Israel yatakiwa kujihadhari na kilichoipata Marekani nchini Afghanistan

Israel yatakiwa kujihadhari na kilichoipata Marekani nchini Afghanistan

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ijumaa iliyopita Marekani ilikuwa inaadhimisha kujiondoa rasmi nchini Afghanistan baada ya vita dhidi ya ulichokiita ugaidi vilivyochukua miaka 20.

Kuangukia mikononi mwa Taliban kwa mji wa Kabul kulitanguliwa na kuuliwa kwa askari 13 wa Marekani pamoja na 170 wa jeshi la Afghanistan mnamo Agosti 26.

Baada ya hapo kilichotokea kiliishangaza Marekani juu ya mafanikio ya vita dhidi ya ugaidi.

Baada ya tukio hilo la kushtusha raisi Biden alitoa tangazo la kujifariji kwamba walikuwa wametoa hukumu kwa Osama bin Laden na kwamba Alqaeda walikuwa wameshindwa.

Kwa hivyo ilikuwa ni wakati sahihi wa kumaliza vita hivyo.Lengo la kuifuta Alqaeda lilitakiwa liende sambamba na kusimamisha serikali ya kidemokrasia nchini Afghanistan kuchukua nafasi ya Taliban.

Jinsi vita hivyo vilivyoishia kulizusha mjadala iwapo vita dhidi ya ugaidi vinaweza kufanikiwa kweli kwa njia ya vita.

Kwa upande wa Israel tangu kuundwa kwake hapo mwaka 1948 ilianza na kupambana na makundi ya kutoka nchi za kiarabu yaliyojulikana kama Fedayeen.

Baadae ikafuatiwa na chama cha ukombozi cha Palestina cha PLO.

Pamoja na nguvu kubwa ambayo Israel imekuwa ikitumia lakini badala ya kuyamaliza makundi yanayopinga nayo kwa sasa ndio yameongezeka sana na kufikia karibu dazeni mbili yakitokea Gaza, Lebanon, Syria, Iraq, Yemen pamoja na ukingo wa magharibi.

3 years after US withdrawal from Afghanistan, Israel looks to lessons learned from War on Terror

 
Hoja nzuri, lakini Mimi naona (mtazamo wangu) haya makundi ndio yamezigawa nchi zao, mfano Houthi ni jeshi ndani ya Nchi ya Yemeni lakini Nchi yenyewe Ina jeshi lake, Hizbollah vivyo hivyo. Zile nchi Korofi ndiko vikundi hivi vilizuka? Huu sio mpango wao kweli?
 
Wewe ndiye unaishauri Israel based on the hicho ki-article cha kuokoteza?

Ha ha ha! Wamatumbi mna tatizo kweli kweli; kwamba Mossad, Shinbet, et. al. hawajui yote hayo! Kupata vichekesho hivi bofya *199# free of charge!
 
Hoja nzuri, lakini Mimi naona (mtazamo wangu) haya makundi ndio yamezigawa nchi zao, mfano Houthi ni jeshi ndani ya Nchi ya Yemeni lakini Nchi yenyewe Ina jeshi lake, Hizbollah vivyo hivyo. Zile nchi Korofi ndiko vikundi hivi vilizuka? Huu sio mpango wao kweli?
Mpango wa nani unakusudia ?
 
Wewe ndiye unaishauri Israel based on the hicho ki-article cha kuokoteza?

Ha ha ha! Wamatumbi mna tatizo kweli kweli; kwamba Mossad, Shinbet, et. al. hawajui yote hayo! Kupata vichekesho hivi bofya *199# free of charge!
Wewe unaamini sana hao Mossad ,Shinbet na CIA,
Haya twambie basi walikuwa wapi Taliban walipochukua nchi yote kwa siku chache tu mpaka na silaha zao wakazihodhi.
 
Hoja nzuri, lakini Mimi naona (mtazamo wangu) haya makundi ndio yamezigawa nchi zao, mfano Houthi ni jeshi ndani ya Nchi ya Yemeni lakini Nchi yenyewe Ina jeshi lake, Hizbollah vivyo hivyo. Zile nchi Korofi ndiko vikundi hivi vilizuka? Huu sio mpango wao kweli?
Mleta mada hawezi juwa kuwa ni mpango ya watu wenye akili kubwa
 
Mpango wa nani unakusudia ?
Hili sidhani kama ni swali lenye mantiki. Lakini angalia nchi zisizo na msimamo mkali mfano Jordan ziko na utulivu kabisa japo sehemu ya mto wao imechukuliwa, kama ilivyo maeneo ya Golan Heights pale Syria, na maeneo mengineyo mengi.
 
Ijumaa iliyopita Marekani ilikuwa inaadhimisha kujiondoa rasmi nchini Afghanistan baada ya vita dhidi ya ulichokiita ugaidi vilivyochukua miaka 20.

Kuangukia mikononi mwa Taliban kwa mji wa Kabul kulitanguliwa na kuuliwa kwa askari 13 wa Marekani pamoja na 170 wa jeshi la Afghanistan mnamo Agosti 26.

Baada ya hapo kilichotokea kiliishangaza Marekani juu ya mafanikio ya vita dhidi ya ugaidi.

Baada ya tukio hilo la kushtusha raisi Biden alitoa tangazo la kujifariji kwamba walikuwa wametoa hukumu kwa Osama bin Laden na kwamba Alqaeda walikuwa wameshindwa.

Kwa hivyo ilikuwa ni wakati sahihi wa kumaliza vita hivyo.Lengo la kuifuta Alqaeda lilitakiwa liende sambamba na kusimamisha serikali ya kidemokrasia nchini Afghanistan kuchukua nafasi ya Taliban.

Jinsi vita hivyo vilivyoishia kulizusha mjadala iwapo vita dhidi ya ugaidi vinaweza kufanikiwa kweli kwa njia ya vita.

Kwa upande wa Israel tangu kuundwa kwake hapo mwaka 1948 ilianza na kupambana na makundi ya kutoka nchi za kiarabu yaliyojulikana kama Fedayeen.

Baadae ikafuatiwa na chama cha ukombozi cha Palestina cha PLO.

Pamoja na nguvu kubwa ambayo Israel imekuwa ikitumia lakini badala ya kuyamaliza makundi yanayopinga nayo kwa sasa ndio yameongezeka sana na kufikia karibu dazeni mbili yakitokea Gaza, Lebanon, Syria, Iraq, Yemen pamoja na ukingo wa magharibi.

3 years after US withdrawal from Afghanistan, Israel looks to lessons learned from War on Terror

Kwa kifupi akuna Nchi yeyote Ya Kiarabu! Atakaeshinda Vita juu ya Israel- Israel kwa kuwa wanajua wamezungukwa na maadui , Wamejiimarisha sana kiteknolojia VITA na Ujasusi na pia awachokozi Mtu, wao ukibeep ndo Wanakugawia Kifurushi kwa idadi.Houtus wa Yemen- wamepewa kimoja tu Chali🤣🤣.. Wapo Kimyaaa- Wangekuwa wanaumudu mziki wa Isarel wangeshajibu mashambulizi🤣🤣Yemen anahitaji zaidi ya miaka 20 kurudisha bandali yake na oil depo , Ambayo Israel kwa masaa tu aliigeuza Majivu. Iran kama kweli ana ubavu angeshajibu mashambulizi kitambo tu🤣 . Saudia anajielewa ndo maana umwoni akijitia kimbelembele- anajua mziki wa Mtoto wa Bi mkubwa Sara wa Ibrahim.
Joshua 23:1-16.....
9 Maana Bwana amefukuza mbele yenu mataifa walio hodari, kisha wenye nguvu, lakini kwenu ninyi hapana mtu aliyesimama mbele yenu hata leo.

10 Mtu mmoja miongoni mwenu atafukuza watu elfu; maana Bwana, Mungu wenu, ndiye anayewapigania, kama alivyowaambia...
Ata kama huamini Bibilia!! Huu ndo Ukweli Daima.
 
Kwa kifupi akuna Nchi yeyote Ya Kiarabu! Atakaeshinda Vita juu ya Israel- Israel kwa kuwa wanajua wamezungukwa na maadui , Wamejiimarisha sana kiteknolojia VITA na Ujasusi na pia awachokozi Mtu, wao ukibeep ndo Wanakugawia Kifurushi kwa idadi.Houtus wa Yemen- wamepewa kimoja tu Chali[emoji1787][emoji1787].. Wapo Kimyaaa- Wangekuwa wanaumudu mziki wa Isarel wangeshajibu mashambulizi[emoji1787][emoji1787]Yemen anahitaji zaidi ya miaka 20 kurudisha bandali yake na oil depo , Ambayo Israel kwa masaa tu aliigeuza Majivu. Iran kama kweli ana ubavu angeshajibu mashambulizi kitambo tu[emoji1787] . Saudia anajielewa ndo maana umwoni akijitia kimbelembele- anajua mziki wa Mtoto wa Bi mkubwa Sara wa Ibrahim.
Joshua 23:1-16.....
9 Maana Bwana amefukuza mbele yenu mataifa walio hodari, kisha wenye nguvu, lakini kwenu ninyi hapana mtu aliyesimama mbele yenu hata leo.

10 Mtu mmoja miongoni mwenu atafukuza watu elfu; maana Bwana, Mungu wenu, ndiye anayewapigania, kama alivyowaambia...
Ata kama huamini Bibilia!! Huu ndo Ukweli Daima.
Huyo ni mmarekani sio muisraeli, na ndio anaye wapa kibuli kawapa tons 50,000 za mabomu kuanzia October mwaka jana, pia mzigo wa ela billions of dollars, hata haouth akipata nusu tu ya huo mzigo wallah middle East yote hapakaliki
 
Hoja nzuri, lakini Mimi naona (mtazamo wangu) haya makundi ndio yamezigawa nchi zao, mfano Houthi ni jeshi ndani ya Nchi ya Yemeni lakini Nchi yenyewe Ina jeshi lake, Hizbollah vivyo hivyo. Zile nchi Korofi ndiko vikundi hivi vilizuka? Huu sio mpango wao kweli?
HAPANA houthi ya Yemeni ndio inatawala Yemeni lakini hezbulaah ndio kikundi cha jeshi Ndani ya nchi
 
Kwa kifupi akuna Nchi yeyote Ya Kiarabu! Atakaeshinda Vita juu ya Israel- Israel kwa kuwa wanajua wamezungukwa na maadui , Wamejiimarisha sana kiteknolojia VITA na Ujasusi na pia awachokozi Mtu, wao ukibeep ndo Wanakugawia Kifurushi kwa idadi.Houtus wa Yemen- wamepewa kimoja tu Chali🤣🤣.. Wapo Kimyaaa- Wangekuwa wanaumudu mziki wa Isarel wangeshajibu mashambulizi🤣🤣Yemen anahitaji zaidi ya miaka 20 kurudisha bandali yake na oil depo , Ambayo Israel kwa masaa tu aliigeuza Majivu. Iran kama kweli ana ubavu angeshajibu mashambulizi kitambo tu🤣 . Saudia anajielewa ndo maana umwoni akijitia kimbelembele- anajua mziki wa Mtoto wa Bi mkubwa Sara wa Ibrahim.
Joshua 23:1-16.....
9 Maana Bwana amefukuza mbele yenu mataifa walio hodari, kisha wenye nguvu, lakini kwenu ninyi hapana mtu aliyesimama mbele yenu hata leo.

10 Mtu mmoja miongoni mwenu atafukuza watu elfu; maana Bwana, Mungu wenu, ndiye anayewapigania, kama alivyowaambia...
Ata kama huamini Bibilia!! Huu ndo Ukweli Daima.
Wakubwa wa majasusi wameshaliwa vichwa ndani ya Gaza.Sijui una kipi cha kutuambia kuhusu Mossad kushindwa kuwapata mateka wa Israel ambao wako chini ya miguu yao.
 
Wewe unaamini sana hao Mossad ,Shinbet na CIA,
Haya twambie basi walikuwa wapi Taliban walipochukua nchi yote kwa siku chache tu mpaka na silaha zao wakazihodhi.
Kwa nn vitu vidogo hivi vinakusumbua? Baada ya Karzai kuzengua, US ilianza kufanya mazungumzo na Taleban karibia zaidi ya mwaka mmoja. Mazungumzo haya yalikuwa yanafanyika Qatar kama sijakosea, Karzai ilifikia hatua akawawakia US kwani walikua wanafanya makubaliano ili Taleban wachukue nchi.
 
Ijumaa iliyopita Marekani ilikuwa inaadhimisha kujiondoa rasmi nchini Afghanistan baada ya vita dhidi ya ulichokiita ugaidi vilivyochukua miaka 20.

Kuangukia mikononi mwa Taliban kwa mji wa Kabul kulitanguliwa na kuuliwa kwa askari 13 wa Marekani pamoja na 170 wa jeshi la Afghanistan mnamo Agosti 26.

Baada ya hapo kilichotokea kiliishangaza Marekani juu ya mafanikio ya vita dhidi ya ugaidi.

Baada ya tukio hilo la kushtusha raisi Biden alitoa tangazo la kujifariji kwamba walikuwa wametoa hukumu kwa Osama bin Laden na kwamba Alqaeda walikuwa wameshindwa.

Kwa hivyo ilikuwa ni wakati sahihi wa kumaliza vita hivyo.Lengo la kuifuta Alqaeda lilitakiwa liende sambamba na kusimamisha serikali ya kidemokrasia nchini Afghanistan kuchukua nafasi ya Taliban.

Jinsi vita hivyo vilivyoishia kulizusha mjadala iwapo vita dhidi ya ugaidi vinaweza kufanikiwa kweli kwa njia ya vita.

Kwa upande wa Israel tangu kuundwa kwake hapo mwaka 1948 ilianza na kupambana na makundi ya kutoka nchi za kiarabu yaliyojulikana kama Fedayeen.

Baadae ikafuatiwa na chama cha ukombozi cha Palestina cha PLO.

Pamoja na nguvu kubwa ambayo Israel imekuwa ikitumia lakini badala ya kuyamaliza makundi yanayopinga nayo kwa sasa ndio yameongezeka sana na kufikia karibu dazeni mbili yakitokea Gaza, Lebanon, Syria, Iraq, Yemen pamoja na ukingo wa magharibi.

3 years after US withdrawal from Afghanistan, Israel looks to lessons learned from War on Terror

Uzi huu ni wa kuomba msamaha Israeli wasiendeleze kipigo Palestina.
SWALI:Kwa nini Hamas waliwachokoza vichaa?Walitarajia kingetokea kitu gani?Malengo yao yanatimia kwa asilimia ngapi hadi sasa?Watarajie nini zaidi?
 
Kwa nn vitu vidogo hivi vinakusumbua? Baada ya Karzai kuzengua, US ilianza kufanya mazungumzo na Taleban karibia zaidi ya mwaka mmoja. Mazungumzo haya yalikuwa yanafanyika Qatar kama sijakosea, Karzai ilifikia hatua akawawakia US kwani walikua wanafanya makubaliano ili Taleban wachukue nchi.
Ilikuwa ni kuchanganyikiwa kwa Marekani.Karzai naye alianza kuwageuka.Si utaona hapo kuwa hivyo vita vilikuwa vimewashinda.Taliban wapo njiani wanakuja na watawala wa Afghanistan wamekata mahusiano mazuri na Marekani.
Hayo ni matokeo ya kupigana vita visivyo sahihi kwa jina lolote lile ambayo hata baada miaka 10 yataikuta Israel na kuidhuru tena Marekani.
Akili ndogo tu iliyo timamu inaliona hilo kwa uwazi.
 
Kwa kifupi akuna Nchi yeyote Ya Kiarabu! Atakaeshinda Vita juu ya Israel- Israel kwa kuwa wanajua wamezungukwa na maadui , Wamejiimarisha sana kiteknolojia VITA na Ujasusi na pia awachokozi Mtu, wao ukibeep ndo Wanakugawia Kifurushi kwa idadi.Houtus wa Yemen- wamepewa kimoja tu Chali🤣🤣.. Wapo Kimyaaa- Wangekuwa wanaumudu mziki wa Isarel wangeshajibu mashambulizi🤣🤣Yemen anahitaji zaidi ya miaka 20 kurudisha bandali yake na oil depo , Ambayo Israel kwa masaa tu aliigeuza Majivu. Iran kama kweli ana ubavu angeshajibu mashambulizi kitambo tu🤣 . Saudia anajielewa ndo maana umwoni akijitia kimbelembele- anajua mziki wa Mtoto wa Bi mkubwa Sara wa Ibrahim.
Joshua 23:1-16.....
9 Maana Bwana amefukuza mbele yenu mataifa walio hodari, kisha wenye nguvu, lakini kwenu ninyi hapana mtu aliyesimama mbele yenu hata leo.

10 Mtu mmoja miongoni mwenu atafukuza watu elfu; maana Bwana, Mungu wenu, ndiye anayewapigania, kama alivyowaambia...
Ata kama huamini Bibilia!! Huu ndo Ukweli Daima.
Kuhusu Houth inaonekana kama hufuatilii matukio kisawasawa.Wiki iliyopita wameiunguza meli ya Ugiriki na jan Ijumaa wameikosa kosa meli nyengine tena katikati ya meli kadhaa za kivita za Marekani zilizowasili eneo hilo hivi karibuni.
Makamanda kadhaa wa Marekani wameshasema Houth nao kama Hamas hawatashindikana kwa njia za vita.
 
Kuhusu Houth inaonekana kama hufuatilii matukio kisawasawa.Wiki iliyopita wameiunguza meli ya Ugiriki na jan Ijumaa wameikosa kosa meli nyengine tena katikati ya meli kadhaa za kivita za Marekani zilizowasili eneo hilo hivi karibuni.
Makamanda kadhaa wa Marekani wameshasema Houth nao kama Hamas hawatashindikana kwa njia za vita.
Houth wanatumia silaha zilizotengenezwa na nani??Vifaa vya Mawasiliano wanavyotumia vimezalishwa na nani?! Ni swala la muda tu
 
Back
Top Bottom