Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel ni jeshi linalojitahidi kupunguza maafa ya raia kadri iwezekanavyo japo ni mtihani sababu Hamas na Hezbollah wanaweka silaha na miundombinu yao kwenye makazi ya watu, Mfano leo Israel wameshambulia ghala la silaha pekee lakini wana uwezo wa kushambulia majengo mengine.Magaidi ni majinga sana, hupenda kujificha katikati ya makazi ya watu yakidhani Israel itaogopa kupiga hapo au haitagundua. Kumbe Israel ni wendawazimu waliopinda vibaya, wanapiga popote bila woga wala huruma.
Kwahio kuoana wanaume kwa wanaume na kuvaa zile mbao za shingo ndio ustaarabu😀Hakuna mtu mstarabu akavaa dela! Hawa magaidi wachapwe tu.
Watu wenye akili timamu hua wanaamini mahusiano ni baina ya mwanaume na mwanamkeIsrael ni taifa ambalo nchi zenye watu wenye akili timamu ukitoa mataifa ya warabu hayawezi anzisha vita na Taifa hilo!
Hivi ICC Bado ipo au ni ya waafrika tuu. Kwanini wasimshtaki Netanyau Kwa ugaidi na kuua raia wasio na hatiaWa Israeli wanafanya Ugaidi tu. Kujisifia kote huko Hamas Imewashindwa.
Ni hivyo tu.
Ostazi Juma, hivi unajua ushogha upo mpaka kwenye ukoo wenu? Ushogha sio taifa fulani shekheWatu wenye akili timamu hua wanaamini mahusiano ni baina ya mwanaume na mwanamke
Ukiaminu kinyume kama mnavyoamini wewe na hilo taifa lenu teule ujue mnakua vilaza pro+
Swali zuri, Kwanini hawawashitaki waIsrael/bibi?Hivi ICC Bado ipo au ni ya waafrika tuu. Kwanini wasimshtaki Netanyau Kwa ugaidi na kuua raia wasio na hatia
Mbona taayar mahakama kuu imetoa kibali cha kukamatwa netanyauHivi ICC Bado ipo au ni ya waafrika tuu. Kwanini wasimshtaki Netanyau Kwa ugaidi na kuua raia wasio na hatia
Kwa Nini mahakama ya kimataifa inamhitaji Netanyau?Israel ni jeshi linalojitahidi kupunguza maafa ya raia