Issa furahi day you can ask me swali lolote

Napenda kukaa sehemu tulivu na kunywa a glass of wine while listening to mziki laini kama coleseum n slip way bt inategemaa natoka na nani kama ni marafiki my dear huwa tanamaliza mji mzimaa

Lovely !!!!
 
Mamembembe can i have your phone number?
 
Maswali mengine humu yanavunja mbavu aisee[emoji23][emoji23]
 
Mambembe

Mbali Na kuajiliwa Wewe ni mjasiriamali?
 
Hapana bado ila nipo na mtu na wakunioaa wapo wanaojitokeza bt bado kidogo nakula kwanza maisha
ok kila la kheri endelea kula maisha mkuu ila chukua maamuzi mapema kabla maisha hayajaanza kukula wewe
 
Unajisikiaje kujiita queen of kingbed!
Mkuu inaonekana una mvuto si wa nchi hii.....

Nimekuwa nikifuatilia avatar zako kimya kimya umejaaliwa rangi ya dhahabu.....

Naomba siku nikiwa na majukumu morogoro nikutafute japo tuzungumze mawili matatu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…