babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Wafuasi wa nabii Tito hawajifichiYale machuma mrusi aliyofunga hapo Syria ni kama hayafanyi kazi. Yaani ndege za Israel zinapita kwenye hayo hayo machuma kujipigia maeneo mbalimbali. Ukichunguza vizuri unaweza kuta mrusi kafunga machine za kusaga mahindi huko Syria.
Mkuu usijichoshe kuwaelewesha hao wafuasi wa nabii Tito.Kuna watu wabishi sana hapa Duniani sijapata kuona.umbali wa kutoka Lebanon mpaka Port ya Latakia ni 300km.wakati makombola yana uwezo wa kwenda mpaka 3000km(mara 10 ya uwo umbali unaosema wewe).
Acha kubisha vitu usivyovijua
Njoo na hoja, hii mipasho ya vidole juu ipeleke kwa akina Mzee Yusufu.Wafuasi wa nabii Tito hawajifichi
Kwa hoja gani uliyotoa!!!?Njoo na hoja, hii mipasho ya vidole juu ipeleke kwa akina Mzee Yusufu.
sawa kijana wa lombo kwa limboaHayo maneno yako mkazi wa tandale...wakati wanaomba ruhusa ulikuwepo?....acha story za kwenye kahawa
Israel huwa inawasiliana na Russia kwanza, so sometimes wanayazima ili wayahudi wafanye yao
Acha kuleta mihemko kenge wahedKuna watu wabishi sana hapa Duniani sijapata kuona.umbali wa kutoka Lebanon mpaka Port ya Latakia ni 300km.wakati makombola yana uwezo wa kwenda mpaka 3000km(mara 10 ya uwo umbali unaosema wewe).
Acha kubisha vitu usivyovijua
Unafahamu kiingereza vizur?...nionyeshe mstar uliandikwa kuwa Israel inaomba ruhusa ifanye mashambulizi SyriaIsrael says Russia agreed to not hamper IDF air campaign over Syria
Ze’ev Elkin, present at Sochi talks, says Putin and Bennett decided to preserve so-called deconfliction mechanism allowing Israel to carry out attacks without Moscow respondingwww.timesofisrael.com
Moscow maintains state-of-the-art S-400 air defense systems to protect its own assets in Syria, but has never turned them on Israeli planes.Unafahamu kiingereza vizur?...nionyeshe mstar uliandikwa kuwa Israel inaomba ruhusa ifanye mashambulizi Syria
Prime Minister Naftali Bennett and Russian President Vladimir Putin agreed during their meeting in Sochi on Friday that the two nations would continue to implement the so-called deconfliction mechanism that works to prevent Israeli and Russian forces from clashing in Syria, a senior Israeli official said.
Ndo ulichobakisha icho wala una jipya ngoja nikuache siwezi kuongea na mtoto aliyepatikana kwa madawa ya mgangaAcha kuleta mihemko kenge wahed