Israel yavuna ilichopanda, Raia wote watakiwa kusafisha mahandaki ili wakimbilie humo na Mawaziri wapewa simu za satelite

Israel yavuna ilichopanda, Raia wote watakiwa kusafisha mahandaki ili wakimbilie humo na Mawaziri wapewa simu za satelite

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo.

Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni miongoni mwa shabaha zitakazopigwa vita vikianza.

Kwa lolote litakalotokea hatua hizo ni kusema Israel imekubali kuwa hali na kwao sasa si shwari tena na hiyo ni machumo ya kile walichokipanda kwa muda mrefu.

Hali hiyo haijawahi kufikiriwa kutokea kwenye taifa linalotajwa kuwa na teknolojia kubwa ya ulinzi na ambalo linalindwa na mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani.
 
ISRAEL HANA CHA KUPOTEZA ILA MSIJE KULIALIA HUMU TENA.

HITLER ALIUA WAISRAELI MILIONI 6 ILA BADO WAPO KILA KONA DUNIANI. AYATOLLAH HUU NDIO MWISHO WA UDIKTETA WAKE! 60% YA WAIRANI WANAOMBA HII VITA ITOKEE ILI WAPATE UHURU WAO.
Iran unaenda kufuatwa,


Muisrael anamsubiria alianzishe ili yeye amalize mchezo
 
Kwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo.
Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni miongoni mwa shabaha zitakazopigwa vita vikianza.

Kwa lolote litakalotokea hatua hizo ni kusema Israel imekubali kuwa hali na kwao sasa si shwari tena na hiyo ni machumo ya kile walichokipanda kwa muda mrefu.
Hali hiyo haijawahi kufikiriwa kutokea kwenye taifa linalotajwa kuwa na teknolojia kubwa ya ulinzi na ambalo linalindwa na mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani.
Tatizo tunaandika na kupokea kishabiki mno..
Sasa kitakachotokea njoo tena hapa na huu ujumbe wako.😁😁😁📌
 
ISRAEL HANA CHA KUPOTEZA ILA MSIJE KULIALIA HUMU TENA.

HITLER ALIUA WAISRAELI MILIONI 6 ILA BADO WAPO KILA KONA DUNIANI. AYATOLLAH HUU NDIO MWISHO WA UDIKTETA WAKE! 60% YA WAIRANI WANAOMBA HII VITA ITOKEE ILI WAPATE UHURU WAO.
Kumbuka mjini Tel Aviv watu wanafunga barabara kuelekea Ikulu wakimpinga Netanyahu.
Hicho unachotarajia kitokee Iran kinaweza kutokea Israel na ikawa ndio mwisho wa uhai wa taifa hilo.
Fikiria watu ambao wamezoea kufanya ushoga wao bila kikwazo sasa wanalazimika kujificha kwenye mahandaki na huku makundi kadhaa jirani yanatafuta fursa wawashambulia hata kwa kurusha mawe.
 
Tatizo tunaandika na kupokea kishabiki mno..
Sasa kitakachotokea njoo tena hapa na huu ujumbe wako.😁😁😁📌
Tatizo nyinyi wenye chuki na waislamu na wapenzi wa mayahudi mnajiamini sana na kudharau sana watu walioumizwa na Israel.Mnaamini kwa wingi wa silaha alizonazo Israel na Marekani ndio watu wote watakubali kuwa chini yao.
Hali ikibadilika hata wewe usije ukajifanya kipofu na kukimbia.
 
Muda si mrefu tutaanza kusikia mara USA yuko vitani ndo maana Iran amepigwa, mara Israel ni wepesi kama karatasi bila UK, mara Saud Arabia na Misri wamesaidia Israel.
 
Kwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo.

Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni miongoni mwa shabaha zitakazopigwa vita vikianza.

Kwa lolote litakalotokea hatua hizo ni kusema Israel imekubali kuwa hali na kwao sasa si shwari tena na hiyo ni machumo ya kile walichokipanda kwa muda mrefu.

Hali hiyo haijawahi kufikiriwa kutokea kwenye taifa linalotajwa kuwa na teknolojia kubwa ya ulinzi na ambalo linalindwa na mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani.
Israel amesema safari hii atakae ishambulia israel atajibu vikali maana msifikiri kipindi kile iran karusha makombora yake 300 na madrone israel akayapangua na kuwa kimya
 
Huo ni utaratibu wa kawaida kabisa wa kila nchi inapokuwa vitani kuandaa mahandaki kwa ajili ya raia!
Mwaka 1978-79 wakati nchi yetu ikiwa vitani na Uganda tuliambiwa tuchimbe mahandaki kama tahadhari.
Kwa hiyo hapo hakuna kipya!
 
Kwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo.

Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni miongoni mwa shabaha zitakazopigwa vita vikianza.

Kwa lolote litakalotokea hatua hizo ni kusema Israel imekubali kuwa hali na kwao sasa si shwari tena na hiyo ni machumo ya kile walichokipanda kwa muda mrefu.

Hali hiyo haijawahi kufikiriwa kutokea kwenye taifa linalotajwa kuwa na teknolojia kubwa ya ulinzi na ambalo linalindwa na mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani.
si afadhali hata hayo mahandaki yapo, wenzako walitarajia hilo litokee, hawana option ingine ila kiupigana na wamejiandaa kupigana. rusheni ili muone moto wake.
 
Tatizo tunaandika na kupokea kishabiki mno..
Sasa kitakachotokea njoo tena hapa na huu ujumbe wako.😁😁😁📌
Shabiki wasiojielewa hao unawajibu wa nini? Wanajua kinachoenda kutokea Middle East kishashiba kande lake huko anapayuka tu...dunia inaenda kuwa hatarini jitu linapayuka tu oooh Iran atafanya nini.....Jitu linashindwa kufikiri kwanini Putin katamka bila Vita kamili Mashariki ya kati Amani haitopatikana na kaanza kupeleka Silaha Iran bado jitu linashangilia kwamba Iran mchovu, uvumilivu una mŵsho kwa Iran, mwisho wa siku dunia inaenda kuharibiwa kwa upuuz wa maslahi ya wachache achana nao mkuu hao wajinga
 
Huo ni utaratibu wa kawaida kabisa wa kila nchi inapokuwa vitani kuandaa mahandaki kwa ajili ya raia!
Mwaka 1978-79 wakati nchi yetu ikiwa vitani na Uganda tuliambiwa tuchimbe mahandaki kama tahadhari.
Kwa hiyo hapo hakuna kipya!
Yes ni wakati wa vita. Kuchukua tahadhari ni muhimu sana
 
Wiki hii mabikira 72 wamekua na kazi ya kuwapokea magaidi huko peponi ..na bado tena leo wameyapokea ..naamin mabikra wapo wa kutosha ili kuendelea kuwapokea magaidi wanaotarsjiwa kuendelea kuuliwa
 
Ulitakaje waache tu wauliwe wasijilinde.. kiufupi hasara nani anapata? Jibu Magaidi
 
Yani tutoe tamko la kulaani kuuliwa kwa gaidi?!
Huna akili
Gaidi hilo, huyu ni rahisi sana kuvishwa mabomu kulipua hii nchi, watu wa aina ya mleta mada mamlaka za kiusalama zinatakiwa kuwa nao makini sana kwa kufatilia mienendo yao
 
Back
Top Bottom