Israel yaenda kwa swahiba yake Misri kutaka mazungumzo ya kusitisha vita na Hamas, huku Iran ikikataa unafiki wa nchi za kiarabu kutaka kuzuia vita

Israel yaenda kwa swahiba yake Misri kutaka mazungumzo ya kusitisha vita na Hamas, huku Iran ikikataa unafiki wa nchi za kiarabu kutaka kuzuia vita

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hapo juzi wajumbe wa Israel walielekea nchini Misri bila mwaliko rasmi ikitaka mazungumzo yaliyodorora ya kusitisha vita yafufuliwe tena.Hiyo ilikuwa ni siku mbii tangu kuuwawa kwa Ismail Haniye ndani ya Iran ambapo Iran imeahidi kulipiza kisasi.

Sambamba na hatua hiyo ya Israel leo Iran kupitia waziri wake wa mambo ya nje aliyechukua nafasi ya waziri kama yeye aliyekufa kwenye ajali ya ndege ambaye alitajwa kuwa na msimamo mkali,naye amesema Iran inakataa juhudi zozote za nchi za kiarabu kutaka kupoza mzozo huo.

Imesema kipigo hicho kinaendelea kupangwa na kuchaguliwa muda wake na kwamba kuipiga Israel ni lazima.

The Media Line: Report: Iran Rejects De-escalation Efforts, Vows to Strike Israel Amid Rising Tensions​

 
Una ujinga mwingi mno kaka
Hata ujinga haujulikani umeuona wapi.
Siku zote mkisikia Israel inakaribia kudidimia mnoaona ni ujinga.
Ile kuisifia Israel na ushoga ndio akili zenu zinapoishia.
 
Back
Top Bottom