Issa furahi day you can ask me swali lolote

Mambembe unakumbana vp na tongozwa za maboss zako?
Je ulisha wahi kutoka na mume wa mtu? Je,ulijutia?
Kutongozwa kawaida kwa mwanamke

Yes bt nilikuwa sijui baaada ya kujuaa tukaachana in a good way.......though huyo mwanamke hanijui siwez kujutia kwa sababu nilikuwa sijui na mm nilikuwa nampenda so kipindi chote nikienjoy ninhejutiaa kama ningefumaniwa
 
Mambembe .

Ndoto zako zilikuwa ni zipi? na
Mpaka umri wako ulipofikia je unadhani ndoto zako zimetimia kwa asilimia ngapi.

Kipi usichopenda?
Ndoto zangu zilikuwa nikifikiaa huu umri.Mungu alonijaliaa niwe atleast asilimia 80 nishaziishi ndoto zangu bt nipo.kwenye 60 hivi namshukuru Mungu kwa hilo piaa

Sipendi kufatiliaa maisha ya mtu.na wala sipendi kufatiliwa maisha yangu .....
 
Hili najibu kwa niaba,.. Mambembe limetokana na neno kimbembe (fujo/nongwa),.. Alikua mtu matata sana badala ya kimbembe likapatikana mambembe.
Nop sio maana yake labda kwenye kabila lenu
 
Katika pita zako na ujuzi wako ushawahi swetishwa na mwanaume badala ya wewe kumswetisha?
Mapenzi hayanaga mjanjaaa sio kila.nikiandika.nikuwa.mimi.ni fundi tu hell no mapenzi yapo tofauti kwenye ufanyaji kuna wapo rough,kuna wapo taratibu yaan mapenzi.ni.mjumuiko wa vitu vingi saana wa kuniswetisha hakosekani yaan unaweza omba ukatishe mechi alafu mwenzio ndo kwanzaa kama anaanzaa usiombeee ukutane na mtu asha......kabla ya.mechi yaan lapili.linakuwa la kwanza ni balaaaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…