Israel yataja wanajeshi 11 zaidi waliouawa siku ya Jumanne

Israel yataja wanajeshi 11 zaidi waliouawa siku ya Jumanne

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanakumbi.

Jeshi la Israel limetoa orodha yake ya wanajeshi ambao wamefariki katika vita vinavyoendelea na Hamas.

Idadi hiyo ya vifo sasa imefikia 326, wakiwemo wanajeshi 11 waliofariki huko Gaza siku ya Jumanne.Wanajeshi hao wote walikuwa na umri wa kati ya miaka 19 na 20.

Jeshi la Ulinzi la Israel limetoa picha za hivi punde za operesheni yao ya kijeshi kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.

Picha kadhaa zinaonyesha majengo yaliyoharibiwa na vifusi, ikionyesha ukubwa wa athari za mashambulizi ya anga na mashambulizi ya ardhini ya Israeli.

Chanzo: BBC
Jeshi la Israel linapoteza Wanajeshi wengi Gaza hawataki kusema ukweli wanatoa orodha ya kisiasa isonekane wanapigwa.
 
Wanakumbi.

Jeshi la Israel limetoa orodha yake ya wanajeshi ambao wamefariki katika vita vinavyoendelea na Hamas.

Idadi hiyo ya vifo sasa imefikia 326, wakiwemo wanajeshi 11 waliofariki huko Gaza siku ya Jumanne.Wanajeshi hao wote walikuwa na umri wa kati ya miaka 19 na 20.

Jeshi la Ulinzi la Israel limetoa picha za hivi punde za operesheni yao ya kijeshi kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.

Picha kadhaa zinaonyesha majengo yaliyoharibiwa na vifusi, ikionyesha ukubwa wa athari za mashambulizi ya anga na mashambulizi ya ardhini ya Israeli.

Chanzo: BBC
Jeshi la Israel linapoteza Wanajeshi wengi Gaza hawataki kusema ukweli wanatoa orodha ya kisiasa isonekane wanapigwa.
Netanyau amakalia kuti anaogopa hasira za wayahudi lazima afiche ukweli
 
mwanajeshi kuuawa akiwa vitani ni kitu cha kawaida. cha muhimu ni mwisho wa vita israel itashinda basi. mengine matokeo ya vita.
Kama hawa [emoji28]
IMG_20231101_014119.jpg
 
Sema wewe ukweli usio wa kisiasa twambie wamekufa wangapi sasa ili tuwapotezee bbc na uwongo wao....bikira 72 znakusubiri mkuu nfanyie connection nami nije npatemo hata 10 mkuu.
Ngozi nyeusi ni laana msemo wa Omughaka [emoji38]

Ushabiki maandazi wa vita kisa tu udini, na hata akifa au kuumwa sasa hivi hao Waarabu hawamjui wala hawatataka kumjua kamwe[emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Sema wewe ukweli usio wa kisiasa twambie wamekufa wangapi sasa ili tuwapotezee bbc na uwongo wao....bikira 72 znakusubiri mkuu nfanyie connection nami nije npatemo hata 10 mkuu.
 
mwanajeshi kuuawa akiwa vitani ni kitu cha kawaida. cha muhimu ni mwisho wa vita israel itashinda basi. mengine matokeo ya vita.
Hayo maneno waambie Jeshi la Israel ndiyo wamesema mimi nanukuu tu.
 

Attachments

  • f87caf50-005c-4071-a7a3-d756c2d6deb8.mov
    2.1 MB
Wanakumbi.

Jeshi la Israel limetoa orodha yake ya wanajeshi ambao wamefariki katika vita vinavyoendelea na Hamas.

Idadi hiyo ya vifo sasa imefikia 326, wakiwemo wanajeshi 11 waliofariki huko Gaza siku ya Jumanne.Wanajeshi hao wote walikuwa na umri wa kati ya miaka 19 na 20.

Jeshi la Ulinzi la Israel limetoa picha za hivi punde za operesheni yao ya kijeshi kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.

Picha kadhaa zinaonyesha majengo yaliyoharibiwa na vifusi, ikionyesha ukubwa wa athari za mashambulizi ya anga na mashambulizi ya ardhini ya Israeli.

Chanzo: BBC
Jeshi la Israel linapoteza Wanajeshi wengi Gaza hawataki kusema ukweli wanatoa orodha ya kisiasa isonekane wanapigwa.
Kwa hiyo tangu leo tukuamini wewe unayeuza kambale hapo Tandale kwa Mtogole kuwa chanzo chetu cha habari za vita kati ya Israel na magaidi wa Hamas.
 
Kwa hiyo tangu leo tukuamini wewe unayeuza kambale hapo Tandale kwa Mtogole kuwa chanzo chetu cha habari za vita kati ya Israel na magaidi wa Hamas.
Hiyo habari nimeweka chanzo ipo BBC.
Punguani kama wewe ukiletewa habari na basha wako unakubali sababu anakutafuna.
 
BREAKING: FIGHT BETWEEN HAMAS AND ISRAELI SOLDIERS IN SOUTHERN GAZA CITY

Hamas Claim:

- Deaths among Israeli soldiers is higher than officially announced.

- They blew up several Israeli vehicles and ongoing clashes with occupation forces in multiple areas.

- Israeli tanks face difficulties in advancing on penetrated axes due to fierce resistance.
 
BREAKING: FIGHT BETWEEN HAMAS AND ISRAELI SOLDIERS IN SOUTHERN GAZA CITY

Hamas Claim:

- Deaths among Israeli soldiers is higher than officially announced.

- They blew up several Israeli vehicles and ongoing clashes with occupation forces in multiple areas.

- Israeli tanks face difficulties in advancing on penetrated axes due to fierce resistance.
Kumbe ni 'Hamas Claim'
 
Dah, hii dunia inamengi ya kusikitisha vijana wadogo sana wanapoteza maisha yao kwa kupigana vita vilivyopangwa kwa manufaa ya watu wachache waliona na roho za kishetani kwa kutaka kuharibu kabisa hii dunia ili watimize malengo yao ya kishetani.
 
Sio lazima uwe Muislamu ili usimame na Palestina 🇵🇸
Unapaswa kuwa Mwanadamu
 
Hezbollah commander to IRNA:

We are ready to enter Israel

We practiced and planned how to attack all Israeli support cruisers on the day of receiving the order. With a new technology, we detonated the Merkava in two stages with a Kornet missile.
 
Hiyo habari nimeweka chanzo ipo BBC.
Punguani kama wewe ukiletewa habari na basha wako unakubali sababu anakutafuna.
Bangi za madrasa ndio zinakuongoza ktk uandishi wako. Ukishagonga kichwa chini muda mrefu akili haziwezi kuwa sawa.
 
Back
Top Bottom