Israel yatakiwa kujihadhari na kilichoipata Marekani nchini Afghanistan

Huyo ni mmarekani sio muisraeli, na ndio anaye wapa kibuli kawapa tons 50,000 za mabomu kuanzia October mwaka jana, pia mzigo wa ela billions of dollars, hata haouth akipata nusu tu ya huo mzigo wallah middle East yote hapakaliki
Ndo maana panakalika! 😁
 
Wewe ambaye hata milo mitatu shida kwa siku na elimu yenyewe ya madrasa uliyonayo unajifanya unajua kuliko israel yenyewe
 
Yaani Israel washindwe na magaidi wa kiislam πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜› labda Israel ya Mkuranga kwa Asumani Kisukari.
 
Wewe unaamini sana hao Mossad ,Shinbet na CIA,
Haya twambie basi walikuwa wapi Taliban walipochukua nchi yote kwa siku chache tu mpaka na silaha zao wakazihodhi.
Jaribu kusoma vizur punguza mihemko USA alimua kuandoka Afghanistan baada ya rais wa America kutoa amri ya kuondoa jeshi hakuna sehemu USA kaondoa jeshi baada ya kupigwa na Taliban
 
Wewe ndiye unaishauri Israel based on the hicho ki-article cha kuokoteza?

Ha ha ha! Wamatumbi mna tatizo kweli kweli; kwamba Mossad, Shinbet, et. al. hawajui yote hayo! Kupata vichekesho hivi bofya *199# free of charge!
Hivyo vikundi vyote ni mali ya Iran( Jamhuri ya Kiislamu). Vyote ni vikundi vya kigaidi vyenye mlengo wa kidini. Huwezi kukuta vikundi vya kipuuzi kama hivi Saudia, Jordan, Misri au Kuwait au Bahrain etc.Na vyote vikiwa vikiwa vinatekeleza harakati zao za kigaidi wimbo wao mkuu ni "Allahu akbar"
 
"WHERE IS ALLAH ?"
 
Houth wanatumia silaha zilizotengenezwa na nani??Vifaa vya Mawasiliano wanavyotumia vimezalishwa na nani?! Ni swala la muda tu
Kwa akili yako unafikiria hivyo vifaa ni vya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…