Lete chanzo cha taarifa sio unaleta maneno matupu.Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Israel limeanza kufatilia na kutawala anga lote la Lebanon na kupiga marufuku ndege zote za kijeshi kutua Lebanon.
Mamlaka ya Anga ya Lebanon imekubaliana na Israel na imefuata matakwa ya Israel.
Israel imesema yeyote atayeleta ndege itazuiwa au kulipuliwa.
Mbabe kaonekana hapo ME
Kabisa utumie kwa faida yako sio kuumiza wengineMwili ni wangu. Unanipangia jinsi ya kuutumia??
Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Israel limeanza kufatilia na kutawala anga lote la Lebanon na kupiga marufuku ndege zote za kijeshi kutua Lebanon.
Mamlaka ya Anga ya Lebanon imekubaliana na Israel na imefuata matakwa ya Israel.
Israel imesema yeyote atayeleta ndege itazuiwa au kulipuliwa.
Mbabe kaonekana hapo ME
Hii taarifa imetangazwa na mtangazaji wa aljzeeera tena akionesha picha za uwanja wa ndege Beirut ulio jirani kabisa na bahariLete chanzo cha taarifa sio unaleta maneno matupu.
Lebanon ina mamlaka yake ya anga haiwezi kuisikiliza Israel.
Wakati mwingine msiongee kama mmeshiba makande.
šššMwili ni wangu. Unanipangia jinsi ya kuutumia??
Walebanon hawana shida, shida ni hicho kikundi cha kigaidi cha Hezbollah.Lebanon haya mambo mabaya wameyataka wao wenyewe kwa kitendo chao cha kuwachokoza wa-Israel.
Dume au mshangaziMwili ni wangu. Unanipangia jinsi ya kuutumia??
Turkey hana shida ni bonge ka NDUMILA KUWILI. Linatumika huku na hukuUturuki na kimbele mbele chao wapeleke ndege ya kijeshi yenye misaada ya 'kiutu'.
View: https://m.youtube.com/watch?v=GJ-03Kn0hGI
Sentensi imekaa kiufundi sanaNimefanya nao kazi
Jambo lao hua haliishi mpaka liwe limeisha
Pole kwa msiba ustaadhLete chanzo cha taarifa sio unaleta maneno matupu.
Lebanon ina mamlaka yake ya anga haiwezi kuisikiliza Israel.
Wakati mwingine msiongee kama mmeshiba makande.
Sasa wewe uko mbali hivi na fake Id yakoLete chanzo cha taarifa sio unaleta maneno matupu.
Lebanon ina mamlaka yake ya anga haiwezi kuisikiliza Israel.
Wakati mwingine msiongee kama mmeshiba makande.
Kweli wewe kima!Lete chanzo cha taarifa sio unaleta maneno matupu.
Lebanon ina mamlaka yake ya anga haiwezi kuisikiliza Israel.
Wakati mwingine msiongee kama mmeshiba makande.
Kama unanuka tutakulqzimisha ujifungie ndaniMwili ni wangu. Unanipangia jinsi ya kuutumia??
Mmh inavutia kusikiaš¤£Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Israel limeanza kufatilia na kutawala anga lote la Lebanon na kupiga marufuku ndege zote za kijeshi kutua Lebanon.
Mamlaka ya Anga ya Lebanon imekubaliana na Israel na imefuata matakwa ya Israel.
Israel imesema yeyote atayeleta ndege itazuiwa au kulipuliwa.
Mbabe kaonekana hapo ME