Israel yathibitisha kumuua Mkuu wa Kijeshi wa Hamas mwezi Julai

Israel yathibitisha kumuua Mkuu wa Kijeshi wa Hamas mwezi Julai

Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. AYA HII HATA HUYO PAPA HAJAJULIKANA KAMA ATAZALIWA
Na ndio nimekuja kuielewa vizuri kipindi hiki kumbe kitabu chetu hakidanganyi alhamdulillah nimethibitisha hilo
 
Na wengine wanafurahia zaidi kwakua kuna watanzania wawili waliuawa hapo nyuma, basi lawama na chuki zote kwa Hamas na kwa waislamu wote. Kama wao wanaumia kwa kupotelewa na wawili, je! Sisi tunaopotelewa kwa maelfu ya ndugu zetu waislamu huko palestina, yemen, iraq, libya, mali, sudan, Afghanistan dhidi makafiri, je! Haituumi!

Allah awaghufurie na awaingize katika jannah
Tangu nione ile video ya vijana wetu wakiuwawa kikatili kama vibaka sina sympathy na magaidi kabisa
 
Jeshi la Israel leo limethibisha kuuawa kwa mkuu wa jeshi la Hamas bwana Mohammed Deif kilichotokea 13 July 2024. Hamas wamekaa kimya kuhusu kifo cha huyu kamanda wao Mkuu.
Uongo hamas hajathibitisha wala hezbo awajasema kitu na wao huwa hawadanyi
 
wakiristo naona mkisikia kama hivi Roho nyeupe kwenu
Sie wakuvaa ngozi za mbuzi tukisikia upande wowote wa hizo dini za majahazi kimenuka sie kwetu furaha tu,,,apigwe mwarabu apigwe mzayuni kwetu sherehe tu.......tunasema malipo ni hapahapa duniani........mmoja anatuzingua na ugaidi mmoja analazimisha mambo ya upinde..........MIDdLeEAST BOMAYEEE
 
Muajemi kasrma haliwezi kupita hivi hivi.
Ngoja tuone
 
Na wengine wanafurahia zaidi kwakua kuna watanzania wawili waliuawa hapo nyuma, basi lawama na chuki zote kwa Hamas na kwa waislamu wote. Kama wao wanaumia kwa kupotelewa na wawili, je! Sisi tunaopotelewa kwa maelfu ya ndugu zetu waislamu huko palestina, yemen, iraq, libya, mali, sudan, Afghanistan dhidi makafiri, je! Haituumi!

Allah awaghufurie na awaingize katika jannah
Kumbe una ndugu Palestine, Yemen,Iraq,Libya,Mali,Sudan na Afghanistan huku wewe ukiwa Kitunda Mwanagati mbona huendi kuwasaidia?
 
ITAKUWA MKIRISTO. UKISOMA AYA HII HUTOSHANGAA

Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
Kaka hii ni Aya ya ngapi na surat gani
 
Jeshi la Israel leo limethibisha kuuawa kwa mkuu wa jeshi la Hamas bwana Mohammed Deif kilichotokea 13 July 2024. Hamas wamekaa kimya kuhusu kifo cha huyu kamanda wao Mkuu.

---
Israel's military says it has confirmed that Hamas's military chief Mohammed Deif was killed in an Israeli air strike in the Gaza Strip last month.

Deif was targeted in the strike on a compound in the Khan Younis area on 13 July. Hamas is yet to confirm his death.

Israel says Deif was one of the figures responsible for planning the 7 October attacks in southern Israel in which 1,200 people were killed and 251 taken hostage.

On Wednesday, Hamas political leader Ismael Haniyeh was killed during a visit to Iran. Israel has not commented on his death directly.

In a statement on Thursday, the Israeli military said that "following an intelligence assessment, it can be confirmed that Mohammed Deif was eliminated" in the 13 July strike.

Gaza’s Hamas-run health authorities said at the time that the air strike had killed more than 90 people, but denied that Deif was among the dead.

Deif was widely seen as the second-ranking Hamas official in Gaza, behind Yahya Sinwar, the group's leader in the territory.

Israel’s Defence Minister, Yoav Gallant, said the death of Deif is “a significant milestone” in the dismantling of Hamas.

"This operation reflects the fact that Hamas is disintegrating, and that Hamas terrorists may either surrender or they will be eliminated," he added.
What do we know about Mohammed Deif?

Mohammed Deif was appointed head of the Izzedine al-Qassam Brigades, the military arm of the Hamas movement, in 2002.

For decades he's been seen as one of Israel's most wanted men - and survived a reported seven assassination attempts.

Reports in Israeli and Palestinian media say that Deif was born in Gaza's Khan Yunis refugee camp in 1965, when the territory was occupied by Egypt.

As a young man in the 1980s, he joined Hamas and quickly rose to prominence.

Israel accused him of planning and supervising bus bombings which killed tens of Israelis in 1996, and of involvement in the capture and killing of three Israeli soldiers in the mid-1990s.

Deif is also known to have helped engineer the construction of tunnels that have allowed Hamas fighters to enter Israel from Gaza.

In 2014, Israel attempted to kill Deif with an air strike on a house in the Sheikh Radwan neighbourhood of Gaza, which killed Deif's wife, Widad, and their infant son, Ali. Israel thought it had killed Deif, too, but he was not in the building at the time.

During the current conflict, Deif is believed to have directed Hamas' military operations from within underground tunnels inside Gaza.

Israel's confirmation of Deif's death comes at the end of a turbulent week in the Israel-Gaza conflict, which has stoked fears of a broader regional war.

On Saturday, 12 Israeli children and young people were killed after a rocket fell on a football field in the Israeli-occupied Golan Heights. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu blamed Lebanon-based Hezbollah, saying they would pay "a heavy price".

On Tuesday, Israel retorted with air strike on Beirut which killed senior Hezbollah commander Fuad Shukr, as well as four others, including two children.

Hours later, Hamas’s political leader Ismael Haniyeh was killed in a strike on a building he was staying in during a visit to Iran’s capital, Tehran.

Source: BBC
Huyu yahaya Sinwar mbona wanamchelewesha kumpeleka kwa Allah
 
Jeshi la Israel leo limethibisha kuuawa kwa mkuu wa jeshi la Hamas bwana Mohammed Deif kilichotokea 13 July 2024. Hamas wamekaa kimya kuhusu kifo cha huyu kamanda wao Mkuu.

---
Israel's military says it has confirmed that Hamas's military chief Mohammed Deif was killed in an Israeli air strike in the Gaza Strip last month.

Deif was targeted in the strike on a compound in the Khan Younis area on 13 July. Hamas is yet to confirm his death.

Israel says Deif was one of the figures responsible for planning the 7 October attacks in southern Israel in which 1,200 people were killed and 251 taken hostage.

On Wednesday, Hamas political leader Ismael Haniyeh was killed during a visit to Iran. Israel has not commented on his death directly.

In a statement on Thursday, the Israeli military said that "following an intelligence assessment, it can be confirmed that Mohammed Deif was eliminated" in the 13 July strike.

Gaza’s Hamas-run health authorities said at the time that the air strike had killed more than 90 people, but denied that Deif was among the dead.

Deif was widely seen as the second-ranking Hamas official in Gaza, behind Yahya Sinwar, the group's leader in the territory.

Israel’s Defence Minister, Yoav Gallant, said the death of Deif is “a significant milestone” in the dismantling of Hamas.

"This operation reflects the fact that Hamas is disintegrating, and that Hamas terrorists may either surrender or they will be eliminated," he added.
What do we know about Mohammed Deif?

Mohammed Deif was appointed head of the Izzedine al-Qassam Brigades, the military arm of the Hamas movement, in 2002.

For decades he's been seen as one of Israel's most wanted men - and survived a reported seven assassination attempts.

Reports in Israeli and Palestinian media say that Deif was born in Gaza's Khan Yunis refugee camp in 1965, when the territory was occupied by Egypt.

As a young man in the 1980s, he joined Hamas and quickly rose to prominence.

Israel accused him of planning and supervising bus bombings which killed tens of Israelis in 1996, and of involvement in the capture and killing of three Israeli soldiers in the mid-1990s.

Deif is also known to have helped engineer the construction of tunnels that have allowed Hamas fighters to enter Israel from Gaza.

In 2014, Israel attempted to kill Deif with an air strike on a house in the Sheikh Radwan neighbourhood of Gaza, which killed Deif's wife, Widad, and their infant son, Ali. Israel thought it had killed Deif, too, but he was not in the building at the time.

During the current conflict, Deif is believed to have directed Hamas' military operations from within underground tunnels inside Gaza.

Israel's confirmation of Deif's death comes at the end of a turbulent week in the Israel-Gaza conflict, which has stoked fears of a broader regional war.

On Saturday, 12 Israeli children and young people were killed after a rocket fell on a football field in the Israeli-occupied Golan Heights. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu blamed Lebanon-based Hezbollah, saying they would pay "a heavy price".

On Tuesday, Israel retorted with air strike on Beirut which killed senior Hezbollah commander Fuad Shukr, as well as four others, including two children.

Hours later, Hamas’s political leader Ismael Haniyeh was killed in a strike on a building he was staying in during a visit to Iran’s capital, Tehran.

Source: BBC
Hamas wamepata mapigo mazito mno, wamedhoofishwa tu ila kupotezwa kabisa sio rahisi.
 
Na wengine wanafurahia zaidi kwakua kuna watanzania wawili waliuawa hapo nyuma, basi lawama na chuki zote kwa Hamas na kwa waislamu wote. Kama wao wanaumia kwa kupotelewa na wawili, je! Sisi tunaopotelewa kwa maelfu ya ndugu zetu waislamu huko palestina, yemen, iraq, libya, mali, sudan, Afghanistan dhidi makafiri, je! Haituumi!

Allah awaghufurie na awaingize katika jannah
Na sie tunaumia kwa kupotelewa na ndugu zetu wa Afrika huko Kenya ,Nigeria na Msumbiji hao akina boko haram sijui al shabab wakifanyaga yao mbona mnakenua tu
 
TH

Chanzo cha picha,AFP
Jeshi la Israel linasema lilimuua mkuu wa jeshi la Hamas Mohammed Deif katika shambulio la anga huko Gaza tarehe 13 Julai.
Deif alilengwa katika shambulio la Israeli kwenye boma katika eneo la Khan Younis.
Jeshi la Israel wakati huo lilisema kuwa kamanda mwingine wa Hamas, Rafa'a Salemeh, aliuawa katika shambulio hilo , lakini lilisema halina uthibitisho wa mwisho juu ya hatima ya Deif.
Jeshi la Israel linasema kuwa limethibitisha kuwa mkuu wa jeshi la Hamas Mohammed Deif aliuawa katika shambulio la anga katika Ukanda wa Gaza mwezi uliopita.
Israel inasema Deif alikuwa mmoja wa watu waliohusika na kupanga mashambulizi ya Oktoba 7 kusini mwa Israel ambapo watu 1,200 waliuawa.
Tangazo la Israel linakuja siku moja baada ya kuuawa kwa kiongozi wa kisiasa wa Hamas Ismael Haniyeh, aliyeuawa mjini Tehran, na kamanda mkuu wa Hezbollah Fuad Shukr, ambaye aliuawa katika shambulio la anga la Israel katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut.
Taarifa kutoka kwa jeshi la Israel ilisema kuwa "kufuatia tathmini ya kijasusi, inaweza kuthibitishwa kuwa Mohammed Deif aliuawa" katika shambulio la Julai 13.
Mamlaka ya afya ya Gaza inayosimamiwa na Hamas ilisema wakati huo kwamba mashambulizi ya anga yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 90, lakini ikakana kuwa Deif alikuwa miongoni mwa waliofariki.
Mohammed Deif alikuwa mkuu wa Brigedi ya Izzedine al-Qassam, kitengo cha kijeshi cha kundi la Hamas.
Alifungwa gerezani na mamlaka za Israel mwaka 1989, ambapo baada ya hapo alianzisha Brigedi hiyo kwa lengo la kuwakamata wanajeshi wa Israel.
Israel ilimshutumu kwa kupanga na kusimamia mashambulizi ya mabasi yaliyoua makumi ya Waisraeli mwaka 1996, na kuhusika katika kuwakamata na kuwaua wanajeshi watatu wa Israel katikati ya miaka ya 1990.
Anajulikana pia kusaidia katika kufanikisha ujenzi wa mahandaki ambayo yamewaruhusu wapiganaji wa Hamas kuingia ndani ya Israeli kutoka Gaza.
Imetafsiriwa na Yusuf Jumah
BBC
 
Na sie tunaumia kwa kupotelewa na ndugu zetu wa Afrika huko Kenya ,Nigeria na Msumbiji hao akina boko haram sijui al shabab wakifanyaga yao mbona mnakenua tu
Basi wewe endelea kuumia na kusapoti kwa wanaouana kwa ujahili, sisi tunaendelea kusimama na freedom fighters
 
Unafa masihara na MUNGU wa israel

Kabla hamjaanza kushabikia vita someni biblia ayaaa
Si wenzenu tunawaombea tu Amani basi

Ila atakayeumia zaidi tunamjua
 
Back
Top Bottom