Israel yashambulia Lebanon kwa ndege za kivita na makombora. Maghala ya silaha na vituo vya kurushia roketi zaidi ya 100 zalipuliwa

Israel yashambulia Lebanon kwa ndege za kivita na makombora. Maghala ya silaha na vituo vya kurushia roketi zaidi ya 100 zalipuliwa

Wadau hamjamboni nyote?

Israel imetekeleza mashambulizi makubwa ya anga kusini mwa Lebanon, ikibainisha kuwa ndege zake za kivita zimepiga zaidi ya roketi 100 za Hezbollah na maeneo mengine ya "kigaidi," ikiwa ni pamoja na ghala la silaha.

Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limesema vizindua hivyo vilikuwa tayari kufyatuliwa dhidi ya Israel. Haijajulikana mara moja kama kuna wahanga wowote.

Shirika la Habari la Taifa la Lebanon limesema Israel imefanya angalau mashambulizi 52 kusini mwa nchi hiyo Alhamisi jioni.

Wakati huo huo, Hezbollah imesema pia imefanya mashambulizi kwenye maeneo ya kijeshi kaskazini mwa Israel.

Mashambulizi hayo ya anga ya Israel, ambayo yalidumu kwa zaidi ya saa mbili, yalikuwa miongoni mwa mashambulizi makali zaidi kutokea hivi karibuni.

=================================

Israel has carried out extensive air strikes on southern Lebanon, saying its warplanes have hit more than 100 Hezbollah rocket launchers and other "terrorist sites" including a weapons storage facility.

The Israel Defense Forces (IDF) said the launchers were ready to be fired against Israel. It was not immediately clear if there were any casualties.

Lebanon's state-run National News Agency said Israel carried out at least 52 strikes in the south of the country on Thursday evening. Hezbollah, meanwhile, said it had also launched strikes on military sites in northern Israel.

The Israeli air strikes, which lasted more than two hours, were some of the most intense of the recent conflict.

On Friday morning, Israel lifted orders restricting movement that it had issued on Thursday for communities in the Golan Heights and parts of northern Israel, its military confirmed.

The IDF added it would be carrying out "activities in the training areas" of northern Israel over the weekend and that "gunshots and explosions" might be heard in nearby settlements.

Source: BBC News
Hii ni mwanzo, Arabs/Muslim wote, lazima, tuwapeleke zama za, mawe
 
Japo ni ndefu nimeisoma kwa points. Hapa naona Israel anataka vita na sio operations. Hezbollah walishamshinda kitambo, hamars bado hajawapunguza. Nia ni iran aingie ili Marekani nae aingie vitani. Hakuna jingine
Mkuu, kweli kisago kama hicho, unategemea huyo Iran atatia mguu! Hajitaki nini.
 
Sorry,ivi huko Lebanon hakuna askari wetu wakulinda amani wa UN?!!
 
Israel sio kwamba anashindwa kumtandika Hizbullah hapana Bali Kuna juhudi za kidiplomasia zilikuwa zinafanywa hasa na Marekan kuzuia jambo hilo lisitokee na inavyoonekana hizo juhudi zimefeli kutokana na kibri Cha Hassan Nasrailla sasa Israel anaona hakuna namna nyingine zaidi ya kumtembezea mtu moto.

Kinachonisikitisha Mimi Israel anapiga popote anapojisikia iwe Lebanon,Syria,Gaza,West Bank mpaka Iran kwenyewe kwa Hami Yao na madhara ni makubwa ila wao wanaishia kujibu kwa kurusha fashi fashi ambazo madhara yake sio makubwa kuliko wanayopata wao.
Ukichunguza vema Israel anataget watu muhimu hasa makamanda...na miundombinu muhimu.....hesbollah hawafanyi hivyo
 
Akipiga hutoa takwimu za kujimwambafy,akipigwa ooh wamepiga vichakani,hakuna askari alouawa,wamejeruhiwa wawili,sasa hivi anavutia waafrika wakajiunge na jeshi lake,sijui wanajeshi wake wameenda wapi!?
Nje ya kutaja viongozi aliowaua, Israel huongea kidogo sana kuhusu mashambulizi yake, hata hizo paggers zilizolipuka hajasema chochote.
 
Ukichunguza vema Israel anataget watu muhimu hasa makamanda...na miundombinu muhimu.....hesbollah hawafanyi hivyo
Na ni dhaihiri IDF wanajua vilivyo walipo hao viongozi wao ila wanapiga pale wanapoona Kuna threat hata hao wanamgambo wa Hizbullah mbali na viongozi wao sio kwamba IDF wakiwaona wanawatandika tu hapana bali wakigundua Fulani ndio karusha missiles na drones ndio wapata sababu ya kuwatandika.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Israel imetekeleza mashambulizi makubwa ya anga kusini mwa Lebanon, ikibainisha kuwa ndege zake za kivita zimepiga zaidi ya roketi 100 za Hezbollah na maeneo mengine ya "kigaidi," ikiwa ni pamoja na ghala la silaha.

Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limesema vizindua hivyo vilikuwa tayari kufyatuliwa dhidi ya Israel. Haijajulikana mara moja kama kuna wahanga wowote.

Shirika la Habari la Taifa la Lebanon limesema Israel imefanya angalau mashambulizi 52 kusini mwa nchi hiyo Alhamisi jioni.

Wakati huo huo, Hezbollah imesema pia imefanya mashambulizi kwenye maeneo ya kijeshi kaskazini mwa Israel.

Mashambulizi hayo ya anga ya Israel, ambayo yalidumu kwa zaidi ya saa mbili, yalikuwa miongoni mwa mashambulizi makali zaidi kutokea hivi karibuni.

=================================

Israel has carried out extensive air strikes on southern Lebanon, saying its warplanes have hit more than 100 Hezbollah rocket launchers and other "terrorist sites" including a weapons storage facility.

The Israel Defense Forces (IDF) said the launchers were ready to be fired against Israel. It was not immediately clear if there were any casualties.

Lebanon's state-run National News Agency said Israel carried out at least 52 strikes in the south of the country on Thursday evening. Hezbollah, meanwhile, said it had also launched strikes on military sites in northern Israel.

The Israeli air strikes, which lasted more than two hours, were some of the most intense of the recent conflict.

On Friday morning, Israel lifted orders restricting movement that it had issued on Thursday for communities in the Golan Heights and parts of northern Israel, its military confirmed.

The IDF added it would be carrying out "activities in the training areas" of northern Israel over the weekend and that "gunshots and explosions" might be heard in nearby settlements.

Source: BBC News
Watu wa Lebanon hawastahili kabisa kufanyiwa hivi..haya yote msababishaji mkubwa ni Iran..ifike mahala watu waangalie chanzo Cha tatizo na si kuishutumu Israel kila kukicha. Ingekuwa vyema sana endapo Serikali ya Lebanon ingewafurusha hawa Hizbullah waende huko Iran na si kuendelea kuwa chanzo Cha maafa..
Hatutaki umwagaji damu uendelee just like what is happening in Gaza..
Ayatollah Khomeini is a blood thirsty beast, he doesn't care about others,all he cares is to see his goal achieved whether the road to achievements involves a bloodshed, that's not his concern.
 
Hawa wavaa makobazi wanafikiri wataipiga Israeli?? ABDEL NASSER NA ANWAR SADDAT walishindwa
 
Unaongelea issue hii katika Islamic perpective ya ushindi ila kwa ujumla Israel amewaneutralize smatly hawa ndugu zako katika Imani.Kila kuchwao wanapoteza figures muhimu na kwa sasa hata zile tambo zao zimekwisha kabisa.
Myahudi akitoka Lebanon kituo ni Yemen then Iran.
Majamaa yanatoa darsa zuri sana ya namna ya kudeal na magaidi ya Kiislam
Japo ni ndefu nimeisoma kwa points. Hapa naona Israel anataka vita na sio operations. Hezbollah walishamshinda kitambo, hamars bado hajawapunguza. Nia ni iran aingie ili Marekani nae aingie vitani. Hakuna jingine
 
Kama hii habari itakuwa ya kweli basi kazi ipo IDF wameamua kumleta Iran mazima katika vita ya Gaza
Mkuu
Unaongelea issue hii katika Islamic perpective ya ushindi ila kwa ujumla Israel amewaneutralize smatly hawa ndugu zako katika Imani.Kila kuchwao wanapoteza figures muhimu na kwa sasa hata zile tambo zao zimekwisha kabisa.
Myahudi akitoka Lebanon kituo ni Yemen then Iran.
Majamaa yanatoa darsa zuri sana ya namna ya kudeal na magaidi ya Kiislam
Mkuu umenena vyema kabisa.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Israel imetekeleza mashambulizi makubwa ya anga kusini mwa Lebanon, ikibainisha kuwa ndege zake za kivita zimepiga zaidi ya roketi 100 za Hezbollah na maeneo mengine ya "kigaidi," ikiwa ni pamoja na ghala la silaha.

Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) limesema vizindua hivyo vilikuwa tayari kufyatuliwa dhidi ya Israel. Haijajulikana mara moja kama kuna wahanga wowote.

Shirika la Habari la Taifa la Lebanon limesema Israel imefanya angalau mashambulizi 52 kusini mwa nchi hiyo Alhamisi jioni.

Wakati huo huo, Hezbollah imesema pia imefanya mashambulizi kwenye maeneo ya kijeshi kaskazini mwa Israel.

Mashambulizi hayo ya anga ya Israel, ambayo yalidumu kwa zaidi ya saa mbili, yalikuwa miongoni mwa mashambulizi makali zaidi kutokea hivi karibuni.

=================================

Israel has carried out extensive air strikes on southern Lebanon, saying its warplanes have hit more than 100 Hezbollah rocket launchers and other "terrorist sites" including a weapons storage facility.

The Israel Defense Forces (IDF) said the launchers were ready to be fired against Israel. It was not immediately clear if there were any casualties.

Lebanon's state-run National News Agency said Israel carried out at least 52 strikes in the south of the country on Thursday evening. Hezbollah, meanwhile, said it had also launched strikes on military sites in northern Israel.

The Israeli air strikes, which lasted more than two hours, were some of the most intense of the recent conflict.

On Friday morning, Israel lifted orders restricting movement that it had issued on Thursday for communities in the Golan Heights and parts of northern Israel, its military confirmed.

The IDF added it would be carrying out "activities in the training areas" of northern Israel over the weekend and that "gunshots and explosions" might be heard in nearby settlements.

Source: BBC News
Kuna wakati iran walilalamikia kuibiwa mawingu
 
Kuna wakati iran walilalamikia kuibiwa mawingu
Mkuu, hii ilinikumbusha - Mh. Marehemu Waziri Mkuu Lowasa lipo kwenda Nchi za Mashariki ya Mbali kupata elimu ya kutengeneza MVUA. Kwa hili nameona alikuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom