Israel yashambulia na kubomoa kanisa Saint Porphyry-Gaza

Israel yashambulia na kubomoa kanisa Saint Porphyry-Gaza

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Jeshi la Israel likiendelea na kampeni zake za vita dhidi ya Palestine na HAMAS,imeshambulia na kubomoa Church of Saint Porphyry-Gaza.

Shambulizi hili sio la kwanza dhidi ya makanisa,misikiti,shule na hospital.

Matendo kama haya hutosikia yakilaaniwa kua ni ugaidi ama uhalify,sana sana utasikia Israel ikitetewa kua Taifa la Mungu.

Tazama picha ya kanisa baada ya shambulio na kabla.
20231219_000441.jpg


20231219_000447.jpg


Wengi hawafahamu kua Wanaoongoza Israel ni wazayuni na Wazayuni sio wayahudi na Wazayuni wapo against na ukristo na uislamu.
 
Jeshi la Israel likiendelea na kampeni zake za vita dhidi ya Palestine na HAMAS,imeshambulia na kubomoa Church of Saint Porphyry-Gaza.

Shambulizi hili sio la kwanza dhidi ya makanisa,misikiti,shule na hospital.

Matendo kama haya hutosikia yakilaaniwa kua ni ugaidi ama uhalify,sana sana utasikia Israel ikitetewa kua Taifa la Mungu.

Tazama picha ya kanisa baada ya shambulio na kabla.View attachment 2846626

View attachment 2846627

Wengi hawafahamu kua Wanaoongoza Israel ni wazayuni na Wazayuni sio wayahudi na Wazayuni wapo against na ukristo na uislamu.
Safi Israel. Hilo kanisa limeshanajisiwa na magaidi halina tena utukufu. Wateule walichofanya ni sahihi kabisa.

Justice for JOSHUA and CLEMENCE.

ISRAEL PLEASE DON'T SORT THEM JUST KILL THEM ALL.
 
Jeshi la Israel likiendelea na kampeni zake za vita dhidi ya Palestine na HAMAS,imeshambulia na kubomoa Church of Saint Porphyry-Gaza.

Shambulizi hili sio la kwanza dhidi ya makanisa,misikiti,shule na hospital.

Matendo kama haya hutosikia yakilaaniwa kua ni ugaidi ama uhalify,sana sana utasikia Israel ikitetewa kua Taifa la Mungu.

Tazama picha ya kanisa baada ya shambulio na kabla.View attachment 2846626

View attachment 2846627

Wengi hawafahamu kua Wanaoongoza Israel ni wazayuni na Wazayuni sio wayahudi na Wazayuni wapo against na ukristo na uislamu.
Hamas walijificha humu. Tunapobaini kuna hata Kichanga kimoja tu gaidi tunasambaratisha Kila kitu
 
Jeshi la Israel likiendelea na kampeni zake za vita dhidi ya Palestine na HAMAS,imeshambulia na kubomoa Church of Saint Porphyry-Gaza.

Shambulizi hili sio la kwanza dhidi ya makanisa,misikiti,shule na hospital.

Matendo kama haya hutosikia yakilaaniwa kua ni ugaidi ama uhalify,sana sana utasikia Israel ikitetewa kua Taifa la Mungu.

Tazama picha ya kanisa baada ya shambulio na kabla.View attachment 2846626

View attachment 2846627

Wengi hawafahamu kua Wanaoongoza Israel ni wazayuni na Wazayuni sio wayahudi na Wazayuni wapo against na ukristo na uislamu.


Kwa hiyo ukibomoa Kanisa lolote ni dhambi? Ukiwahi kusikia Yesu ashawahi leta noma Kanisan.
 
"Bwana akamwambia Sauli, angamiza kila kitu kabla hujaitwaa hiyo ardhi kuwa Mali yenu. Angamiza wake kwa waume, watoto wao, mifugo yao, nyumba zao na chochote Chenye uhai kilichopo juu ya ardhi hiyo."

Sasa unashangaa jengo kupigwa? Kwenye hiyo ardhi ata kama kuna sinagogi la Wayahudi lazima linomolewe sababu ardhi inatakiwa ibarikiwe kwanza ndipo itumike
 
Back
Top Bottom