Israel yazidi kunywea Gaza, yasema vita vimebadilika

Allahu Akbar
Askari wa kizayuni 9,000 wamewehuka:


View: https://youtu.be/BTq4UkhJRuE?si=fjNN9VMSOKMa-oY8
Wewe kumbe unakichapa vizuri kiarabu.Umesikiliza vyema hiyo clip ya Aljazeera hapo juu.
Yule mawandishi wa habari wa TelAviv aliyetoa siri ya meli inayohifadhi maiti kumbe hakusema uongo.
Waliogopa kurudisha maiti nyumbani kwa hofu ya machafuko mapema walipoamini wanakaribia kushinda.
Kumbe ilikuwa ni mwanzo tu.Sasa ndio Hamas wanadungua kama wanapiga digidigi.
 
Si tumeambiwa Hamas wako kwenye mahandaki na mateka wao..Kulikuwa na umuhimu gani kupiga nyumba za raia ,
Mbona mlitaarifiwa magaidi yatatafutwa juu ya ardhi na underground. Anayetaka kukaa underground kwenye tunnels akae, anayetaka kukaa juu kwenye majengo ya raia akae. Anayetaka kukaa shuleni na hospitali naye akae uko. Kila mmoja atatafutwa alipo.
 
Mbona mlitaarifiwa magaidi yatatafutwa juu ya ardhi na underground. Anayetaka kukaa underground kwenye tunnels akae, anayetaka kukaa juu kwenye majengo ya raia akae. Anayetaka kukaa shuleni na hospitali naye akae uko. Kila mmoja atatafutwa alipo.
Israhell wanapokea msaada mwengine lini tena😀
 
Mbona mlitaarifiwa magaidi yatatafutwa juu ya ardhi na underground. Anayetaka kukaa underground kwenye tunnels akae, anayetaka kukaa juu kwenye majengo ya raia akae. Anayetaka kukaa shuleni na hospitali naye akae uko. Kila mmoja atatafutwa alipo.
anatafutwa na hajapatikana.Faida iko wapi?
 
Israhell wanapokea msaada mwengine lini tena😀
Ziara za mara kwa mara za viongozi wa Marekani sasa ni kutaka kutuliza kichaa cha Israel aache kuendelea na vita.
Marekani imeishiwa na maroketi ya kupeleka Ukraine na haina ya kutosha kuipa Israel ikaporomosha majengo na kuua watu wasio na hatia bila kufikia malengo yao ya vita.
Mtu akipigwa kipigo kikamkolea huwa anakuwa kama kichaa.Anarusha mawe ovyo mpaka mtaa mzima watu wanakimbizana.
 
Israhell kitaifa cha hovyo sana yaani nguvu zote zile tulizoambiwa na biibisii hazionekaniki

Israhell inaogopa hata jengo tupu pale ghaza 🤣
 
Hawa jamaa akili hawana
Maji ya bahari ukipeleka kwenye handaki yanadidimia ardhini kama hukupeleka kitu.Kutwa nzima unasukuma maji tu ikifika jioni hamna kitu.
Kwa sababu mahandaki mengi huwa hawapotezi mali kuyasakafia.Huwa wanashughulika na dari kwanza.
Nahisi kama walijaribu lakini mwishowe wakacheka wenyewe.
 
Toa ujinga wenu mavaa kobaz
 
Na mabwana zao wafikiria kupunguza misaada safari hii wamefeli ngoma ngumu, kila kitu kimefeli
 

Attachments

  • Screenshot_20240128-205000_Facebook.jpg
    63.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…