Israel yazidi kunywea Gaza, yasema vita vimebadilika

Mkuu, basi tuseme tu wanajeshi wa Israel wafa na wengine waikimbia Gaza, Netanyahu hajulikani alipo hali ni mbaya huko Israel.
 
Magofu ya Gaza wakati Hamas wanaendelea kushinda njaa
 
Ni kweli. IDF wote wamekimbia hawapo Gaza.

Nasikia Netanyahu naye ametorokea Kayenze 🤣🤣🤣🤣
 
Natazama BBC, Al Jazeera, CNN, and many other International news channels, the opposite is the case to what you are addressing here.
belive me in the next two years BBC na Al Jazeera watakuja na documentaries zinazoelezea ni jinsi gani waisrael walivyotaabika kwenye hii vita na ukweli wa maelfu ya vifo vya majeshi yao yatawekwa hadharani
 
Lazima waseme hivo Ili waendelee kujustfy kuendelea na vita. Lengo la ni Hadi vinyesi walivotoa HAMAS navyo viondolewe Gaza
Haa vita sio mchezo mkuu gharama kubwa hadi sasa unajua ni trillion ngap zimeingua hapo gaza na uchumi unazidi kudhorota, wenye pesa zao wameshahama na kufunga biashara ..Netanyahu amefunga baadhi ya government agency ili hela zihamishiwe kwenye vita na sasa ndo kwanza hamasi wamepata moto na bado Lebanon ndo nao wanafungulia mvua za marekoti
 

Allahu Akbar
Askari wa kizayuni 9,000 wamewehuka:


View: https://youtu.be/BTq4UkhJRuE?si=fjNN9VMSOKMa-oY8
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…