kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Japo ni ngumu israel kusitisha Vita huko Gaza, lakini azimio lililoshindwa kumaliza vita ya Ukraine ni Kwa sababu ya tulufu ya urusi!Azimio ambalo limeshindwa kumaliza vita vya Ukraine na Rusia, ndo lifanye kazi kwa Israel? Israel wakikataa kusitishwa vita nani atapeleka jeshi pale Gaza kuzuia Israel? Kesho asubuhi mtaniambia. Hilo azimio litafanya kazi tu iwapo mateka wataachiwa
Inawezeoana kabisa Netanyahu asimalize mwaka huu akiwa Waziri Mkuu wa Israel.Siku za Benjamin Netanyahu, mbabe wa Israel zinaelekea ukingoni kutokana na kushindwa kufikia malengo ya vita vya Gaza na kutaka kuikokota hata Marekani kwenye matakwa yake.
Azimio jipya linatarajiwa kupigiwa kura leo kwenye baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambapo baada ya marekebisho ya azimio la wiki iliyopitwa lililopingwa kwa veto na Urusi na China,leo inatarajiwa kila nchi kulipigia kura ya ndio azimio hilo la kusitishwa vita.
Benjamin Netanyahu ametishia kufuta ziara ya mawaziri wake kwenye White House ambao tayari wako Marekani kwa mwaliko wa raisi Biden.Mawaziri hao ni Ron Dermer naTzachi Hanegbi.
Aljazeera
Akikosa slaa mambo yatakuwa magumu sana ..mpaka sasa uchumi umeshaapaeralize na alitumia silaha hovyo hivyo mwanzoniJapo ni ngumu israel kusitisha Vita huko Gaza, lakini azimio lililoshindwa kumaliza vita ya Ukraine ni Kwa sababu ya tulufu ya urusi!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kipigo dhidi ya magaidi kiko pale pale haijalishi hata mArekani akiigeuka IsraeliIsrael bila marekani ni mandonga tu
[emoji1787][emoji1787] Huna lolote mahaba yako tu kwa israeli yamezidi .yule mzee akiongea unamuona kabisa sauti ya mamlaka inatoka ndani kabisa mzee mtu mbadi sana
Kwani Hamas , Hezbollah na Houthi wanasemaje? [emoji1787]Tayari Israel imeshatoa kauli kuwa hatasitisha vita.
Anaionea tu kwasababi palestina haina jeshi na ndio imeona ni sehemu ya kuonyesha umwamba wake fekiKipigo dhidi ya magaidi kiko pale pale haijalishi hata mArekani akiigeuka Israeli
Usimfananishe mandonga na vitu vya ajabu. Yaani mandonga mtu kazi umfananishe na israel kweli taifa linalopambana na mgambo miezi 6Israel bila marekani ni mandonga tu
Haina jeshi?! Hamas walivyovamia na kuuwa raia zaidi ya 1400 walitumia nini?!Anaionea tu kwasababi palestina haina jeshi na ndio imeona ni sehemu ya kuonyesha umwamba wake feki
Hamas hawakuuwa hata mtu mmoja, wao walichokuwa wanafanya ni kukamta watu mateka ili waje kufanya deal la kubadilishana na wafungwa wa kipalestina. IDF walipopata habari kuwa wamevamiwa, waliliakti kibubusa kwa kuja na helikopta na kuanza kushuti watu ovyoovyoHaina jeshi?! Hamas walivyovamia na kuuwa raia zaidi ya 1400 walitumia nini?!
so Israel iliua raia wake zaidi ya 1400, wanajeshi zaidi ya 200 pamoja na kuteka, kubaka wanawake na watoto halafu ikajirushia makombora zaidi ya 5000 kutoka Gaza?!🤔Hamas hawakuuwa hata mtu mmoja, wao walichokuwa wanafanya ni kukamta watu mateka ili waje kufanya deal la kubadilishana na wafungwa wa kipalestina. IDF walipopata habari kuwa wamevamiwa, waliliakti kibubusa kwa kuja na helikopta na kuanza kushuti watu ovyoovyo
Inasemekana na ushaidi upo kuwa waanga wengi wa October 7 waliuliwa na jeahi la Israeli
Kama wameweza kuua na kurusha makombora zaidi ya 5000 kwa siku basi hilo ni jeshi kamili.Hawana zana za kazi.
Wangepata angalau HIMARS 2 basi Israel angekwishalala chali.
RPG pekee zemefanya kazi kama hiyo na kuvipeleka vita miezi 6
Mtu kaz hahahaaaaIsrael bila marekani ni mandonga tu