Israel yafanya mashambulizi ya anga Damascus nchini Syria

Israel yafanya mashambulizi ya anga Damascus nchini Syria

Duh! Mtaipiga! Bro kumbe nawe ni Jew?

Sent using Jamii Forums mobile app


Waache wazungu na waarab wapigane sana wao kwa wao.. Usisahau historia, ujue walituuza sana sisi kama watumwa, yaani we black africans tuliuzwa kama wanyama au bidhaa, sasa zamu yao nao wapigane, potolea pote..!! Let them fight..!! Kazi yetu sisi kuchochea tu, ww chochea upande wa waarab, mm nachochea upande wa Israel😎
 
Back
Top Bottom