Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,795
- 9,143
Ubaya wa hii vita ya Israel wao wanadhibiti habari zoote wanazopigwa hata kuuwawa sana wanajeshi wao.Hawasemi hata kwamba kuna miji yao wananchi wamehama kabisa imebakia magofu...ila wao wenyeww wanapigwa sana sana...Na hata makao makuu ya Mossad yamepigwa ila wamezuia habari zoote...Huo ni.unafiki na uoga