Israel yaua tena afisa usalama wa jeshi la kimapinduzi la Iran.

Israel yaua tena afisa usalama wa jeshi la kimapinduzi la Iran.

Marekani atachoka kumsaidia Israel ikifikia hivyo Isreal ataikimbia Mashariki ya kati atahamia kwao German
Kwanza naomba uelewe kwamba Israel waga haombi msaada wowote kutoka kwa nchi yoyote duniani na kama unapinga hilo basi tupe ushahidi wa lini aliomba msaada kwa taifa lolote.

Kinachosumbua watu dizaini yenu tofauti na udini ni kwamba hamfahamu DNA za mataifa kama Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Urusi nk na mpaka mje kufahamu inaonekana sio rahisi kwa sababu za misimamo ya kidini, tabia ya kupenda kukariri na pia kutokupenda kujisomea vitabu na kuelewa mambo.

Pia kama mtu ni msomaji mzuri wa biblia na anaisoma sio peke yake ila kwa kufanya rejea na vitabu vingine ndio ataweza kufahamu the linkage existing between the Jews vis a vis the people of European ancestry.
 
Sipati picha kama Tiss yetu ingekuwq inakumbana na challenges kama wanazopata mossad...No wonder best intelligence agencies ni zile zinazokumbana na challenge daily na kupambana nazo agency kama za pakistan huko, Afghanistan,Iraq,Iran,Israel,marekani etc. Sisi tumekaa tumerelax tu tunavizia posho za safar za viongozi tu🚮🚮🚮
 
Tulia hivyo hivyo magaidi yadhibitiwe

Zawadi yako hii magaidi yanadhibitiwa vizuriiii
Kwanza naomba uelewe kwamba Israel waga haombi msaada wowote kutoka kwa nchi yoyote duniani na kama unapinga hilo basi tupe ushahidi wa lini aliomba msaada kwa taifa lolote.

Kinachosumbua watu dizaini yenu tofauti na udini ni kwamba hamfahamu DNA za mataifa kama Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Urusi nk na mpaka mje kufahamu inaonekana sio rahisi kwa sababu za misimamo ya kidini, tabia ya kupenda kukariri na pia kutokupenda kujisomea vitabu na kuelewa mambo.

Pia kama mtu ni msomaji mzuri wa biblia na anaisoma sio peke yake ila kwa kufanya rejea na vitabu vingine ndio ataweza kufahamu the linkage existing between the Jews vis a vis the people of European ancestry.


 
Kwanza naomba uelewe kwamba Israel waga haombi msaada wowote kutoka kwa nchi yoyote duniani na kama unapinga hilo basi tupe ushahidi wa lini aliomba msaada kwa taifa lolote.

Kinachosumbua watu dizaini yenu tofauti na udini ni kwamba hamfahamu DNA za mataifa kama Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Urusi nk na mpaka mje kufahamu inaonekana sio rahisi kwa sababu za misimamo ya kidini, tabia ya kupenda kukariri na pia kutokupenda kujisomea vitabu na kuelewa

Pia kama mtu ni msomaji mzuri wa biblia na anaisoma sio peke yake ila kwa kufanya rejea na vitabu vingine ndio ataweza kufahamu the linkage existing between the Jews vis a vis the people of European ancestry.
Umendika porojo
 
Back
Top Bottom