Israel yatoa vitisho kwa Marekani kama haitatumia kura yake ya veto kupinga azimio kwenye UNSC

Israel yatoa vitisho kwa Marekani kama haitatumia kura yake ya veto kupinga azimio kwenye UNSC

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Siku za Benjamin Netanyahu, mbabe wa Israel zinaelekea ukingoni kutokana na kushindwa kufikia malengo ya vita vya Gaza na kutaka kuikokota hata Marekani kwenye matakwa yake.

Azimio jipya linatarajiwa kupigiwa kura leo kwenye baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambapo baada ya marekebisho ya azimio la wiki iliyopitwa lililopingwa kwa veto na Urusi na China,leo inatarajiwa kila nchi kulipigia kura ya ndio azimio hilo la kusitishwa vita.

Benjamin Netanyahu ametishia kufuta ziara ya mawaziri wake kwenye White House ambao tayari wako Marekani kwa mwaliko wa raisi Biden.Mawaziri hao ni Ron Dermer naTzachi Hanegbi.

Aljazeera
 
Siku za Benjamin Netanyahu,mbabe wa Israel zinaelekea ukingoni kutokana na kushindwa kufikia malengo ya vita vya Gaza na kutaka kuikokota hata Marekani kwenye matakwa yake.
Azimio jipya linatarajiwa kupigiwa kura leo kwenye baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambapo baada ya marekebisho ya azimio la wiki iliyopitwa lililopingwa kwa veto na Urusi na China,leo inatarajiwa kila nchi kulipigia kura ya ndio azimio hilo la kusitishwa vita.
Benjamin Netanyahu ametishia kufuta ziara ya mawaziri wake kwenye White House ambao tayari wako Marekani kwa mwaliko wa raisi Biden.Mawaziri hao ni Ron Dermer naTzachi Hanegbi.
Aljazeera
Netanyau hacheki na kima ziara imefutwa
 
Jewry Ndio chanzo Cha Mataifa ya Ulaya kumshinda Hitler otherwise Leo London na Moscow ingekuwa majiji ya Ujerumani
 
Je Israel atasitisha kipigo? je Hamas wataachia mateka? tusubiri kuona
Watu wanaona mbali wewe unaona mbele ya pua yako. Silaha nyingi na support Israeli anapata kutoka marekani. Wewe unadhani Netanyahu akimnunia boss atapata wapi mshahara? Suala la mateka ni makubaliano ya pande zote mbili hamas na Israel.
 
Siku za Benjamin Netanyahu,mbabe wa Israel zinaelekea ukingoni kutokana na kushindwa kufikia malengo ya vita vya Gaza na kutaka kuikokota hata Marekani kwenye matakwa yake.
Azimio jipya linatarajiwa kupigiwa kura leo kwenye baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambapo baada ya marekebisho ya azimio la wiki iliyopitwa lililopingwa kwa veto na Urusi na China,leo inatarajiwa kila nchi kulipigia kura ya ndio azimio hilo la kusitishwa vita.
Benjamin Netanyahu ametishia kufuta ziara ya mawaziri wake kwenye White House ambao tayari wako Marekani kwa mwaliko wa raisi Biden.Mawaziri hao ni Ron Dermer naTzachi Hanegbi.
Aljazeera

Sasa hapa tena tunaanza kumtegemea Mmarekani? Hii vita si tulisema sisi Wapalestine ndo tutaimaliza? Tukawaita washirika kadhaa..... Daaa. Kweli Marekani ndo Taifa kubwa ingawa hatulipendi
 
Sasa hapa tena tunaanza kumtegemea Mmarekani? Hii vita si tulisema sisi Wapalestine ndo tutaimaliza? Tukawaita washirika kadhaa..... Daaa. Kweli Marekani ndo Taifa kubwa ingawa hatulipendi
wapalestina wa JF muda si mrefu tutaanza kulia humu jukwaani kwamba kwa nini Israel vita hasitishi? kwa nini hataki kutii sheria ya baraza la usalama la UN? kama namuona vile Netanyahu alivyochafukwa leo kwa US kuto kuvetou
 
Sasa hapa tena tunaanza kumtegemea Mmarekani? Hii vita si tulisema sisi Wapalestine ndo tutaimaliza? Tukawaita washirika kadhaa..... Daaa. Kweli Marekani ndo Taifa kubwa ingawa hatulipendi
Israel bila marekani ni mandonga tu
 
BiBi alishaliweka wazi hili kwamba " IDF will send ground troops in Rafah with/without Us support" sasa nn Cha ajabu hapo?
 
BiBi alishaliweka wazi hili kwamba " IDF will send ground troops in Rafah with/without Us support" sasa nn Cha ajabu hapo?
Gallant ashatoa msimamo
Defense Minister Yoav Gallant, who is currently visiting the United States for an official trip, says Israel has “no moral right to stop the war in Gaza until we return all the hostages to their homes.”

The remarks are released by his office ahead of Gallant’s meetings with US National Security Adviser Jake Sullivan and Secretary of State Anthony Blinken, and shortly after the UN Security Council passed a resolution demanding an immediate ceasefire between Israel and Hamas, after the US withheld its veto and abstained from the vote.

“In the first meeting, with National Security Advisor Jake Sullivan, I will make clear the importance of collapsing the Hamas regime and returning the hostages to their homes. We will act against Hamas everywhere, even in areas where we have not been yet. We will create an alternative to Hamas so that the IDF can complete its mission,” Gallant says.

“We have no moral right to stop the war in Gaza until we return all the hostages to their homes. If we don’t reach a clear and absolute victory in Gaza, it could bring a war in the north closer,” he adds.
 
Gallant ashatoa msimamo
Defense Minister Yoav Gallant, who is currently visiting the United States for an official trip, says Israel has “no moral right to stop the war in Gaza until we return all the hostages to their homes.”

The remarks are released by his office ahead of Gallant’s meetings with US National Security Adviser Jake Sullivan and Secretary of State Anthony Blinken, and shortly after the UN Security Council passed a resolution demanding an immediate ceasefire between Israel and Hamas, after the US withheld its veto and abstained from the vote.

“In the first meeting, with National Security Advisor Jake Sullivan, I will make clear the importance of collapsing the Hamas regime and returning the hostages to their homes. We will act against Hamas everywhere, even in areas where we have not been yet. We will create an alternative to Hamas so that the IDF can complete its mission,” Gallant says.

“We have no moral right to stop the war in Gaza until we return all the hostages to their homes. If we don’t reach a clear and absolute victory in Gaza, it could bring a war in the north closer,” he adds.
Sauti kutoka kiumeni.
 
Watu wanaona mbali wewe unaona mbele ya pua yako. Silaha nyingi na support Israeli anapata kutoka marekani. Wewe unadhani Netanyahu akimnunia boss atapata wapi mshahara? Suala la mateka ni makubaliano ya pande zote mbili hamas na Israel.
Tayari Israel imeshatoa kauli kuwa hatasitisha vita.
 
Azimio ambalo limeshindwa kumaliza vita vya Ukraine na Rusia, ndo lifanye kazi kwa Israel? Israel wakikataa kusitishwa vita nani atapeleka jeshi pale Gaza kuzuia Israel? Kesho asubuhi mtaniambia. Hilo azimio litafanya kazi tu iwapo mateka wataachiwa
 
Back
Top Bottom