Israel yaibembeleza US kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran

Israel yaibembeleza US kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran

Amesharudi Netanyahu, siku sio nyingi mabomu yataenda kusambaratisha miradi yote ya nyuklia ya Iran.
Mkuu unamaanisha Iraq au Iran iliyovurumisha makombora kwenye kambi ya US na kuangusha ndege ya uturuki?
 
Akimaanisha KUWAIT, israel, Iraq na Saudia.

Yeye anaanza na jirani ndo mengine yafuate!!...

Na inasemekana ana mzigo wa makombora ya kutosha!!..
Kuna jarida moja la mtandao Military Watch wanasema Kwamba Iran Ni nchi yenye makombora mengi zaidi hasa baada ya US na Russia.
Jarida linakadiria Iran kuwa na makombora ya namna mbalimbali 20000.
Hali hii Nani atataka kurudi Zama za mawe?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna jarida moja la mtandao Military Watch wanasema Kwamba Iran Ni nchi yenye makombora mengi zaidi hasa baada ya US na Russia.
Jarida linakadiria Iran kuwa na makombora ya namna mbalimbali 20000.
Hali hii Nani atataka kurudi Zama za mawe?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Alishamuona Iraq na Libya alijua fika yeye anafuatia.

Alichoakua akainvest kwenye Tech na Jeshi ili imsaidie baadaye.

Nuclear programs ndo turufu yake ya kutovamiwa na tetesi zinaonesha ni kweli mzigo anao.

Muahudi amechelewa now ndo maana anasitasita
 
Duh mchambuzi wetu wa Leo umetukamataa! Israel na kikwazo Cha Vita ya Ukraine na kushindwa kuishambulia Iran kijeshi inahusiana kwa namna ipi?
Nb. Kila hatua za mwanzo dhidi ya uvamizi kutoka kwa NATO dhidi ya Iran vilishafanyika hasa vikwazo.
Vimesaidia Nini kuzuia Iran kuzidi kujiimarisha kijeshi na kiuchumi?
Hakuna!
Maandamano je?
Ni mengi Sana kwa miaka ya karibuni 2008,2012, 2018 ilikuwa Ni miaka ya maandamano lakini je West wamepata Nini?
Kwa hatua ya Iran leo, kushambuliwa kijeshi na US au Israel Ni kuchafua maghorofa yote ya Tehran, najaf, Doha, Bethlehem , Muscat kuwa vumbi na vifusi.
Kwa mantiki ya kuepuka maangamizo Iran husema Mara kwa Mara atakaetumika na Us dhidi yake Moto utamwakia!

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app



Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hatua ya Iran leo, kushambuliwa kijeshi na US au Israel Ni kuchafua maghorofa yote ya Tehran, najaf, Doha, Bethlehem , Muscat kuwa vumbi na vifusi.
Kwa mantiki ya kuepuka maangamizo Iran husema Mara kwa Mara atakaetumika na Us dhidi yake Moto utamwakia!
ni vitisho tu mkuu hana lolote jipya. walisema, libya, Iraq etc lkn waliishia kuuawa nakuhakikishia!
 
Israel wanajiona Taifa teule Sana, Acha Iran iwadungue tu
 
Hii vita ya Ukraine ndio inayotia kiwingu. israel alishaapa tangu December mwaka jana kua kama juhudi za mataifa makubwa zitashindikana kuizuia iran na mpango wake wa nyuklia basi israel ataishambuloa irani kijeshi.
ni swala la muda tu na hivi netanyau yupo kazini.

Ngoja mpango wa kidiplomasia na baadhi ya mataifa ya kiarabu utiki.

Jirani hatoulizwa swali moja mara mbili tena leo november 23.
save my words.
Anasubiri nini
 
Back
Top Bottom