Israeli-Gaza war: Zaidi ya wanajeshi 6 wa Israeli wajiua huku maelfu wakumbwa na matatizo ya afya ya akili

Israeli-Gaza war: Zaidi ya wanajeshi 6 wa Israeli wajiua huku maelfu wakumbwa na matatizo ya afya ya akili

dem boy

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
6,580
Reaction score
15,739
Katika hali ya kushangaza,jamaa wakiwa full-combated huku wakiwa wamejibebesha kila aina ya vifaa vya kisasa juu ya miili yao kuwasaidia kwenye battle ground dhidi ya Hamas,hapo ni baada ya jets na tanks za kisasa kusasfisha njia ili kuweka mteremko zaidi lakini mambo yamekuwa si mambo kwa upande wao.

Vitu vizito wanavyokumbana navyo imepelekea kujiondoa uhai wenyewe kabla ya kufikiwa na kobaz,wengine kabla ya kupelekwa uwanja wa vita walikuwa timamu kichwani lakini kwa sasa ukiwauliza 1+1 si ajabu wakakujibu 11.Hakika mzayuni anapata tabu kinachowafanya wajitutumue ili tuone na wao wamo ni mashambulizi ya anga tu tofauti na hapo wao si lolote si chochote R.I.P makanda Hanniye,Sinwar na wengineo hakika mlitengeneza kitu kizito haswa
467889376_460021913774221_7709253173454515891_n.jpg

aljazeeraenglish
At least six Israeli soldiers have taken their own lives in recent months, the Israeli daily Yedioth Ahronoth reports, citing severe psychological distress caused by prolonged wars in #Gaza and #Lebanon as the primary cause.⁠
⁠.⁠
The actual number of suicides may be far higher because the Israeli military has yet to release official figures despite a promise to do so by the end of the year.⁠
⁠.⁠
The report highlights a broader mental health crisis within the Israeli army. Thousands of soldiers have sought help from military mental health clinics or psychologists with about one-third of those affected showing symptoms of post-traumatic stress disorder.⁠
.⁠
The number of soldiers suffering psychological trauma may exceed those with physical injuries from the war, report said.⁠
.⁠
🔴 Follow our LIVE coverage - link in bio.⁠
.⁠
#Israel_Gaza_War
.⁠
📸 Handout via Israeli military
View all 3,608 comments
 
Hiyo huwa ni kawaida sana kutokea haswa vita vinapokuwa vya muda mrefu.
 
Israel kakosa jirani sasa, hata hivyo, mtu ukiwa jirani mkorofi, madhara yake dio hayo, Gaza inafyekwa vibaya mno mpaka wafyekaji wanaanza kujisikia vibaya!

Kuwa jirani mwema ndugu usitake kulazimishwa
 
Katika hali ya kushangaza,jamaa wakiwa full-combated huku wakiwa wamejibebesha kila aina ya vifaa vya kisasa juu ya miili yao kuwasaidia kwenye battle ground dhidi ya Hamas,hapo ni baada ya jets na tanks za kisasa kusasfisha njia ili kuweka mteremko zaidi lakini mambo yamekuwa si mambo kwa upande wao.

Vitu vizito wanavyokumbana navyo imepelekea kujiondoa uhai wenyewe kabla ya kufikiwa na kobaz,wengine kabla ya kupelekwa uwanja wa vita walikuwa timamu kichwani lakini kwa sasa ukiwauliza 1+1 si ajabu wakakujibu 11.Hakika mzayuni anapata tabu kinachowafanya wajitutumue ili tuone na wao wamo ni mashambulizi ya anga tu tofauti na hapo wao si lolote si chochote R.I.P makanda Hanniye,Sinwar na wengineo hakika mlitengeneza kitu kizito haswa
View attachment 3160198
aljazeeraenglish
At least six Israeli soldiers have taken their own lives in recent months, the Israeli daily Yedioth Ahronoth reports, citing severe psychological distress caused by prolonged wars in #Gaza and #Lebanon as the primary cause.⁠
⁠.⁠
The actual number of suicides may be far higher because the Israeli military has yet to release official figures despite a promise to do so by the end of the year.⁠
⁠.⁠
The report highlights a broader mental health crisis within the Israeli army. Thousands of soldiers have sought help from military mental health clinics or psychologists with about one-third of those affected showing symptoms of post-traumatic stress disorder.⁠
.⁠
The number of soldiers suffering psychological trauma may exceed those with physical injuries from the war, report said.⁠
.⁠
[emoji837] Follow our LIVE coverage - link in bio.⁠
.⁠
#Israel_Gaza_War
.⁠
[emoji991] Handout via Israeli military
View all 3,608 comments
Kobazi wanajua kutafuta vitu vya kujifariji
 
Israel kakosa jirani sasa, hata hivyo, mtu ukiwa jirani mkorofi, madhara yake dio hayo, Gaza inafyekwa vibaya mno mpaka wafyekaji wanaanza kujisikia vibaya!

Kuwa jirani mwema ndugu usitake kulazimishwa
Israel haina haja na jirani anaelala na kisu pembeni yako ujirani gani na magaidi
 
🏴‍☠️ Haifa Mayor, Yona Yahav: the streets are empty, shops are closed, and the city is facing a severe economic crisis.

🚩 @ResistanceTrench
 
Kwasasa watu tunaopigiwa kelele kuwa ndio wenye Akili zaid wameikimbia Haifa na wengine wapo mashimoni wanatafutana namipanyabuku Master plan Iran haaaa wao wapo salama salmini akuna mlio ata wa fataki kwann tusiamini awa ndio wenye Akili zaid wamewazidi wotee kuifanya Iran iwe tulivu uku wakiwachochea moto mazayuni
 
Wachungaji miongo miongo sana wanaumbuka mchana kweupee kupiga mikelele eti wazayuni ndio wenye Akili sasa mtu nwenye akili analala kwenye mashimo kama panyabuku sibola wangesema waTZ tuna akili zaid ndio mana nchi yetu ipo na Aman miaka kwa miaka,, sasa wale wanakufa kila siku miji yao inapigwa watu wanaikimbia ile nchi ya mchongo na waliobakia ndio ivo wanakimbizana na mipanyabuku kweli awa ndio watu wenye Akili au kuna wengine uko Israel!!!!!
 
Wangekua Wana Akili wasinge pigana vita na jirani yake
 
Wachungaji miongo miongo sana wanaumbuka mchana kweupee kupiga mikelele eti wazayuni ndio wenye Akili sasa mtu nwenye akili analala kwenye mashimo kama panyabuku sibola wangesema waTZ tuna akili zaid ndio mana nchi yetu ipo na Aman miaka kwa miaka,, sasa wale wanakufa kila siku miji yao inapigwa watu wanaikimbia ile nchi ya mchongo na waliobakia ndio ivo wanakimbizana na mipanyabuku kweli awa ndio watu wenye Akili au kuna wengine uko Israel!!!!!
Nchi imetengenezwa kihuni na sana kwa vitatisho na kulazimishana kwa hango ili uitambua haiwezi kuwa salama hakika haya yana mwisho tu
 
Back
Top Bottom