Iran's supreme leader tacitly acknowledges that Tehran hit little in its attack on Israel
Iran’s supreme leader has dismissed any discussion of whether Tehran’s unprecedented drone-and-missile attack on Israel hit anything there.apnews.com
Nini hiki 🤣Iran's supreme leader tacitly acknowledges that Tehran hit little in its attack on Israel
Iran’s supreme leader has dismissed any discussion of whether Tehran’s unprecedented drone-and-missile attack on Israel hit anything there.apnews.com
Kwanza naomba uelewe kwamba Israel waga haombi msaada wowote kutoka kwa nchi yoyote duniani na kama unapinga hilo basi tupe ushahidi wa lini aliomba msaada kwa taifa lolote.Marekani atachoka kumsaidia Israel ikifikia hivyo Isreal ataikimbia Mashariki ya kati atahamia kwao German
Soma tu kama huelewi tafuta msaada wa mkalimani.Nini hiki 🤣
Nimesoma ila naona hakuna uhusiano wowote na shambulio lolote lilifanyika katika ardhi ya Iran.Soma tu kama huelewi tafuta msaada wa mkalimani.
Tulia hivyo hivyo magaidi yadhibitiwe
.Hahaha wao wanasema yalifika Israel, wakati yale maputo yalilipuka angani yote.
Tulia hivyo hivyo magaidi yadhibitiwe
Kwanza naomba uelewe kwamba Israel waga haombi msaada wowote kutoka kwa nchi yoyote duniani na kama unapinga hilo basi tupe ushahidi wa lini aliomba msaada kwa taifa lolote.
Kinachosumbua watu dizaini yenu tofauti na udini ni kwamba hamfahamu DNA za mataifa kama Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Urusi nk na mpaka mje kufahamu inaonekana sio rahisi kwa sababu za misimamo ya kidini, tabia ya kupenda kukariri na pia kutokupenda kujisomea vitabu na kuelewa mambo.
Pia kama mtu ni msomaji mzuri wa biblia na anaisoma sio peke yake ila kwa kufanya rejea na vitabu vingine ndio ataweza kufahamu the linkage existing between the Jews vis a vis the people of European ancestry.
Unaona sasa, ndio maana nasema tafuta mkalimani akutafsirie.Nimesoma ila naona hakuna uhusiano wowote na shambulio lolote lilifanyika katika ardhi ya Iran.
Umendika porojoKwanza naomba uelewe kwamba Israel waga haombi msaada wowote kutoka kwa nchi yoyote duniani na kama unapinga hilo basi tupe ushahidi wa lini aliomba msaada kwa taifa lolote.
Kinachosumbua watu dizaini yenu tofauti na udini ni kwamba hamfahamu DNA za mataifa kama Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Urusi nk na mpaka mje kufahamu inaonekana sio rahisi kwa sababu za misimamo ya kidini, tabia ya kupenda kukariri na pia kutokupenda kujisomea vitabu na kuelewa
Pia kama mtu ni msomaji mzuri wa biblia na anaisoma sio peke yake ila kwa kufanya rejea na vitabu vingine ndio ataweza kufahamu the linkage existing between the Jews vis a vis the people of European ancestry.
Sasa kama wewe mwandishi kuitafsiri umeshindwa mkalimani atakuelewa kweli.Unaona sasa, ndio maana nasema tafuta mkalimani akutafsirie.
Wewe hujui kitu.Umendika porojo