Na sisi huku Tanzania tufanye nini?
Arusha tulikuwa na maombi ya kuliombea taifa takatifu la Israel.
Tukaaswa, sisi kama watanzania yatupasa kuilinda Israel.
Hadi sadaka zilikusanywa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sisi huku Tanzania tufanye nini?
Hamna cha bikira tena peponi...hamas wamesha wabikurua wote...labda Muddy afyatue wengine kwenye kiwanda chakeWiki hii mabikira 72 wamekua na kazi ya kuwapokea magaidi huko peponi ..na bado tena leo wameyapokea ..naamin mabikra wapo wa kutosha ili kuendelea kuwapokea magaidi wanaotarsjiwa kuendelea kuuliwa
Israel wanaamini ule usemi unaosema Dont Under estimate your Opponent !! Tahadhari kabla ya Hatari. Iran ikishaanza fanya yake.. wataji adjust na kwenda na Beat ya Iran mpaka kieleweke. Mwishoni Israel ataibuka mshindi tu🇮🇱Kwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo.
Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni miongoni mwa shabaha zitakazopigwa vita vikianza.
Kwa lolote litakalotokea hatua hizo ni kusema Israel imekubali kuwa hali na kwao sasa si shwari tena na hiyo ni machumo ya kile walichokipanda kwa muda mrefu.
Hali hiyo haijawahi kufikiriwa kutokea kwenye taifa linalotajwa kuwa na teknolojia kubwa ya ulinzi na ambalo linalindwa na mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani.
Hizi ndo akili za great thinkers sasa... hongera kwako nakwa wanaokutegemea. SIO MIJITU INALETA AKILI ZA MADRASA KWENYE MAMBO SERIOUSIsrael wanaamini ule usemi unaosema Dont Under estimate your Opponent !! Tahadhari kabla ya Hatari. Iran ikishaanza fanya yake.. wataji adjust na kwenda na Beat ya Iran mpaka kieleweke. Mwishoni Israel ataibuka mshindi tu🇮🇱
Hawako kila kona duniani.ISRAEL HANA CHA KUPOTEZA ILA MSIJE KULIALIA HUMU TENA.
HITLER ALIUA WAISRAELI MILIONI 6 ILA BADO WAPO KILA KONA DUNIANI. AYATOLLAH HUU NDIO MWISHO WA UDIKTETA WAKE! 60% YA WAIRANI WANAOMBA HII VITA ITOKEE ILI WAPATE UHURU WAO.
Sema marekani, muisrael kuku tuu kwa Iran ndo mana netanyahu kafokewa na Biden atategekea msaada wa US mpaka liniIran unaenda kufuatwa,
Muisrael anamsubiria alianzishe ili yeye amalize mchezo
Kitaalamu ni hatua za tahadhari kwamba ikitokea kuna ambayo hayajataharibiwa na mifumo yao ya ulinzi basi yasileta madhara makubwa kwa wananchi. Unadhani Hamas walichimba mahafali bure? Walijua umuhimu wake.Kwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo.
Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni miongoni mwa shabaha zitakazopigwa vita vikianza.
Kwa lolote litakalotokea hatua hizo ni kusema Israel imekubali kuwa hali na kwao sasa si shwari tena na hiyo ni machumo ya kile walichokipanda kwa muda mrefu.
Hali hiyo haijawahi kufikiriwa kutokea kwenye taifa linalotajwa kuwa na teknolojia kubwa ya ulinzi na ambalo linalindwa na mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani.
Israel hawana hata Simba day,leo wamechakaza magaidi matano ya hizbullah na kuyapeleka kwwenye bikra.Kwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo.
Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni miongoni mwa shabaha zitakazopigwa vita vikianza.
Kwa lolote litakalotokea hatua hizo ni kusema Israel imekubali kuwa hali na kwao sasa si shwari tena na hiyo ni machumo ya kile walichokipanda kwa muda mrefu.
Hali hiyo haijawahi kufikiriwa kutokea kwenye taifa linalotajwa kuwa na teknolojia kubwa ya ulinzi na ambalo linalindwa na mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani.
Ayatollah na yule wa Hezibollah mbona kitambo sana wanaishi kwenye mahandaki?Kwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo.
Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni miongoni mwa shabaha zitakazopigwa vita vikianza.
Kwa lolote litakalotokea hatua hizo ni kusema Israel imekubali kuwa hali na kwao sasa si shwari tena na hiyo ni machumo ya kile walichokipanda kwa muda mrefu.
Hali hiyo haijawahi kufikiriwa kutokea kwenye taifa linalotajwa kuwa na teknolojia kubwa ya ulinzi na ambalo linalindwa na mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani.
🤣🤣🤣🤣 Wanamiliki Mahotel paka huko Masaki🤣🤣Kalaga bahooHawako kila kona duniani.
Sijawahi kuona myahudi huku Peramiho.
Myahudi hajiichanganyi hata na Mzungu. Sembuse pimbi wa Afrika.
Labda huko duniani kwingine lakini huku nilipo kijijini hatuwajui wanafananaje.
Isitoshe, Nyerere aliwafurusha Tanganyika.
Houth Israel kawarudisha kwenye Zama za Majaazi na Mitumbwi , Hawana Bandari ya ku dock Meli🤣Ayatollah na yule wa Hezibollah mbona kitambo sana wanaishi kwenye mahandaki?
Ukiwaona Houth maomba uwaambie nawatafuta, kuna mzigo wao nimeombwa niwakabidhi
Wanaishi kama nguchiroKwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo.
Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni miongoni mwa shabaha zitakazopigwa vita vikianza.
Kwa lolote litakalotokea hatua hizo ni kusema Israel imekubali kuwa hali na kwao sasa si shwari tena na hiyo ni machumo ya kile walichokipanda kwa muda mrefu.
Hali hiyo haijawahi kufikiriwa kutokea kwenye taifa linalotajwa kuwa na teknolojia kubwa ya ulinzi na ambalo linalindwa na mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani.
Unawatafuta Houthi wa nn? Sitaki fujo mm.....watu wenyewe wamejichokea wale. Sasa hivi hakuna cha matamko any moreAyatollah na yule wa Hezibollah mbona kitambo sana wanaishi kwenye mahandaki?
Ukiwaona Houth maomba uwaambie nawatafuta, kuna mzigo wao nimeombwa niwakabidhi
Acha fitina wewe.kuna mambo mengi serikali ya kufanya kuliko kufuatilia watu ambao hawana athari yoyote.Gaidi hilo, huyu ni rahisi sana kuvishwa mabomu kulipua hii nchi, watu wa aina ya mleta mada mamlaka za kiusalama zinatakiwa kuwa nao makini sana kwa kufatilia mienendo yao
Tangu kale Israel hajawahi kushindwa.Kwa kuhofia kipigo cha Iran kinachokuja serikali ya Netanyahu imewaamuru watu wote kujiandaa kupokea kipigo kutoka Iran na kwamba wasafishe mahandaki yao tayari kuishi humo.
Wakati huo huo Mawaziri wote nao wamepewa simu za satelite ambazo hazitumii minara ya simu kwa kujua minara hiyo ni miongoni mwa shabaha zitakazopigwa vita vikianza.
Kwa lolote litakalotokea hatua hizo ni kusema Israel imekubali kuwa hali na kwao sasa si shwari tena na hiyo ni machumo ya kile walichokipanda kwa muda mrefu.
Hali hiyo haijawahi kufikiriwa kutokea kwenye taifa linalotajwa kuwa na teknolojia kubwa ya ulinzi na ambalo linalindwa na mataifa makubwa ya Ulaya na Marekani.
Sio mauaji ya Watanzania wenzetu waliotekwa na Hamas?Angalau tungetoa tamko la kulaani mauwaji ya Ismail Haniye