DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Wewe ni mwarabu wa Bukoba?
Wewe endelea na chuki zako tu, end of the day utakuja kuujua ukweli and too late
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mwarabu wa Bukoba?
Na ndio nimekuja kuielewa vizuri kipindi hiki kumbe kitabu chetu hakidanganyi alhamdulillah nimethibitisha hiloTafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. AYA HII HATA HUYO PAPA HAJAJULIKANA KAMA ATAZALIWA
Nakupa pole rasmiBado Yahaya Sinwar Hassan Nasrala na Ayatolah ili kundi la Hamas na Hezbollah wasambaratike.
WaIran wengi hawataki Islamic Republic wanataka Secular Republic Walebanon wengi hawaitaki Hezbola Wayemeni wengi sana hawataki Mahouthi yaendelee kuwatawala.Hata hao wakifa..wameacha mikakati yao tayari...
Tangu nione ile video ya vijana wetu wakiuwawa kikatili kama vibaka sina sympathy na magaidi kabisaNa wengine wanafurahia zaidi kwakua kuna watanzania wawili waliuawa hapo nyuma, basi lawama na chuki zote kwa Hamas na kwa waislamu wote. Kama wao wanaumia kwa kupotelewa na wawili, je! Sisi tunaopotelewa kwa maelfu ya ndugu zetu waislamu huko palestina, yemen, iraq, libya, mali, sudan, Afghanistan dhidi makafiri, je! Haituumi!
Allah awaghufurie na awaingize katika jannah
Uongo hamas hajathibitisha wala hezbo awajasema kitu na wao huwa hawadanyiJeshi la Israel leo limethibisha kuuawa kwa mkuu wa jeshi la Hamas bwana Mohammed Deif kilichotokea 13 July 2024. Hamas wamekaa kimya kuhusu kifo cha huyu kamanda wao Mkuu.
Sie wakuvaa ngozi za mbuzi tukisikia upande wowote wa hizo dini za majahazi kimenuka sie kwetu furaha tu,,,apigwe mwarabu apigwe mzayuni kwetu sherehe tu.......tunasema malipo ni hapahapa duniani........mmoja anatuzingua na ugaidi mmoja analazimisha mambo ya upinde..........MIDdLeEAST BOMAYEEEwakiristo naona mkisikia kama hivi Roho nyeupe kwenu
Kumbe una ndugu Palestine, Yemen,Iraq,Libya,Mali,Sudan na Afghanistan huku wewe ukiwa Kitunda Mwanagati mbona huendi kuwasaidia?Na wengine wanafurahia zaidi kwakua kuna watanzania wawili waliuawa hapo nyuma, basi lawama na chuki zote kwa Hamas na kwa waislamu wote. Kama wao wanaumia kwa kupotelewa na wawili, je! Sisi tunaopotelewa kwa maelfu ya ndugu zetu waislamu huko palestina, yemen, iraq, libya, mali, sudan, Afghanistan dhidi makafiri, je! Haituumi!
Allah awaghufurie na awaingize katika jannah
Kaka hii ni Aya ya ngapi na surat ganiITAKUWA MKIRISTO. UKISOMA AYA HII HUTOSHANGAA
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
Huyu yahaya Sinwar mbona wanamchelewesha kumpeleka kwa AllahJeshi la Israel leo limethibisha kuuawa kwa mkuu wa jeshi la Hamas bwana Mohammed Deif kilichotokea 13 July 2024. Hamas wamekaa kimya kuhusu kifo cha huyu kamanda wao Mkuu.
---
Israel's military says it has confirmed that Hamas's military chief Mohammed Deif was killed in an Israeli air strike in the Gaza Strip last month.
Deif was targeted in the strike on a compound in the Khan Younis area on 13 July. Hamas is yet to confirm his death.
Israel says Deif was one of the figures responsible for planning the 7 October attacks in southern Israel in which 1,200 people were killed and 251 taken hostage.
On Wednesday, Hamas political leader Ismael Haniyeh was killed during a visit to Iran. Israel has not commented on his death directly.
In a statement on Thursday, the Israeli military said that "following an intelligence assessment, it can be confirmed that Mohammed Deif was eliminated" in the 13 July strike.
Gaza’s Hamas-run health authorities said at the time that the air strike had killed more than 90 people, but denied that Deif was among the dead.
Deif was widely seen as the second-ranking Hamas official in Gaza, behind Yahya Sinwar, the group's leader in the territory.
Israel’s Defence Minister, Yoav Gallant, said the death of Deif is “a significant milestone” in the dismantling of Hamas.
"This operation reflects the fact that Hamas is disintegrating, and that Hamas terrorists may either surrender or they will be eliminated," he added.
What do we know about Mohammed Deif?
Mohammed Deif was appointed head of the Izzedine al-Qassam Brigades, the military arm of the Hamas movement, in 2002.
For decades he's been seen as one of Israel's most wanted men - and survived a reported seven assassination attempts.
Reports in Israeli and Palestinian media say that Deif was born in Gaza's Khan Yunis refugee camp in 1965, when the territory was occupied by Egypt.
As a young man in the 1980s, he joined Hamas and quickly rose to prominence.
Israel accused him of planning and supervising bus bombings which killed tens of Israelis in 1996, and of involvement in the capture and killing of three Israeli soldiers in the mid-1990s.
Deif is also known to have helped engineer the construction of tunnels that have allowed Hamas fighters to enter Israel from Gaza.
In 2014, Israel attempted to kill Deif with an air strike on a house in the Sheikh Radwan neighbourhood of Gaza, which killed Deif's wife, Widad, and their infant son, Ali. Israel thought it had killed Deif, too, but he was not in the building at the time.
During the current conflict, Deif is believed to have directed Hamas' military operations from within underground tunnels inside Gaza.
Israel's confirmation of Deif's death comes at the end of a turbulent week in the Israel-Gaza conflict, which has stoked fears of a broader regional war.
On Saturday, 12 Israeli children and young people were killed after a rocket fell on a football field in the Israeli-occupied Golan Heights. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu blamed Lebanon-based Hezbollah, saying they would pay "a heavy price".
On Tuesday, Israel retorted with air strike on Beirut which killed senior Hezbollah commander Fuad Shukr, as well as four others, including two children.
Hours later, Hamas’s political leader Ismael Haniyeh was killed in a strike on a building he was staying in during a visit to Iran’s capital, Tehran.
Source: BBC
Hamas wamepata mapigo mazito mno, wamedhoofishwa tu ila kupotezwa kabisa sio rahisi.Jeshi la Israel leo limethibisha kuuawa kwa mkuu wa jeshi la Hamas bwana Mohammed Deif kilichotokea 13 July 2024. Hamas wamekaa kimya kuhusu kifo cha huyu kamanda wao Mkuu.
---
Israel's military says it has confirmed that Hamas's military chief Mohammed Deif was killed in an Israeli air strike in the Gaza Strip last month.
Deif was targeted in the strike on a compound in the Khan Younis area on 13 July. Hamas is yet to confirm his death.
Israel says Deif was one of the figures responsible for planning the 7 October attacks in southern Israel in which 1,200 people were killed and 251 taken hostage.
On Wednesday, Hamas political leader Ismael Haniyeh was killed during a visit to Iran. Israel has not commented on his death directly.
In a statement on Thursday, the Israeli military said that "following an intelligence assessment, it can be confirmed that Mohammed Deif was eliminated" in the 13 July strike.
Gaza’s Hamas-run health authorities said at the time that the air strike had killed more than 90 people, but denied that Deif was among the dead.
Deif was widely seen as the second-ranking Hamas official in Gaza, behind Yahya Sinwar, the group's leader in the territory.
Israel’s Defence Minister, Yoav Gallant, said the death of Deif is “a significant milestone” in the dismantling of Hamas.
"This operation reflects the fact that Hamas is disintegrating, and that Hamas terrorists may either surrender or they will be eliminated," he added.
What do we know about Mohammed Deif?
Mohammed Deif was appointed head of the Izzedine al-Qassam Brigades, the military arm of the Hamas movement, in 2002.
For decades he's been seen as one of Israel's most wanted men - and survived a reported seven assassination attempts.
Reports in Israeli and Palestinian media say that Deif was born in Gaza's Khan Yunis refugee camp in 1965, when the territory was occupied by Egypt.
As a young man in the 1980s, he joined Hamas and quickly rose to prominence.
Israel accused him of planning and supervising bus bombings which killed tens of Israelis in 1996, and of involvement in the capture and killing of three Israeli soldiers in the mid-1990s.
Deif is also known to have helped engineer the construction of tunnels that have allowed Hamas fighters to enter Israel from Gaza.
In 2014, Israel attempted to kill Deif with an air strike on a house in the Sheikh Radwan neighbourhood of Gaza, which killed Deif's wife, Widad, and their infant son, Ali. Israel thought it had killed Deif, too, but he was not in the building at the time.
During the current conflict, Deif is believed to have directed Hamas' military operations from within underground tunnels inside Gaza.
Israel's confirmation of Deif's death comes at the end of a turbulent week in the Israel-Gaza conflict, which has stoked fears of a broader regional war.
On Saturday, 12 Israeli children and young people were killed after a rocket fell on a football field in the Israeli-occupied Golan Heights. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu blamed Lebanon-based Hezbollah, saying they would pay "a heavy price".
On Tuesday, Israel retorted with air strike on Beirut which killed senior Hezbollah commander Fuad Shukr, as well as four others, including two children.
Hours later, Hamas’s political leader Ismael Haniyeh was killed in a strike on a building he was staying in during a visit to Iran’s capital, Tehran.
Source: BBC
Na sie tunaumia kwa kupotelewa na ndugu zetu wa Afrika huko Kenya ,Nigeria na Msumbiji hao akina boko haram sijui al shabab wakifanyaga yao mbona mnakenua tuNa wengine wanafurahia zaidi kwakua kuna watanzania wawili waliuawa hapo nyuma, basi lawama na chuki zote kwa Hamas na kwa waislamu wote. Kama wao wanaumia kwa kupotelewa na wawili, je! Sisi tunaopotelewa kwa maelfu ya ndugu zetu waislamu huko palestina, yemen, iraq, libya, mali, sudan, Afghanistan dhidi makafiri, je! Haituumi!
Allah awaghufurie na awaingize katika jannah
Basi wewe endelea kuumia na kusapoti kwa wanaouana kwa ujahili, sisi tunaendelea kusimama na freedom fightersNa sie tunaumia kwa kupotelewa na ndugu zetu wa Afrika huko Kenya ,Nigeria na Msumbiji hao akina boko haram sijui al shabab wakifanyaga yao mbona mnakenua tu
Ndioo, kwani ulikua hujui kama ni ndugu zetu hao!Kumbe una ndugu Palestine, Yemen,Iraq,Libya,Mali,Sudan na Afghanistan huku wewe ukiwa Kitunda Mwanagati mbona huendi kuwasaidia?
Si nyie mnadai Israel vita ameshindwawakiristo naona mkisikia kama hivi Roho nyeupe kwenu