Israeli yapiga bomu kiwanda cha kutegeneza drones cha Iran

Israeli yapiga bomu kiwanda cha kutegeneza drones cha Iran

How to be christian
TykablesLittleBuildersLarryTom-745224.jpg
 
Debate gani niliyoshindwa ewe uliyejaza utoko kichwani!!?..Kama Israel kapiga maslahi ya Iran kule Syria Kuna tofauti gani Al Qaeda kupiga meli(maslahi) ya marekani kule Yemeni!?..
kwan mada ni ISRAEL vs IRAN au AL QAEDA vs USA ? jitahid kuchangia mada bila kwenda OP , sion uhusiano wwte hapo
 
kwan mada ni ISRAEL vs IRAN au AL QAEDA vs USA ? jitahid kuchangia mada bila kwenda OP , sion uhusiano wwte hapo
Una umri gani!?..elimu!?..ulipoanza kuniquote ulikuta najadili nini na yule popoma mwenzio!?..au una akili za ngiri kumbukumbu kisoda!?
 
Huna upeo,nimekufafanulia pahala utaikuta
huez jiona ukilaza wako kisa akil yko iko close minded , discuss ISRAEL VS IRAN NOT AL QAEDA VS USA , ndo nyiny mnasema ni sw URUSI kuua raia wema huko UKRAINE kisa USA iliua libyia , syria , Iraq , Somalia , kwa akili hz najiuliza unafamilia bas IMELOWA
 
Kukashifu Imani kunasaidia nini katika maisha ya kila siku
Je inaongeza IQ ya kutengeneza hata nepi?
Wenzetu wanatengeneza na sisi tunaambiwa tusiongelee kabisa jeshi letu [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
Kuna watu wagonjwa mpaka wanatuambukiza
 
Kapphwile huko,sijadili na wasengelema
ushaanza weuka sasa , post ya Iran na Israel ila unawaza kupumuliwa tu sijui do wanakufanyaga huko kwenu ? acha hiyo michezo , kinyeo ni cha kunyeah tu
 
Safi,,but Huwa mnajisahau sana....same people mnalalamika urusi kuinyuka Ukraine
 
Safi,,but Huwa mnajisahau sana....same people mnalalamika urusi kuinyuka Ukraine

Ukraine haijachokoza mtu, wala haihusiki kwenye matukio ya kiugaidi, ila Iran inawashwa washwa kila siku, inafadhili magaidi ya kidini.
 
Back
Top Bottom