Kazi ipo. Kama unaweza ukaongea bitu kama hivi, halafu nikataka kuendelea zaidi ya hapo, basi mimi ndiye nitakua mwenye matatizo tena makubwa sana.
Labda
dudus ,
Maghayo YEHODAYA Jackal MK254 wanaweza wakanielewesha vizuri kumbe Hamas inafadhiliwa na Uingereza , Canada na German halafu hawanistui.
Nina uhakika hata mpenzi wangu wa kweli humu
FaizaFoxy hili litamshangaza sana na kama analijua hili basi nitam mind sana kwa kunificha taarifa muhimu kama hii.
Labda umekosea mkuu? Isije ikawa unamaanisha Hamas supporters, yaaani nchi hizo zilivyo ban Hamas supporters kuandaa maandamano na kutoa matamshi ya kuunga mkono Hamas kwenye nchi zao, wewe ukaharakisha kuwaza kuwa wamewakatia fund Hamas?