje huko. Kama sio kuzuri Tunabadili Uelekeo. Hoja yako hapo juu unasema 1982 wapalestina 3,500 bila kusahau kale kamwimbo kenu "wanawake na watoto" Leo 2024 Wapalestina 41,802 na kamwimbo kale-kale kanaendelea" "Wanawake na Watoto" na Mchinjaji ni yule yule Israel!!!! Bado tuu Hamjifunzi kitu hapo??? Mnachoweza ni kuhesabu miaka eti 75yrs.
Anachofanya Myahudi ni katika kuwasaidia kuwaondoa wale vichwa maji (Viongozi na Machawa)wanaodhani kwa kutumia njia ya vita watafika. Ni kwa bahati mbaya wengi wa wapiganaji wanatolewa kafara tu lakini walengwa mahsusi ni akina Y. Sinwar na wale wenzake waliotangulizwa 17 Neutralised.
Inaonekana kana kwamba hako kamwimbo kenu "wanawake na watoto" mnakapenda sana na ili muwe na uhalali wa kukaimba ni lazima mumchokoze mchinjaji (Israel). Chukueni tahadhari- Mtaisha aisee.
Mbona kama unaongea kwa kuropoka!?Kumbe Uingereza ina roho nzuri kabisa. Sasa inakuwaje huwa mnawatukana Waingereza ni Makafiri? Mnawatukana halafu mnapenda kwenda kuishi huko Ukafirini? Acha mtwangwe na Israel kenge wa pink nyie.
Hii Kwa waisalmu kumbe ipo wanaume kupigana mabusu,, mbona mambo ya upinde sasaJamaa amedhalilika sana....huyu ndo kiongozi anakufa kama mbwa koko?View attachment 3128420
Acheni undumila kuwili waisraeli oct 7 ni sawa kuuwawa?!!Ukweli ni kwamba Israel imewanyanyasa sana Wapalestina huko Gaza.
Oktoba 7 haikutokea tu bila sababu. Huwezi kunyanyasa watu kwa muda wote huo halafu kusiwe na resistance.
Huyo Sinwar mwenyewe kazaliwa kwenye kambi ya wakimbizi ya Khan Yunis.
Maisha yake yote kayaishi chini ya manyanyaso ya Israel.
Siwalaumu Wapalestina kwa kupigania utu wao na heshima yao. Nao ni binadamu wanaostahili heshima kama ilivyo kwa binadamu wengine.
Hata wakiwaachia hao mateka, manyanyaso yataendelea tu.
Suluhisho hapo ni Israel kuacha kuwanyanyasa Wapalestina. Kuwaachia wafungwa wote wa Kipalestina. Hamas kuwaachia hao mateka.
Na kukubaliana kila mmoja awe na taifa lake lililo huru.
Imetosha sasa.
Unajifichaje kwenye makochi kwa kukaa juu yake?..hapo ni baada ya kombora la kifaru na kuweka begani kupiga, wapiganaji wake wakafa akabaki yeye, sniper akamdungua,Wakuu,
IDF wametoa a brand new video inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho kabla hajafariki, ni video ambayo inaibua maswali mengi sana ukiitazama kwa umakini.
Kwenye video hii, Sinwar anaonekana akiwa ameumia mkono na anajificha ficha kwenye makochi na huko mwishoni anaonekana akiinua fimbo na kutaka kupiga hiyo drone.
Kiukweli inatia huruma. Ukiwaza huyu ndio alikuwa Mastermind wa shambulio la Oktoba 7 mwaka jana, unapata mawazo mengi sana.
Na hapa inaonesha mabodyguard wake walikuwa wamemkimbia au wameshafariki.