Israel yapiga marufuku ndege za kijeshi kutua Lebanon

Israel yapiga marufuku ndege za kijeshi kutua Lebanon

Kweli wewe kima!
Fala wewe Israel ili hack mfumo wa anga wa Lebanon.
Screenshot_2024-09-28-23-59-09-92_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329.jpg
 
Hii taarifa imetangazwa na mtangazaji wa aljzeeera tena akionesha picha za uwanja wa ndege Beirut ulio jirani kabisa na bahari
Na mda mfupi ndege ya Iran ilirejea Tehran
Mambo ni moto!
Sema baadhi ya walebanoni wameipongeza Israel kwani hawajataka kuleta uharibifu kama ule wa Gaza ni mwendo wa ku deal na wale wakubwa kubwa wao
Ile ndege ya abiria na kilichotokea ni Israel ku hack mfumo wa mawasiliano wa anga.
Screenshot_2024-09-28-23-59-09-92_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329.jpg
 
Jamaa sasa hivi wanaingilia mifumo yote hadi ya utawala.
Usishangae taarifa ikatoka juu hapo Lebanon ya utata kumbe IDF wamesha hack mifumo.
Kiufupi kila eneo jamaa wame hack.
Asa hapo maana yake hakuna tena nchi isipokuwa Lebanon imeshakuwa Jimbo la Israel kama ilivyo tel Aviv
Maana mifumo ya mawasiliano ndio nchi naona Lebanon inapigwa kwa science zaidi ila Gaza ilikuwa ni mabomu
 
Back
Top Bottom