Israel yaililia Tanzania


Kwa jina la mwenyezzi mungu; Poleni wote kwa janga na Msiba huu, Kwanza tendo hili HALIKUBALIKI kamwe na ni tendo la kikatiili kabisa. lina LAANIKA kwa wanaIMANI wa dini zote za mbinguni (ISLAM,CHRISTIAN,JUDISM) ... Hapa muhimu

Wandugu waislam hapa msichukulie kuwa FBI amekuja kuwatuhumu au kuwahusisha Muslims only, NO NO NO siyo hivyo.

hao FBI wanahakikisha kila uwezekano wa kumtambua aliye panga njama nzima na aliyetenda UHALIFU huo wa kulipua.

sasa wandugu kweli FBI hakaribishwi na wengi wetu kimaoni, Lakini je lingetupata msiiba huu kwetu kikweli, tungelikuwa na hali gani na hisia zepi juu ya Masuala ya upelelezi ? na Mengineyo? Wakati Serikali inajizoazoa nasi ni watu wakutosubiri tija rasmi. Tujifikirie na kuheshimu uchungu wa wenzetu.

Ukweli WaKRISTO hawa ni Jirani zetu, Wakabila wenzetu,ndugu zetu, Wananchi wenzetu upo uhusiano mkubwa ambao usioelezeka kimaandishi ni watu WAPOLE, WEMA na wenye UPENDO na kila mwanaAdamu hapa ulimwenguni, hiyo sifa inajulikana hata kwenye vitabu.

Kwa hiyo wamevumilia na kuikabidhi wakala husika kupeleleza na ni haki yao watakavyo, Nasi tuombe subira kidogo ili matokeo yafahamike. Mambo mengine yasiyotuhusu tafadhalini tusiya jali wala kushabikia. Janga hili ni usalama wa wote na nchi hi ni ya wote na kila mmoja ana uhuru wa kuamini vyake.

NINGEPENDA KUENDELEA lakini na wengine watoe maoni ya BUSARA na hekima.

Mungu Yaepushe mbali masaibu na balaa kwa Tanzania. amin
 

naingia shaka na makala hii.... inanipa taabu kidogo kuamini kuwa kwenye huo mgahawa waisraeli walikuwa wanaangalia taarifa ya Nchimbi, ambayo obviously ilitolewa kwa kiswahili.

Je ni kweli waisraeli wengi wanaelewa kiswahili? ni kweli waisraeli wengi wanafuatilia mambo ya bongo hii hadi kujikuta wanaangalia habari za tanzania kwa ukaribu kiasi hicho??
ni mtizamo tuu ...
nawakilisha!
 
mkuu maelezo ni mengi ila the MAIN ARGUEMENT OR POINT OF VIEW IS THE WEAKNESS OF PRESDA.
 

Kwenye huu uzi kumechanganyika kila kitu. Hawao Waisraeli labda wa Zanzibar ila sijui kama kweli kuna wa israel wanaoifahamu Tanzania na kuzifuatilia siasa zake kwa kiasi kikubwa hivyo.
 


panua ubongo wako mkuu fikiri tofauti utagundua ilikuaje.
 
Huyu mwenye uzi alitakiwa arudi atueleweshe vizuri....au watu wa arusha mtusaidie,hamna kigrocery au kitourist camp kinachoitwa bethelem ,isije kuwa alikua hapo A town.
 
Mie sijui kabisa, ila mwepesi kujifunza...Ngoja niendelee..........
 
Enhe kwahiyo mkawa mnawauliza na wenyewe wanawajibu, mkauliza tena na wenyewe wakawajibu tena na tena!! mleta hoja nimekukubali kwa namna ambavyo umewasilisha mawazo/mchango wako binafsi kwa usanifu mkubwa.

Give me a break! Hakuna cha Muisrael wala nini haya ni mawazo yako tu! Lakini ni mawazo mazuri .
 
hii makala nadhani mwandishi wake ni mwana ccm au usalama wa taifa aliyechoka na ushenzi wa serikali.

yawe zekana mkuu wenye mapenzi mema na uchungu wanao hona nchi imekua shamba la bibi,kwa nukuu ya gazeti la [the african] ardhi yetu zaidi ya eka,milion 2.5,imesha uzwa kwa wageni,tena wameuziwa [sh,89000]kwa eka1,siumeona kagasheki,alivyo jitutumua kuwanyanganya wamasai wa loliondo,ili wapewe wawekezaji,hangalia slogani,ya [ccm]ni wawekezaji kwanza tena wanakwenda kuwafuata na kuwa bembelezea ardhi,aina sikitisha sana,mungu tusaidie watanzania,
 
Israel ni Taifa takatifu, utake usitake...

Kwa DINI? Sababu DINI yao Haitambui kama YESU alizaliwa Wanasema BADO na Ukiangalia Miji yote kwenye BIBLIA Wapalestina ndio wanaishi mfano NAZARETH

Waisrael hawafuati BIBLIA ya Wakristo; Yaani Wao Ukiangalia wako karibu ki culture na Waislamu zaidi ya Wewe unayejiita Mkristo.
 
Takatifu kwako na wote mnaoamini kama wewe.
Kwangu mimi haiingii kichwani kwamba Mungu mwenye nguvu, mwenye kujua yote, mwenye upeo wa haki na mema yote.

Mungu huyo aje aamue kwamba atampendelea mtoto wake mmoja na kutoa adhabu ya halaiki.

Na pia wote walioandika misahafu wamemtaja Mungu kuwa amewachagua wao kuwa ni bora kuliko wengine wote. I am sorry, Mungu gani huyo anayetuma kufanya udhalimu unaofanywa na hao jamaa?

Israel ni Taifa takatifu, utake usitake...
 
kusema kweli huyu mleta mada anao upeo. Hata nyumbani kwako huwezi kuwaomba watu waje kukuonyesha namna ya kutandika kitanda. Tanzania ndiyo tulikofikia. Kila kizuri ni kinachotoka nje.

Tumeshindwa kuwatumia wataalamu wetu tunakimbilia wa nje tena kwa gharama kubwa. Tubadilike watanzania tuwape wataalamu wetu uwezo wataweza.
 
takukuru inakamilisha kesi tano ambazo imejipangia kuwa kila mwaka ni lazima zikamilike. Kwa sasa faili ziko kwa dpp kwa hatua za mwisho
eti wameambiwa kuna abc wakamilishe ndiyo waweze kuwapeleka mahakamani. Hivi hawa takukuru hawana uwezo wa kuchunguza kukamata na kushitaki?
 
Wa Israeli wanaojua kiswahili wapo, mwaka 2005 kuna mu Israeli tulikuwa tunafundisha naye temple kabla sijaenda chuo shule moja huko mbinga mkoani Ruvuma. Hivyo do not estimate them.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…