Uwiano Maalum,
This is the classic "Freudian Slip". Most of us know that Michuzi is a sorry excuse for a clown, lakini this time katika ku clown huku na kuita safari ya nje iliyo katika vocation yake kuwa ni vacation, ame expose ukweli kwamba huko wanakoenda hamna wanachofanya zaidi ya vacation.
I would love this to be a case of a succintly eloquent "Shakespearean Fool" exposing the illdoings of the ruling class in a tragicomic way, but the reality is Michuzi can hardly be said to posses such sophistication.Sometimes the truth cannot be bottled and pressures simpletons such as Michuzi into "Freudian Slips" such as this.
Trouble is, this "dramatic irony', indeed a gem, is wasted on a lot of us.
Bigger trouble is, if the president is surrounded by clowns like these it sort of give you an idea of how much of a clown this very same president must be.
Mkuu unanikumbusha yule Pundit....sijui yuko wapi yule...ama?
Mkuu acha wivu wa kike!Naelewa vizuri maudhui ya blog ya Michuzi, kuna mtu alieleza kuwa dissapointed na Clouds FM kuhusu kuiita Oval Office "Overhaul Office" mimi nikawa wa kwanza kusema kwamba kutegemea seriousness kutoka Clouds FM ni sawa na kutegemea seriousness kutoka kwa Michuzi, kwa hiyo mimi naelewa maudhui ya blog ya Michuzi, ndiyo maana nikamwita clown.
Kisichoeleweka na wengi ni kwamba katika kujitia u clown Michuzi (which is just a mask for his ignorance, Mzee Jongo style) Michuzi safari hii kasema ukweli bila kukusudia, kwa hiyo Freudian slip ya kusema anaenda vacation, ni kweli rais Kikwete akienda nje largely anaenda vacation, lakini ukweli huu unakuwa choreographed na PR nyingi aonekane anafanya kazi, sasa safari hii mpiga picha wake mwenyewe kateleza ulimi na kureveal kwamba huko hamna chochote zaidi ya vacation, which is the truth.
Unaweza kuniambia Kikwete kafanya kitu gani huko cha maana? Kukutana na hao ma doctors na kijiaward chao mshenzi? Umesoma article ya NYT kuhusu afya za kinamama wanaojifungua katika hali mbaya Tanzania?
Ona hapa
https://www.jamiiforums.com/habari-...-tanzania-where-life-s-start-deadly-risk.html
Rais wa nchi kama hii anastahili award? Kitu gani, kukutana na Obama na kuendeleza uomba omba?
Pleeease!
Wanaenda vacation tu, na big mouth Michuzi ka expose hilo kwa wale wagumu wa kuelewa, sijui mnataka sign kutoka mbinguni ndiyo muelewe, na naona hata hiyo mta i doubt.
Sijui kama ana kazi mbili, kazi hizo ni zipi ndugu yangu? Tafadhali, naomba nieleweshe.
View attachment 4648
Kama mambo kama haya yanashindwa kuonekana, bado tunasafari ndefu kuelekea accountability, responsibility na rule of law. Hakuna mwenye uchungu na pesa za walipa kodi, hakuna mwenye kuhoji pesa hizi zinatumika vipi na kwa nini. Kuna kukesha kutafuta mchawi wakati kinachotula ki kwenye nguo.
... misuse of resiurces kweye government institutions, huko ndio ufisadi ulipojichimbia na kujikita mizizi.
Kama hakuna anayeona kuna tatizo kwenye hili suala la Michuzi kutumia muda wa mwajiri, ambao kwa muda huo ndipo anapolipwa na fedha za walipa kodi; kufanya mambo binafsi...
Lakini Uwiano, hivi hawa wanaanchi wa JF si ndio select group walio na mwamko, au niseme uelewa wa juu zaidi na misimamo ya kuchukia ufisadi? Iweje sasa hawaoni tatizo hapa? Ni hawajali au hawaelewi, au unafiki au?
hivi wewe ulitaka michuzi afanyaje/aandikeje/aweke picha zipi kwenye blog yake?Nadhani unafiki, haupendwi ukweli bali ushabiki.
Hili tatizo ndugu yangu Dilunga, na safari zisizo na kichwa wala miguu, kwa watumishi wa umma hapa Tz ni kubwa kuliko linavyoonekana. Bahati nzuri kwa Michuzi imekuwa freudian slip, lakini bado watu wameghubikwa na kasumba za kuonea wivu, ale sehemu yake etc.
Namna hii hatufiki huko tunakotegemea kufika especially kuhusiana na ufisadi.
Mkuu acha wivu wa kike!
Mkuu... MBona unajiaibisha??? Do you think ni safari tu ndio kitu kizuri?? can you trade your PhD kwa ajili ya safari za nje?
Kila mmoja ana nafasi yake na kuna mambo unapata ambayo michuzi hatakaa apate, kila mtu na nafasi yake
Vipi kuhusu truck drivers? they travel alot... do you like to be one?
issa michuzi kaandika kwenye blog yake kuwa yuko vekesheni, na kweli anatundika picha mbalimbali akiwa anajivinjari sehemu mbalimbali nchini marekani.
View attachment 4638
ninachojiuliza, je ni kweli amejilipia vekesheni hiyo yeye mwenyewe au yuko kwenye msafara wa rais kikwete nchini marekani?
View attachment 4639
kama yuko kwenye msafara wa rais, ina maana analipiwa gharama zote na pesa ya walipa kodi. Je ni halali kufanya ziara ya kikazi kuwa vekesheni yake na kufanya shughuli binafsi kama alivyoonyesha kwenye picha mbalimbali kwenye blog yake?
View attachment 4640
kwa mshahara wa mfanyakazi wa serikali kama issa, sio rahisi kufanya vekesheni sehemu mbalimbali za dunia, na kujigharimia mwenyewe. Je issa michuzi anapata wapi pesa hizi?
Je, issa michuzi ni fisadi au anafadhiliwa na mafisadi kwenye safari zake? Kama mfanyakazi wa serikali, issa michuzi anatumia muda kiasi gani ofisini, akilitumikia taifa kama muda mwingi anakuwa safarini, na kwa nini anatumia muda wake mwingi kwenye shughuli zake binafsi kama safari zake zinalipiwa na walipa kodi?
Naomba kueleweshwa na yeyote mwenye kujua zaidi.
Picha zote zimetoka michuzi blog.
Hakika hakuna mtu mshamba kama wewe kumshambulia mtu ambaye kosa lake kwa upande wako ni kusafiri.
Michuzi kwa taarifa yako hajaanza leo kusafiri na hiyo kusema 'vekesheni' ni staili yake ya kusema yuko safari. Ati una phd na husafiri, hahahaahaaa!
Halafu ni aibu kwa jf kushabikia hoja za kipuuzia kama hizi. Kama mna mpango wa kumhujumu michuzi semeni ijulikane maana si la kuficha kwamba jamaa kawazidi kete kwa ubunifu. Sio copy and paste za habari za watu. Naona hata video mmeamia kumuiga hahahaa jf mnachemsha. Ndio maana hata kwenye matangazo kawapiga bao.
Halafu wewe mshamba wa vekesheni za michuzi umekera umma kama nini sijui, angalia jinsi ulivyokosa sapoti, na wewe umeonekana mpumbavu. Unaelewa michuzi ana uwezo wa kusafiri popote duniani kwa pesa yake (ya blogu tu, angalia matangazo bwelele) na wewe na phd yako feki ya kuliliasafari utakalagha baho.
Tarishi
Unayo takwimu kuonesha umma ulivyokosewa na mleta hoja???Hakika hakuna mtu mshamba kama wewe kumshambulia mtu ambaye kosa lake kwa upande wako ni kusafiri....Halafu wewe mshamba wa vekesheni za michuzi umekera umma kama nini sijui, angalia jinsi ulivyokosa sapoti, na wewe umeonekana mpumbavu. Unaelewa michuzi ana uwezo wa kusafiri popote duniani kwa pesa yake (ya blogu tu, angalia matangazo bwelele) na wewe na phd yako feki ya kuliliasafari utakalagha baho.
Tarishi
Sasa mnataka kuchemka, kama mmekosa thread za kuanzisha bora mtafute wimbo mmoja hapa tuujadili.
Hiyo lugha ya vekesheni ni humour anayoitumia michuzi kama msanii katika fani ya ku-blog. Kama unashangaa kutumia vekesheni mbona huulizi kwanini anajiita ''nanihii'', au unadhani ana jina?
Ndoano moja huvua samaki wengi na tofauti ila chambo huwa si kile kileWaambie hawa wapuuzi, wamekosa ya kujadili humu. Kama hamjui fani zinaendeshwaje, mkae kimya sio kuropoka tu. Huyu ni msanii wa fani ya blog, na anatumia lugha mbalimbali kunakshi blog yake, kwani mtu akienda kwenye msafara wa rais ndo hatakiwi kujipumzisha? hata mlinzi wa rais anapata time ya kupumzika na kujivinjari, acheni roho za korosho. Bro kamua mtu wangu, kula bata!