Israel yapiga marufuku ndege za kijeshi kutua Lebanon

Israel yapiga marufuku ndege za kijeshi kutua Lebanon

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Israel limeanza kufatilia na kutawala anga lote la Lebanon na kupiga marufuku ndege zote za kijeshi kutua Lebanon.

Mamlaka ya Anga ya Lebanon imekubaliana na Israel na imefuata matakwa ya Israel.

Israel imesema yeyote atayeleta ndege itazuiwa au kulipuliwa.

Mbabe kaonekana hapo ME
 
Ayatollah mpumbavu sana anadanganya waarabu kuwa wanaweza kumpiga Israel.. Quran inawatambua Waisrael na hadi eneo lao la kuishi hadi kiama..

Sasa kujitoa ufahamu na kupingana na Quran hawatoweza Shinda zaidi laana zinawarudia wenyewe kila siku wakitoa..

Iran ni Shia hawaiamini Quran hii ya sasa wanasema Meddy atakuja nayo original.. sio hii ukiisoma imejaa ujinga na vichekesho na uongo... Eti dunia hii imebebwa mgongini mwa nyangumi ndani ya maji..
 
Halafu leo nisabato majamaa yameamua mana magaidi walirelax wakijua mzayuni atakua amepoa kuadhimisha sabbath
 
BREAKING:

A cargo flight from Iran supposed to land at the Beirut Airport has turned around after Israel informed the air traffic control at the airport that Israel would launch airstrikes against the plane if it landed in Beirut.

Israel won’t allow IRGC weapons into Lebanon.
20240928_115008.jpg
 
Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Israel limeanza kufatilia na kutawala anga lote la Lebanon na kupiga marufuku ndege zote za kijeshi kutua Lebanon.

Mamlaka ya Anga ya Lebanon imekubaliana na Israel na imefuata matakwa ya Israel.

Israel imesema yeyote atayeleta ndege itazuiwa au kulipuliwa.

Mbabe kaonekana hapo ME
Lebanon haya mambo mabaya wameyataka wao wenyewe kwa kitendo chao cha kuwachokoza wa-Israel.
 
Back
Top Bottom