Israeli yapiga bomu kiwanda cha kutegeneza drones cha Iran

Propaganda za wavaa pempas [emoji304][emoji2524]‍[emoji304]
 

Habari zinasema in "Syrian territory" sio nchini Iran - lakini kama kawaida yako ya kuweka chumvi, headline inaonekana as if Israel imerusha ndege zake au missiles kwenda kushambulia kiwanda cha kuunda Drones nchini Iran!!

Labda niongezee kwa kusema hivi sasa kamikaze Drones zinaundwa nchini Urusi kwa kibali maalum na Iran, hata hivyo Urusi yenyewe inaunda za kwake (kiwanda cha Kalishnikov) ambazo ni more deadlier and dead accurate kuliko za Iran.
 

Kiwanda cha nani??? Piga, kiwanda kimeshaliwa....takbirrr akbar
 
Zimewasaidia na nini kama bado Ukraine wameshindwa askari wengi wameuawa na wengine wakajeruhiwa hadi wanapeleka mgambo na wafungwa.
 
Zimewasaidia na nini kama bado Ukraine wameshindwa askari wengi wameuawa na wengine wakajeruhiwa hadi wanapeleka mgambo na wafungwa.

Kweli?? Zelensky na wasaidizi wake wanalalama mpaka wanataka Umoja wa mataifa waitishe kikao kujadiri kuhusu Drones za Iran - Rais wa Merikani naye kaishutumu sana Iran - sasa wewe mwenzetu unaona watu wote hao hawajui walisemalo after all wewe unaona kamikaze Drones za Iran si lolote si chochote haziwezi kubadirisha mwenendo wa vita nchini Ukraine.

Unaendelea kuamini tu video war games and digitally manipulated pictures zinazo sambazwa kwenye mitandao na wewe unafikiri ni za kweli!!! Clips nyingi zina rudiwa rudiwa mara kwa mara na nyinyi hilo hamlishitukii.
 
ISRAELI sina baya na wewe. kazi yako ni njema na sisi sote tumeiona. Haya tunaanza moja sasa.
uzur israel yeye hua haulizagi swali moja mara mbilimbili. yeye ni action tu.
 
Al Qaeda walibutua Sana balozi na meli Vita za USA
ina uhusiano gan na Israel kulipua kiwanda cha drones za IRAN , HUU NDO UKICHAA TUNAUUZUNGUMZIA MADA INAZUNGUMZIA AKILI ZA MCHANGIAJ ZINAMUWAZA BASHA AKE USA
 
kama una nyama ya kuku , yanin kunigongea mlango unaomba ndondo lang ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…