Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilitangaza katika taarifa kwamba Kapteni Eitan Yitzhak Oster, 22, aliuawa ndani ya Lebanon siku ya Jumatano.
Kijana huyo mwenye umri wa miaka 22 alikuwa katika kitengo cha Egoz, cha makomandoo maalumu wa vita vya ardhini, IDF inasema.
Chanzo: BBC
Soma:
==> Makomando wa Israel huwa ndani ya Lebanon, tena ndani haswa
==> Jeshi la israel kuiavamia Lebanon
==> Israel imefanya mashambulizi kadhaa ya anga kusini mwa Lebanon na kumuua kamanda wa kikosi maalum cha Hezbollah