Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

Israel yaachia video mpya inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho akiwa ameumia na anajificha kwenye makochi!

Ayatollah-Ali-Khamenei0601.jpg
20241017_163527.jpg
 
Umeshachanganya mambo.
Unajua sababu ya kuwepo UNIFIL pale Lebanon!?
Kafuatilie sababu ni ipi.
Kama hiyo UNIFIL ina matokeo chanja
1)Kwanini haikumuwajibisha Israel ilipomuua muandishi wa habari kwa sniper Sheriin Abu Akleh!?
2)Kwanini haikuzuia utanuaji wa makazi West bank ya wazayuni!?
3)Kwanini haikuzuia uvamizi wa IDF na wazayuni Khani Younis Agosti 23 iliyopelekea mashambulizi Oktoba 7?
Inafanya nini hiyo UNIFIL!??

Kitendo cha mataifa makubwa tena ya Ulaya kususia kikao UNGA na kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na Israel inaonesha dunia imeshachoka kuwa vinyamkela vya USA na kufumba macho kufumbia uchafu wa Israel.
Ulimsikia waziri wa haki za binadamu wa Spain!?
Alisema "USA inashupalia vita Ukraine dhidi ya Russia na inaacha mgogoro timamu wa uvamizi wa Israel huku Israel ikikiuka hadi sheria za UN,inachofanya Israel kama hakijakemewa basi mataifa mengine yatafanya hata kwa mataifa yetu".
Kufikia hatua hadi super power anasemwa hivyo jua diplomatically Israel ameanza kuanguka.
Hii ina athari kisiasa na kiuchumi kiujumla.

Kulia waarabu washalia sana tena sana hata sasa wamezoea,ila je Israel wao vipi!?
Leo hii ukiwaita waarabu pale West Bank hadi vitoto washike silaha watakubali kwasababu wanadai uhuru,kama mtu hauna uhuru una kitu gani cha kupoteza!?
Ila nenda pale Israel ita mkusanyiko watu kujiunga vitani uone kama watajitokeza.
Juzi tu hapa Brigade zao Israel zimepigana ngumi wakitofautiana nani aende Operation ya Lebanon.

Israel kama ikiendekeza ubabe kamwe haitaishi kwa amani.
UNIFIL ipo pale mpakani mwa Lebanon kusini na Israel kaskazini almaarufu kama buffer zone. Lengo ni kudhibiti/kuzuia mapigano kati ya IDF (Israel kaskazini) na Hezbollah (Lebanon kusini) i.e Pande mbili hasimu zisiweze kukabiliana uso kwa uso. Lakini makombora au maroketi na ndege vinapita angani kuvuka eneo hilo na kusababisha madhara kila upande.
Kuuawa kwa mwandishi Habari ni kosa na kushambulia kambi za UNIFIL pia UN ilikemea vitendo hivyo vya Israel. Japokuwa IDF ilijitetea kwamba Hezbollah ameweka mahandaki na silaha maeneo hayo na akatoa ushahidi.
Hoja ya kuzuia utanuaji wa makazi West Bank ni ya muda mrefu na Israel alikuwa anadai eti ni kudhibiti uingiaji kwa kuvizia wa baadhi ya wapiganaji wa Kipalestina na Urushaji wa maroketi ya HAMAS i.e. kujiwekea Umbali ambao makombora ya HAMAS hayataweza kuifikia Israel.(Madai hayo kama yalikuwa ni kweli au uongo sijui).
UNIFIL inafanya shughuli zake kwa mwamvuli wa Vikosi vya Kimataifa vya kulinda Amani. Kama matokeo ya UNIFIL kuwepo hapo hayakuwa na Matokeo chanya ilitakiwa Hoja hiyo izungumzwe baina ya UN na mataifa husika katika mgogoro huo ili waone nini kifanyike -ila sio kila upande kuendelea kuongeza makali ya mzozo kwa kurushiana makombora na maroketi kana kwamba UN haina impact yoyote kwa kuwepo hapo.
Kitendo cha tar.7 Okt. 2023 kisingeliweza kuzuiwa na UNIFIL kwani HAMAS na ndugu yake (Hezbollah) walishajiwekea azimio muda mrefu kama ulivyodokeza hapo ni Augost 23.
 
Ni wakati upi Gaza iliwai baki wanawake na watoto watupu na wanaume wote kuondolewa?.
kinachojadiliwa hapo hakijibu nilichokuuliza.
najua umejitungia story,kama mfanyavyo ili kutafuta huruma.
Poor You.
Sikusema Gaza. Ebu jaribu kutumia bongo kidogo. Nimesema Sabra na Shatila Camps- ilikuwa Kambi za wakimbizi wa Kipalestina huko Lebanon mwaka wa 1982 .Pia kabla hujajibu unaweza kufanya reseach kidogo.
You Poorest! 😳
Ndo maana unaamini watoto wateule waliomkanusha Yesu wakamuona kama Mwanaharamu, wanapiga mabomu kuvunja makanisa huko lebanon na Gaza hawautambui ukiristo lakini baada unawaabudu tu!
 
UNIFIL ipo pale mpakani mwa Lebanon kusini na Israel kaskazini almaarufu kama buffer zone. Lengo ni kudhibiti/kuzuia mapigano kati ya IDF (Israel kaskazini) na Hezbollah (Lebanon kusini) i.e Pande mbili hasimu zisiweze kukabiliana uso kwa uso. Lakini makombora au maroketi na ndege vinapita angani kuvuka eneo hilo na kusababisha madhara kila upande.
Kuuawa kwa mwandishi Habari ni kosa na kushambulia kambi za UNIFIL pia UN ilikemea vitendo hivyo vya Israel. Japokuwa IDF ilijitetea kwamba Hezbollah ameweka mahandaki na silaha maeneo hayo na akatoa ushahidi.
Mkuu USA alimkingia kifua Israel dhidi ya mauaji ya muandishi wa habari 2021 ya Sheriin,na alikataa kuwajibika hata kumuwajibisha askari aliyefanya hivyo.
Hoja ya Hizbollah kuwa na mahandaki UNIFIL ni FALSE CLAIMS na hilo lishathibitishwa,UN hao hao ambao walisimama na Israel hapo awali waruhusu mahandaki ya Hizbollah karibu na kambi zao kweli!??
USA haikukemea waliokemea ni mataifa mengine kabisa.
Hoja ya kuzuia utanuaji wa makazi West Bank ni ya muda mrefu na Israel alikuwa anadai eti ni kudhibiti uingiaji kwa kuvizia wa baadhi ya wapiganaji wa Kipalestina na Urushaji wa maroketi ya HAMAS i.e. kujiwekea Umbali ambao makombora ya HAMAS hayataweza kuifikia Israel.(Madai hayo kama yalikuwa ni kweli au uongo sijui).
UNIFIL inafanya shughuli zake kwa mwamvuli wa Vikosi vya Kimataifa vya kulinda Amani. Kama matokeo ya UNIFIL kuwepo hapo hayakuwa na Matokeo chanya ilitakiwa Hoja hiyo izungumzwe baina ya UN na mataifa husika katika mgogoro huo ili waone nini kifanyike -ila sio kila upande kuendelea kuongeza makali ya mzozo kwa kurushiana makombora na maroketi kana kwamba UN haina impact yoyote kwa kuwepo hapo.
UN nyanja zake zote zilijadiliwa na kuonekana hazina matokeo chanya.
UN kiujumla ni butu.
Kitendo cha tar.7 Okt. 2023 kisingeliweza kuzuiwa na UNIFIL kwani HAMAS na ndugu yake (Hezbollah) walishajiwekea azimio muda mrefu kama ulivyodokeza hapo ni Augost 23.
Sahihi mkuu.
Ila walau Israel angewajibishwa kwa ubabe wake hili lisingetokea.
Kuna ripoti nitazileta humu za vyombo vya habari tena vya wazungu wenyewe vya Israel kupulizia dawa za sumu kwenye mazao na kufanyia watu fujo katika kambi za ukimbizi hususan Jenin.
Ila hadi sasa hakuna hatua wanachukuliwa.
 
Hao Waturuki unaowasema wamekimbilia Western kuosha na kulea vizee wa kizungu.. Germany pekee kuna Waturuki milion 5 waliokimbia hali ngumu ya maisha kwao.
Unachekesha wewe.
Nenda katizame takwimu hao Germany unaowasemea wewe ndio wanakimbilia Uturuki kwa wingi tu.
Eastern Europe mataifa kama Bosnia,Serbia na mataifa ya Yugoslavia pamoja na Greece ndio yanaongoza kukimbilia Uturuki.
Hata hao wasanii wakubwa unaowaona waigizaji na waimbaji hapo Uturuki asilimia 85-90 ni wa mataifa hayo hususan Germany na Greek.
Waturuki asilia asili ya Turkmeni wao wapo zao mashambani huko vijijini.
 
Unachekesha wewe.
Nenda katizame takwimu hao Germany unaowasemea wewe ndio wanakimbilia Uturuki kwa wingi tu.
Eastern Europe mataifa kama Bosnia,Serbia na mataifa ya Yugoslavia pamoja na Greece ndio yanaongoza kukimbilia Uturuki.
Hata hao wasanii wakubwa unaowaona waigizaji na waimbaji hapo Uturuki asilimia 85-90 ni wa mataifa hayo hususan Germany na Greek.
Waturuki asilia asili ya Turkmeni wao wapo zao mashambani huko vijijini.
Wewe kidogo ubongo wako umeganda yaani Kila siku hua nasoma comment zako kama mtu mwenye matatizo ya akili au itakua wewe ni shoga sasa mtu atoke Germany aende uturuki Kwa jipya gani
 
Ni wakati upi Gaza iliwai baki wanawake na watoto watupu na wanaume wote kuondolewa?.
kinachojadiliwa hapo hakijibu nilichokuuliza.
najua umejitungia story,kama mfanyavyo ili kutafuta huruma.
Poor You.

Nadhani nenda ksjifunze English, jeografia na historia kidogo Elimu haina mwisho ili utoe ujinga. Sina zaidi la kukusaidia.
Shatila na Sabra Kambi mbili za wakimbizi wa Kipalestina haziko Gaza, ziko Lebanon. Sikiliza clip hiyo vizuri. Na pia imeelezea wapiganaji wa kipalestina walikubali kuhama na Yasser Arafat kutoka Lebanon. Huo ni mwaka 1982.
Israel haisikitii ushauri wa Marekani kwa sababu wao ndio wanaikontrol na wanapata silaha za mabillioni ya fedha kuua ndo maana hawachoki. Lakini kila kitu kina mwisho. Historia itajirudia.
 
Sikusema Gaza. Ebu jaribu kutumia bongo kidogo. Nimesema Sabra na Shatila Camps- ilikuwa Kambi za wakimbizi wa Kipalestina huko Lebanon mwaka wa 1982 .Pia kabla hujajibu unaweza kufanya reseach kidogo.
You Poorest! 😳
Ndo maana unaamini watoto wateule waliomkanusha Yesu wakamuona kama Mwanaharamu, wanapiga mabomu kuvunja makanisa huko lebanon na Gaza hawautambui ukiristo lakini baada unawaabudu tu!
Mkuu; Bila kuathiri majibizano yenu hapo 👆 👆 , naomba Nanukuu: ...."Ndo maana unaamini watoto wateule waliomkanusha Yesu wakamuona kama Mwanaharamu, wanapiga mabomu kuvunja makanisa huko lebanon na Gaza hawautambui ukiristo....."!
Elewa kwamba:
1. Waliomkanusha na tena wanaomkanusha Yesu na kumuona kama Mwanaharamu (Bustard) wapo hadi leo na wataendelea kuongezeka kuwepo hapa duniani kote na ni wengi sana. Hilo sio Tatizo hata kidogo. Uwe na Amani kabisa usipate shida juu ya hilo.
Vitendo vya Kuvunja makanisa kwa kutumia mabomu, tingatinga, nyundo au kwa vyovyote vile, ingefaa ujue kwamba makanisa i.e. zile nyumba za kufanyia ibada kwa Wakristo ni nyumba kama zilivyo nyumba nyingine ila tu hizo ni nyumba maalum kwa ajili ya shughuli ya sala au kuabudia. Otherwise they are just Houses. Majengo ya Makanisa yanauzwa kama nyumba za kawaida au yanabadilishwa matumizi e.g. yanageuzwa nyumba/kumbi za starehe au za kibiashara n.k.
2. Watu au mtu Kutokuutambua Ukristo sio kitu cha kushangaza - ni kitu cha kawaida kwani kitendo cha mtu fulani kutokuutambua Ukristo au Uislam au Dini(Imani) nyingine hakufanyi Ukristo usiwepo au Uislam usiwepo. Hilo ni la kwake mwenyewe. Dini/Imani tofauti-tofauti zitaendelea kuwepo tuu. Sio lazima yy aziamini ndo zinakuwepokana kwamba yy ndo kigezo-Hapana.
Ni hayo tu. (Haya endeleeni na majibizano yenu. Samahani kwa kuwa-interfere)
 
Huyo ukimwambia saivi achague visa ya kwenda kuishi taifa la kiislamu Afghanistan, Iran, Saud Arabia au Canada na Uingereza,, atakimbikia kwa "makafiri" Kwa mwendo wa ngiri mkia juu
😝😝🤣 Mbio kama za " 🎼🎵 Kasongo yeyeyeee eeeeh, Mobali na ngai 🎶🎼 "
 
Haya umeambiwa na sheikh kitinku.jamaa ameuawa kama panya, kama kibaka. Hakuna hata ushujaa....hawakumtaka akiwa hai.walitaka maiti yake tu.amechanganyikiwa drone anaipiga kwa fimbo....kafa kifala sana.
We ndio unadhani vile sababu akili zako haziko sawa. Israel yenyewe ina Kiri huyo ni shujaa na kwa kibahati bahati ndio wamemkuta pale, wala hawakutegemea atakuwa anapigana vita. Siku zote Israel anasema Sinwar yuko chini ya ardhi kumbe mwamba alikuwa ndio kwenye frontline. Kingine wanasema ni kifaru kilipiga ile sehemu, ndio kwa bahati mbaya kikapiga kichwa chake lakini mpaa mda wa mwisho aliweza kuwarushia boom na kuwauwa askari wa Israel.

We kapime akili zako endelea kuamini ujinga wako.


View: https://youtu.be/etchDrOG7Rc?si=IVwGqgBBdgQ8dbv0
 
Mbona kama unaongea kwa kuropoka!?
Hizo ni siasa hubadilika tu.
Kiongozi wa Uingereza wa 1920s sio sawa na wa miaka ya 2000.
Nahisi umtoto wa haya mambo huwezi elewa.
Hamjawahi kuwa na shukrani kwa Taifa lolote mnaloamini ni la Kikafiri hata kama Taifa hilo litawatendeeni mema mengi.

Ndo maana tunasema Israel iendelee kutoa kipondo kikali zaidi.

Hayo mataifa mnayoona ni ndugu zenu yamewasaidia nini? Saudi Arabia yalipo Makuu ya Dini yenu imewasaidia nini hao ndugu zenu katika imani kule Palestina? Mna unafiki nyingi sana nyie maamuma.

Hata kwenye ulaji na unywaji tu mna unafiki. Mnasema pombe ni haramu ilhali Allah wenu amewaahidi mito ya pombe huko peponi. Si mnywe tu mkiwa duniani tujue moja? Hovyo kabisa hii dini.
 
New details about the elimination of Hamas leader Yahya Sinwar:


Yesterday morning, a soldier from Battalion 450 spotted a suspicious individual inside a building and opened fire on him. Later, in the day , the fighters observed three figures attempting to move stealthily between houses. Troops quickly identified these individuals as terrorists. Two of them were covered with blankets, likely not Sinwar, and were ahead, trying to clear the path for him. Troops engaged them with gunfire, injuring the terrorists, who began to scatter. Two of them took refuge in one building while Sinwar entered another.


Troops opened fire from a tank, providing light gunfire support as well. Sinwar was alone in his building and ascended to the second floor. The troops launched a shell and then rolled two grenades into the area. They also deployed drones to assist in the operation.


One drone captured a glimpse of a masked figure with a wounded arm sitting inside a room. Realizing a drone was approaching, the terrorist grabbed a piece of wood and threw it at the drone. The fighters responded by firing a shell at that location.


In the morning, troops entered the room and uncovered the body’s face, ultimately revealing it to be Sinwar.
 
Unachekesha wewe.
Nenda katizame takwimu hao Germany unaowasemea wewe ndio wanakimbilia Uturuki kwa wingi tu.
Eastern Europe mataifa kama Bosnia,Serbia na mataifa ya Yugoslavia pamoja na Greece ndio yanaongoza kukimbilia Uturuki.
Hata hao wasanii wakubwa unaowaona waigizaji na waimbaji hapo Uturuki asilimia 85-90 ni wa mataifa hayo hususan Germany na Greek.
Waturuki asilia asili ya Turkmeni wao wapo zao mashambani huko vijijini.
Wadanganye wajinga wenzio,Wajerumani wapi hao wanaokimbilia Turkey ?labda hao wa Bosnia.. hebu tuambie Mehmet Scholl na Mesut Ozil waliocheza timu ya taifa ya Germany' kizazi chao kilifuata nini ujerumani km sio kufagia barabara ?
 
Kila nikiangalia ile video ya kijana wetu Mollel ni kama machozi yanatoka kuntoka.
Kweli ni kitendo cha kuhuzunisha mno ukizingatia kwamba Yule kijana Mollel alikuwa hajui hili wala lile ya kinachoendelea tukio husika na maskini ya Mungu, dogo alikuwa hajui lugha ya Kiarabu halafu hata kwa rangi ni mtu mweusi tii- Hafanani rangi na Myahudi.
Sasa hao makatili bila ya huruma au kutumia akili au ubinadamu tu hawakuona hayo mambo na kumchunguza kwa undani -hata basi walau wangemchukua mateka kwa mahojiano zaidi; bali Makatili hao waliona matumizi ya kabali, kumkanyagia chini na kisu ndo kunamfaa zaidi na wakamwua. Shame upon them.
Inapendeza sana na tunapata faraja kitulizo cha roho tunapomwona Myahudi(IDF) akiwasigina na kuwachambua kama karanga.
 
Hamjawahi kuwa na shukrani kwa Taifa lolote mnaloamini ni la Kikafiri hata kama Taifa hilo litawatendeeni mema mengi.

Ndo maana tunasema Israel iendelee kutoa kipondo kikali zaidi.

Hayo mataifa mnayoona ni ndugu zenu yamewasaidia nini? Saudi Arabia yalipo Makuu ya Dini yenu imewasaidia nini hao ndugu zenu katika imani kule Palestina? Mna unafiki nyingi sana nyie maamuma.

Hata kwenye ulaji na unywaji tu mna unafiki. Mnasema pombe ni haramu ilhali Allah wenu amewaahidi mito ya pombe huko peponi. Si mnywe tu mkiwa duniani tujue moja? Hovyo kabisa hii dini.
Uislamu siyo dini kikundi cha wahuni waliokuja kuleta mafarakano duniani.
 
Wakuu,

IDF wametoa a brand new video inayomuonesha Yahya Sinwar kwenye moments zake za mwisho kabla hajafariki, ni video ambayo inaibua maswali mengi sana ukiitazama kwa umakini.

Kwenye video hii, Sinwar anaonekana akiwa ameumia mkono na anajificha ficha kwenye makochi na huko mwishoni anaonekana akiinua fimbo na kutaka kupiga hiyo drone.

Kiukweli inatia huruma. Ukiwaza huyu ndio alikuwa Mastermind wa shambulio la Oktoba 7 mwaka jana, unapata mawazo mengi sana.


Na hapa inaonesha mabodyguard wake walikuwa wamemkimbia au wameshafariki.


Hio video imewafadhehesha US na Israel kujidai wana technology zakuona kila kitu, si ajabu hao askari watahukumiwa. Kwanini walichukua video yuko nje ya tunnels na pia yupo ana combat dress. Israel walitaka waonyeshe watu wamemuwa kwenye tunnels ili wasifie technology za US, Germany na UK zinaona kila kitu. Hio kumkuta pale tena walikuwa hata hawajui yupo pale ni aibu kwa Israel, US, UK. Germany hata hao India na France walio tuma drone zao kuspy Sinwar yuko wapi 😄
 
Uislamu siyo dini kikundi cha wahuni waliokuja kuleta mafarakano duniani.
Uislamu ni dini (Imani) lakini kama ilivyo kwa dini nyingine zote, Kuna vikundi vya KIHUNI ndani yake waliokuja kuleta mtafaruku na mafarakano duniani. Sio Wakristo, sio Waislam. kote kote utakuta kuna makundi ya Kihuni kazi ni kuleta fujo tu.
 
Hio video imewafadhehesha US na Israel kujidai wana technology zakuona kila kitu, si ajabu hao askari watahukumiwa. Kwanini walichukua video yuko nje ya tunnels na pia yupo ana combat dress. Israel walitaka waonyeshe watu wamemuwa kwenye tunnels ili wasifie technology za US, Germany na UK zinaona kila kitu. Hio kumkuta pale tena walikuwa hata hawajui yupo pale ni aibu kwa Israel, US, UK. Germany hata hao India na France walio tuma drine zao kuspy Sinwar yuko wapi 😄
Wewe uliona pale alipokuwa amefunikwa na kifusi au
 
Back
Top Bottom