Israel yaililia Tanzania

Israel yaililia Tanzania

Kumbuka marekani kipindi hicho walitaka kuingia vitani upande wa ujerumani lakni pia kipindi hicho wayahudi wananguvu za kiuchumi na wapo balani ulaya na marekani na wamekamata sekta nyeti.walitumia ushawishi wao na kufaniwa kuishawishi marekani iingie vitani upande wa uingereza nao british wakaanza kuruhusu wale wazungu wayahudi waanze kurudi palestina.kidogokidogo wanarudi wananua ardhi toka kwa wapalestina.kumbuka hapa limebadilika jina tu watu ni walewale.
Baadae wayahudi wazungu wamekuwa wengi kutoka ujereman ,urusi na ulaya wakaanza kuwapiga vita wapalestina na kuteka ardhi .waingereza wakajitoa hapo .kuelekea na hadi mwaka 1948 wayahudi wazungu wakawa wamejitangazia taifa la israel wakipata full support toka nchi za ulaya na amerika.
Too cut the story short,Taifa la israel ndo likawepo hapo kwa kutumia nguvu za kivita.cha ajabu sasa waisrael eneo lote lilojulikana kama nchi ya yuda,na baadae samaria wayahudi wamewaachia wapalestina katika kile kilichoitwa unilateral disengagement miaka ya 90.katika maeneo yaliyoachwa ni kama bethelehem mji wa daudi.alipozaliwa yesu.
Wayahudi hawakupata kumkubali yesu na mpaka leo iko hivyo.hata wakristo walioka bethlehem ni wapalestina.
Wakristo waliopo israel ni arab israel siyo wayahudi.wayahudi wana dini yao inaitwa jew,dini ya kiyahudi na wanatumia Talmud na Torah na si bibilia.vitabu vyao vinamtaja yesu kama mtoto wa nje ya ndoa..etc.

ahsante
 
Hii ni aina ya uandishi au ni kweli kwamba ulikuwepo Israel..??
 
Hii ni aina ya uandishi au ni kweli kwamba ulikuwepo Israel..??
mkuu kama unanijibu mimi nakupa link ya thread ambayo iko well researched ni reference.hii thread inaitwa the mother of all threads.Hutaimaliza ni ndefu ila jitahidi uende hata mpaka page ya kumi,

ALL ROADS LEAD TO ROME
 
mkuu kama unanijibu mimi nakupa link ya thread ambayo iko well researched ni reference.hii thread inaitwa the mother of all threads.Hutaimaliza ni ndefu ila jitahidi uende hata mpaka page ya kumi,

ALL ROADS LEAD TO ROME

Ngoja niende nayo taratibu niisome neno kwa neno...
 
mungu wa israel Yahweh au kama siku hizi wanamwita yehova.asili yake hasa sio israel bali nikatika moja ya jamii ya median ambayo musa alikua nao mahusiana kwa upande wa mamake.hawa jamaa wakiabudu huyo yahwew ambae kwakweli ni moja kati ya miungu iliyoabudiwa enzi hizo.yahweh alikua mungu wa vita ,hiyo idea ikawa adopted na hao waisrael kipindi wakitokea misri na wakatengeneza maandiko yanayodai huyo mungu wa israel amewapa ahadi ya kuchukua ardhi kule nchi ya caanan.

Kumbuka waisrael ni mojawapo wa jamii ya caananite,sema wao walihama kwenda misri wakarudi wakiwa na jina jipya la israel alilopewa babao yakobo na mungu wake yehova.
Kwanini walichagua kutumiwa yahweh kama mungu wao ni kwasababu alikua mungu wa vita.na walihitaji kupigana vita na wacaanan ili kuweza kupata ardhi.
Mojawapo wa miungu wa jamii ya caanan kipindi hicho alikuwepo mungu El.
Huyu El was a supreme god,the father of humanikind and all creatures,the husband of Asherah the caananite mothergoddes.
Huyu mungu mkubwa wa wacaanan,wasamaria waisrael hawakumchagua kumtumia awe mungu wao sababu nadhani walipendelea zaidi mungu wa vita jehova.
Lakini cha ajabu majina kama
emanuEL(Mungu pamoja nawe).
SamwEl.
DaniEL.
MikaEL.
israEL.
Yametapakaa lakini cha ajabu huyu mungu El ,ambaye ndo alikua baba wa miungu yote waisrael hawakutaka kum entertain sana badala yake wamemfuata zaidi YAHWEH aka jehova.
Lakni huyo yahwew,katika agano la kale bible ni mungu wa israel ambaye anatajwa kufanya ukatili na mauaji makubwa na ya kutisha kiasi cha kumfanya shetani aonekane kama malaika ukimlinganisha na yahwew.
Katika maandiko inaonekana shetan alimuua ayubu na family yake yote lakini alifanya hayo kwa kupewa ok na mungu wa israel wakati walipobishana na kuamua kucheza kamari juu ya ayub ili waone nani kati yao anashinda ,hivyo kimsingi hapa shetan habebi lawama za mauaji ya ayubu.
Itaendelea.
unataka kusema kuna miungu wana mungu wao?
 
mungu wa israel Yahweh au kama siku hizi wanamwita yehova.asili yake hasa sio israel bali nikatika moja ya jamii ya median ambayo musa alikua nao mahusiana kwa upande wa mamake.hawa jamaa wakiabudu huyo yahwew ambae kwakweli ni moja kati ya miungu iliyoabudiwa enzi hizo.yahweh alikua mungu wa vita ,hiyo idea ikawa adopted na hao waisrael kipindi wakitokea misri na wakatengeneza maandiko yanayodai huyo mungu wa israel amewapa ahadi ya kuchukua ardhi kule nchi ya caanan.

Kumbuka waisrael ni mojawapo wa jamii ya caananite,sema wao walihama kwenda misri wakarudi wakiwa na jina jipya la israel alilopewa babao yakobo na mungu wake yehova.
Kwanini walichagua kutumiwa yahweh kama mungu wao ni kwasababu alikua mungu wa vita.na walihitaji kupigana vita na wacaanan ili kuweza kupata ardhi.
Mojawapo wa miungu wa jamii ya caanan kipindi hicho alikuwepo mungu El.
Huyu El was a supreme god,the father of humanikind and all creatures,the husband of Asherah the caananite mothergoddes.
Huyu mungu mkubwa wa wacaanan,wasamaria waisrael hawakumchagua kumtumia awe mungu wao sababu nadhani walipendelea zaidi mungu wa vita jehova.
Lakini cha ajabu majina kama
emanuEL(Mungu pamoja nawe).
SamwEl.
DaniEL.
MikaEL.
israEL.
Yametapakaa lakini cha ajabu huyu mungu El ,ambaye ndo alikua baba wa miungu yote waisrael hawakutaka kum entertain sana badala yake wamemfuata zaidi YAHWEH aka jehova.
Lakni huyo yahwew,katika agano la kale bible ni mungu wa israel ambaye anatajwa kufanya ukatili na mauaji makubwa na ya kutisha kiasi cha kumfanya shetani aonekane kama malaika ukimlinganisha na yahwew.
Katika maandiko inaonekana shetan alimuua ayubu na family yake yote lakini alifanya hayo kwa kupewa ok na mungu wa israel wakati walipobishana na kuamua kucheza kamari juu ya ayub ili waone nani kati yao anashinda ,hivyo kimsingi hapa shetan habebi lawama za mauaji ya ayubu.
Itaendelea.

in capitals HESHIMA KWAKO MKUU, nakubali kwamba wewe unasoma biblia ukiwa "huru"!
 
Ningependa kujua kwanini hii thread haijafutwa,mods wana ushahidi gani kwamba haya yanayosemwa ni kweli.na hawaoni kwamba inaleta uchochezina kupandikiza chuki,na hawaoni/hamuoni kwamba ina base ktk self interest
 
Ningependa kujua kwanini hii thread haijafutwa,mods wana ushahidi gani kwamba haya yanayosemwa ni kweli.na hawaoni kwamba inaleta uchochezina kupandikiza chuki,na hawaoni/hamuoni kwamba ina base ktk self interest

"KAMA UNAAMINI HIVYO ENDELEA KUAMINI HIVYO" Mwigulu Nchemba
 
bethelehemu iko WESTBANK kwenye mamlaka ya palestine.hao wayahudi hapo palestina wakifanya nini?je wayahudi wanasikia kiswahili?

Acha longolongo,

The message speaks louder and very sensitive for those with great minds!
 
Well said mkuu Mg007, Mwalimu hakuwa close na Waisrael baada ya vita vya 1967, badala yake alikuwa anaunga mkono Palestinian cause kwa asili mia 100%.

Nimejaribu kusoma uzi huu kwa umakini sana, labda niseme sijuhi yaliyo semwa humo yana ukweli kwa kiwango gani!! au yana malengo gani? Israel haiwezi kupoteza muda na resources zao kufatilia mambo ya Tanzania na si ajabu baadhi ya Waisrael wala hawajuhi Tanzania hiko wapi katika ramani ya Dunia! Tanzania kuna raia wengi wenye asili za Mataifa mengine kama ilivyo Ulaya na Merikani, the question is: WHY pick on raia wenye asili ya Somalia, if I may ask?
 
Back
Top Bottom