Israel yalipua ghala la silaha za Hezbollah lililojengwa kwenye makazi ya watu

Israel yalipua ghala la silaha za Hezbollah lililojengwa kwenye makazi ya watu

Mods tafadhalini msiunge

Ghala hilo kubwa lilikuwa limejengwa sehemu yenye makazi ya watu kwajili ya kutunzia silaha za kuishambulia Israel.

Baada ya kushambuliwa, silaha hizo zimeanza kufumuka bila mpangilio, nyumba zinalipuka, watoto na wanawake wanakufa


View attachment 3074584


View attachment 3074585


View attachment 3074589


View attachment 3074588


View attachment 3074587
Hakuna hata habari hio imekuwa confirms na media hata hawa Al Arabia sio Al Arabiya kuna mmoja ni muongo, yeye anacho sema Israel huwa wanazidisha hio ni channel ya Saud Arabia na UAE broadcast from Dubai yen'yewe ni zaidi kama wewe mtoa mada. Hata hizo channel hakuna walio sema zaidi ya kusema Israel anadai kapiga silaha 😄

Hi channel inasema Israel wanajidai wamepiga silaha hapo dalili wazi ni waongo kama wewe mtoa mada


View: https://youtu.be/xsjnaq8ys3I?si=DTf0AaJNXAyWAnUc
 
Ostazi Juma, hivi unajua ushogha upo mpaka kwenye ukoo wenu? Ushogha sio taifa fulani shekhe

Kuna mashogha ya kiarabu, mashogha ya kizungu, mashogha ya kiafrica na TANZANIA yapo

Kuna mashogha ya Kikristo, yapo mashogha ya kiislamu

Lakini wakati huo huo, kuna watu wema ndani ya Uislamu na Ukristo pia

Sasa wewe endelea kufundisha mema kwa watoto wa Madrasa, jichunge na uchunge wanao msiwe mashogha
Ila huko kwengine watu hawapigii debe ushoga kama huko kanisani kwenu au israhell

Mnaona ushoga kama jambo lakawaida yaani

Wengine kule mnawachagua wawe wasemaji rasmi wa ikulu sababu munawapenda

Wengine huku munawabariki na kiwafungisha ndoa makanisani ili waongezeke

Wengine huko kila mwaka kama sio mwezi wanawaekea pride parade ili wauzoee ushoga

Poleni sana
 
Papa sio Biblia Wala maandiko
Akikiuka maandiko tutamuona muasi tu
Ila ndoa alizopigia chapuo mamba zinafungwa makanisani au hujawahi kusikia?

Makanisani kwasasa ndoa zinapigishwa tu za me kwa me na ke kwa ke

Buuuuure kabisa
 
Kwahio kuoana wanaume kwa wanaume na kuvaa zile mbao za shingo ndio ustaarabu😀

Kweli mrengo wakushoto mmezidi kua viazi
Ule uchafu mnaowafundisha na kuwafanya watoto huko Madras. Mkiwaharibu mnategemea wataishije?

Nyie viumbe mnaunafiki mwingi sana
 
Ule uchafu mnaowafundisha na kuwafanya watoto huko Madras. Mkiwaharibu mnategemea wataishije?

Nyie viumbe mnaunafiki mwingi sana
Wakati wanafundishwa huo uchafu ulikuepo?

Vyuoni ndio sehemu sahihi watoto wanapata malezi sahihi wakiwa na waalimu sahihi tu
 
Did the Muslim Prophet Muhammad have a boyfriend?
Actually, yes. And even though Muhammad claimed homosexuality was wrong, he himself was involved in homosexual behavior.

Sunan Abi Dawud 5224

Narrated Usayd ibn Hudayr:

AbdurRahman ibn AbuLayla, quoting Usayd ibn Hudayr, a man of the Ansar, said that while he was given to jesting and was talking to the people and making them laugh, the Prophet poked him under the ribs with a stick. He said: Let me take retaliation. He said: Take retaliation. He said: You are wearing a shirt but I am not. The Prophet then raised his shirt and the man embraced him and began to kiss his side. Then he said: This is what I wanted, Messenger of Allah!

A man kissing Muhammad's bare chest.

Jami` at-Tirmidhi 2732

Narrated 'Aishah:

"Zaid bin Harithah arrived in Al-Madinah while the Messenger of Allah was in his house. So he went and knocked at the door, so the Messenger of Allah stood naked, dragging his garment - and by Allah! I did not see him naked before nor afterwards - and he hugged him and kissed him."

Naked Muhammad kissing another man.
 
Did the Muslim Prophet Muhammad have a boyfriend?
Actually, yes. And even though Muhammad claimed homosexuality was wrong, he himself was involved in homosexual behavior.

Sunan Abi Dawud 5224

Narrated Usayd ibn Hudayr:

AbdurRahman ibn AbuLayla, quoting Usayd ibn Hudayr, a man of the Ansar, said that while he was given to jesting and was talking to the people and making them laugh, the Prophet poked him under the ribs with a stick. He said: Let me take retaliation. He said: Take retaliation. He said: You are wearing a shirt but I am not. The Prophet then raised his shirt and the man embraced him and began to kiss his side. Then he said: This is what I wanted, Messenger of Allah!

A man kissing Muhammad's bare chest.

Jami` at-Tirmidhi 2732

Narrated 'Aishah:

"Zaid bin Harithah arrived in Al-Madinah while the Messenger of Allah was in his house. So he went and knocked at the door, so the Messenger of Allah stood naked, dragging his garment - and by Allah! I did not see him naked before nor afterwards - and he hugged him and kissed him."

Naked Muhammad kissing another man.
Mishoga.lazima mtafute fake story au mmezitengeneza wenyewe hizo hadithi.


View: https://youtube.com/shorts/6UVcHWqtDE0?si=U0iIFpQip4BfQMdw
 
Mods tafadhalini msiunge

Ghala hilo kubwa lilikuwa limejengwa sehemu yenye makazi ya watu kwajili ya kutunzia silaha za kuishambulia Israel.

Baada ya kushambuliwa, silaha hizo zimeanza kufumuka bila mpangilio, nyumba zinalipuka, watoto na wanawake wanakufa


View attachment 3074584


View attachment 3074585


View attachment 3074589


View attachment 3074588


View attachment 3074587
Amaa kweli! Myahudi (IDF) ni habari nyingine. Safari hii naona kaamua kuja na mtindo (mbinu)wa kuwalambisha asali na mautamu yao wenyewe hao Hezbollah. Hayo makombora na silaha nyingine humo ghalani zilikuwa ni kwa ajili ya kuiumiza Israel. Lakini Mwamba (Israeli) amewageuzia kibao na sasa wanayaonja utamu wake wao wenyewe Hezbollah.
 
Kwahio kuoana wanaume kwa wanaume na kuvaa zile mbao za shingo ndio ustaarabu😀

Kweli mrengo wakushoto mmezidi kua viazi
Wenzako wanachapika wewe upo hapa kawaokoe
Magaid nyie
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe
 
Ila ndoa alizopigia chapuo mamba zinafungwa makanisani au hujawahi kusikia?

Makanisani kwasasa ndoa zinapigishwa tu za me kwa me na ke kwa ke

Buuuuure kabisa
Umeongea kijanja janja sana
Chapuo sio

Leta Hilo tamko la kuruhusu ndoa kwenye Rc

Ukristo una madhehebu mengine na usishangae Kuna walioasi Neno pia
 
Back
Top Bottom