1. MK254, Moisemusajiografii, Mzee Kigogo na wale ambao hoja si muhimu ila ushabiki, hiiiiiii...iii!
2. Ikiwapendeza muuone hii mitu iliyozidiwa hoja, busara na hata utu daraja ya chini kabisa!
3. Mkisikia huyu ndugu ni mchumba tu, muwe mnaelewa!
Occupied East Jerusalem si Westbank inawahusu!?1. Yale ya Makonda na ile TV pendwa ya pande za kwetu yametimba Al Jazeera Israel:
View attachment 2981691
2. Kwamba pasipo na kusubiria kitu Al Jazeera wafunge virago?
View attachment 2981690
3. Kwamba wale wachumba kumbe wamekuwa nao wakitamani malaika mfunga mitandao afanye yake?
View attachment 2981694
4. Nani wa kuunga mkono ubazazi huu?
View attachment 2981754
5. Hoja si hujibiwa kwa hoja? Kulikoni hoja kupingwa kwa rungu?
View attachment 2981754
6. Kwamba kumbe wangependa kulazimisha mbeleko kama ya TBC kijiwe jiwe?
View attachment 2981756
7. Ama kweli la kuvunda halina ubani!
"Na bado!"
Ina maana hatutapata habari yeyote ndani ya Gaza? Au itakuaje
1. AI si inafanya makubwa zaidi ya hayo ndugu?
View attachment 2981774
2. Kulikoni hadi kugeuka jamba-wazi?!
3. Hata mwomba malaika mzima mitandao kushuka hakufika huku!
Occupied East Je
Occupied East Jerusalem si Westbank inawahusu!?
Imekuaje wameingilia mamlaka ya Westbank!?
Aiseeee!1. Kwani jambazi la mihadarati kama "Escobar," linajua mipaka?
View attachment 2981819
2. Linaendelea kulikoroga, na bado!
View attachment 2981824
1. Kwani jambazi la mihadarati kama "Escobar," linajua mipaka?
View attachment 2981819
2. Linaendelea kulikoroga, na bado!
View attachment 2981824
Aljazeera wapo bias sana utafikiri chombo cha propaganda kuitetea hamas na palestina hawajawahi kuiripoti israel kwa mazuri waifunge kabisa1. Yale ya Makonda na ile TV pendwa ya pande za kwetu yametimba Al Jazeera Israel:
View attachment 2981691
2. Kwamba pasipo na kusubiria kitu Al Jazeera wafunge virago?
View attachment 2981690
3. Kwamba wale wachumba kumbe wamekuwa nao wakitamani malaika mfunga mitandao afanye yake?
View attachment 2981694
4. Nani wa kuunga mkono ubazazi huu?
View attachment 2981754
5. Hoja si hujibiwa kwa hoja? Kulikoni hoja kupingwa kwa rungu?
View attachment 2981754
6. Kwamba kumbe wangependa kulazimisha mbeleko kama ya TBC kijiwe jiwe?
View attachment 2981756
7. Ama kweli la kuvunda halina ubani!
"Na bado!"
Wako biased hao al Jazeera
1. Ndiyo alitaka awaye yeye tu mwenye kutuhabarisha anavyo ji "defend."
View attachment 2981863
2. Habari mbaya zaidi kwake, hadi kwa babu yake huko kitaendelea kunuka hadi
akifanya Urusi mnasifia1. Israel kama ma dikteta uchwara mengine ilipiga marufuku international media zote Gaza, ili TBC ya Ryoba ishike hatamu za kutuhabarisha:
View attachment 2981768
2. Alipo sasa bila shaka ataliweza la kuzuia Israel hivyo haya mapicha yenye kumwudhi sana MK254, bila shaka ndiyo basi tena:
View attachment 2981772
3. Bila shaka hapa sasa tutegemee nyomi zinazomwunga mkono Bibi na MK254 akiwa mmoja wa waandamanaji mwisraeli mwandamizi kutokea Buza akiwamo ndani ya nyumba!
Magaidi yana ukosefu wa akili