Israel yalalamika kuwa shambulio la Iran limeigharimu mno Israel na kuitia hasara kubwa

Israel yalalamika kuwa shambulio la Iran limeigharimu mno Israel na kuitia hasara kubwa

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Afisa muandamizi wa jeshi la Israel Brigedia Generali Reem Aminoach amelalamika kuwa "Muajemi" kaiingiza Israel kwenye hasara kubwa mno kwa shambulio lake la jana usiku ambalo limeifanya Israel kutumia kati ya shekel bilioni 4 hadi 5 (zaidi ya USD bilioni 1) kwa usiku mmoja tu ktk kujilinda dhidi ya bando la "Muajemi" la droni na makombora 300 kwa mpigo.

Brigedia jenerali huyo akaendelea kufafanua kuwa wakati Israel yenyewe imetumia mapesa mengi kujilinda, Iran imetumia "vijisenti" kidogo tu kwenye manunuzi ya bando hilo na kuliposti Israel.

Chanzo: Ynet

====
The staggering cost of Israel's defense against Iran's missile attack: '4-5 billion shekels per night' Brig. Gen. Reem Aminoach, economic advisor to former IDF chief of staff, tells the Ynet studio about the high cost of activating the defense systems in Israel overnight, and the relatively low price paid by Iran
Alexandra Lukash | published:12:59
 
mzayuni mjanja sana anapenda kulalamika dunia imuone kama mnyonge kaonewq ili kichapo atakachoshusha dunia iseme muajemi alijilawiti
Netanyahu amesema hawatafanya kitu.

Mmekaririshwa sana.

Kupigana na Iran si jambo dogo kwa sasa.
 
Hasara in terms of kufunga vyuo, shule, kujichimbia chini ya mahandaki, raia kukaa roho kuu kwa zaidi ya wiki vikao visivyo isha viongozi kukaa macho muda wote hiyo ndio hasara kubwa zaidi kwa israel. Nadhani wanajuta kimyakimya na nnauhakoka raia hawakupendezwa na hilo jambo
 
Back
Top Bottom