Fala wewe Israel ili hack mfumo wa anga wa Lebanon.Kweli wewe kima!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fala wewe Israel ili hack mfumo wa anga wa Lebanon.Kweli wewe kima!
Ile ndege ya abiria na kilichotokea ni Israel ku hack mfumo wa mawasiliano wa anga.Hii taarifa imetangazwa na mtangazaji wa aljzeeera tena akionesha picha za uwanja wa ndege Beirut ulio jirani kabisa na bahari
Na mda mfupi ndege ya Iran ilirejea Tehran
Mambo ni moto!
Sema baadhi ya walebanoni wameipongeza Israel kwani hawajataka kuleta uharibifu kama ule wa Gaza ni mwendo wa ku deal na wale wakubwa kubwa wao
Israel ni dhaifu siku zote kutishia raia watu.Sasa wewe uko mbali hivi na fake Id yako
Unapaniki na kuchangakiwa kiasi
Ungekuwa karibu na Israel si ndo ungejiua mwenyewe bila kujua View attachment 3109534
NdiyoMwili ni wangu. Unanipangia jinsi ya kuutumia??
Huko Leba mambo ni moto!Ile ndege ya abiria na kilichotokea ni Israel ku hack mfumo wa mawasiliano wa anga.View attachment 3109832
Jamaa sasa hivi wanaingilia mifumo yote hadi ya utawala.Huko Leba mambo ni moto!
Asa hapo maana yake hakuna tena nchi isipokuwa Lebanon imeshakuwa Jimbo la Israel kama ilivyo tel AvivJamaa sasa hivi wanaingilia mifumo yote hadi ya utawala.
Usishangae taarifa ikatoka juu hapo Lebanon ya utata kumbe IDF wamesha hack mifumo.
Kiufupi kila eneo jamaa wame hack.