mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 874
inawezekana tu .......Wanajua kiswahili? Maana Nchimbi alikuwa anaongea kiswahili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekana tu .......Wanajua kiswahili? Maana Nchimbi alikuwa anaongea kiswahili
Mkuu ebaeban, wanaliongeleaje suala la Tanzania kuwahusisha FBI kupeleleza matukio madogo kabisa yanayotokea hapakwetu?
Kama sikosei Nyerere wanaemkubali ndio aliwanyima ubalozi wao hapa Tanzania na hadi leo hatuna ubalozi wa Israel kwetu, hilo hawakuliongelea? Binafsi, namkubali sana Mwl. Nyerere.
Wakati jana Mh. Nchimbi akitoa tamko la serikali kuhusu bomu la Arusha wayahudi wengi katika mgahawa wa Omwiny Kibbur hapa mjini Bettelheim walisikika wakisema toa toa kwa maana waliona kama anawaletea uchuro tu, kwa sababu gani tuliuliza, wakasema kwao Marehemu Mwalimu Nyerere wanamwona ni jushaa wa Israil sambamba na akina Bibi Golda Meir,Revy Eshikor, Meyer Hamit n.k.
Israel.
Israel ni Taifa takatifu, utake usitake...
Inaelekea hao wayahudi walikua wakiongea kiswahili au pengine hata kinyamwezi; yaani wanamfahamu mpaka rage?
Inaelekea Tanzania ni maarufu sana kuliko hata marekani huko israel; yaani TV za mighahawa ya Bethlehem zinaonyesha TBC1 (na si CNN, AJ au SKY)
Au nimeelewa vibaya....ni Bethlehem ya Israel au ile ya chamazi unayozungumzia? Uwege specific nawewe aaagh!!:twitch:
naingia shaka na makala hii.... Inanipa taabu kidogo kuamini kuwa kwenye huo mgahawa waisraeli walikuwa wanaangalia taarifa ya nchimbi, ambayo obviously ilitolewa kwa kiswahili. Je ni kweli waisraeli wengi wanaelewa kiswahili? Ni kweli waisraeli wengi wanafuatilia mambo ya bongo hii hadi kujikuta wanaangalia habari za tanzania kwa ukaribu kiasi hicho??
Ni mtizamo tuu ...
Nawakilisha!
panua ubongo wako mkuu fikiri tofauti utagundua ilikuaje.
duh...kalitakatifisha nani?ni taifa takatifu kwa nani?
Takatifu kwako wewe
hii makala nadhani mwandishi wake ni mwana ccm au usalama wa taifa aliyechoka na ushenzi wa serikali.
Israel ni Taifa takatifu, utake usitake...
Israel ni Taifa takatifu, utake usitake...